Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km bahat mbaya si ange dislike kwa ku kutoa like yake. Mbona inaeezekana. Waziri ana appriciate anachosa Mange lakin ukwi ni kwamba hawezi fanya kitu ni aidha ajitoe muhanga km Nape au anyamaze tu.Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!
Thubutu! Bashite na huyo aliyekubeba kwa mbeleko fahamuni kuwa suala la vyeti fake la Bashite halitasahsulika na ndio kipimo cha heshima ya utawala wowote!Swala la vyeti wanataka watusahahulishe
Thubutu!Swala la vyeti wanataka watusahahulishe
Una moyo, kumbe uliwapigia kuraHivi kura tuliwapigia kwa amani mbona malipo ndio haya jamani hayo mambo tulizoea kuyaona kwa wasomali huko na alshabaab yao miungu watu tutakufa sote ni swala la mda tu watangulizeni wenzenu zamu yenu yaja kutwa makanisani kumbe mbwa mwitu wakubwa [HASHTAG]#free[/HASHTAG] roma
Huyu mwigulu si ndo alikuwa anatuhumiwa kwa ugaidi wa CDM si ajabu anahusika huwa simwamini sana mwigulu maana kavaa ngozi ya kondoo kumbe kwa ndani ni mbwa mwitu.Halafu alivyo mnafiki anajifanya mzalendo sana,muda wote na bendera ya Tanzania kama gari la DC/RC huku huyo huyo wizara yake imetoa arrest warrant kwa Mange akipita mpaka wowote nchi hii!!
Kwahiyo serikali ndo inauhusiwa kushika watu bila kutoa taarifa juu ya kushikwa kwao? Acha ubashite wa kiwango cha lami. Simpo unasema tatizo lipo wapi! Km huna cha kuongea bora ka kimya he is a human not a pig. Hata nguruwe akipotea mwenye nae humtafuta, halafu msiwe mnachukulia siasa kila kitu. Una fahamu nini maana ya binadam wewe? Embu wewe kua ndio mke baba au mama wa Roma au ndugu tu. Ni bora kunyamaza kuliko kuongea ujinga kwenye mambo ambao ni sensitive kwa mustakabari wa taifa.Labda hajapotea yumo mikononi mwa serikali sasa tatizo lipo wapi kama kashikwa na serikali?
Huyo faru fausta siwamuue tu m 64 kumtunza kwa mwezi wakati kwa sasa mahospitalini hata panadol Mpaka ukanunue nje ya hospital, hili taifa aliyeliroga nikiboko kabisa yani.Binadamu wa nchi hi hawana thamani kama faru john mpaka kifo kinaundiwa tume!!!!! faru fausta kashazeeka ngoja aje ndo utajua kwanini we huna thamani???
Ndo nashangaa, ame like kwa kukusudia ni si dhambi, inaweza kua hiyo like ni kumjulisha mtoa mada kua NOTED.Ameshindwa ku-unlike?
Hapo nadhani Magufuri ni rais wa Tanzania nchi anayotoka msanii Roma na Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar ambayo ni makazi ya msanii Roma.Kumbuka hiyo picha ni mkenya kaiweka kwenye page yake.Mengine tuwaachie polisiTatizo saiv kila mtu anakurupuka tu kutunga uongo wake ili mradi kaonekana mjanja. Hapo umeweka picha ya rais na makonda je wanahusikaje na suala la roma? Kwani roma hana maisha nje ya muziki kiasi cha kumletea maadui wa kumteka na kumlazimisha kile wakitakacho,je kama walidhulumiana pesa huko. Acheni kukurupuka
Mange alikuwa CDHalafu alivyo mnafiki anajifanya mzalendo sana,muda wote na bendera ya Tanzania kama gari la DC/RC huku huyo huyo wizara yake imetoa arrest warrant kwa Mange akipita mpaka wowote nchi hii!!