Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu ambaye haingii kwa huyo whistle blower?Hahahaaaa,si unaichomoa fastaaaaa!Kumbe Mwigulu anaingiaga kwa Mange,teh teh!
Siku mkianza kutumia akili badala ya kamasi ndio watu tutakuwa na busara.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukosefu wa busara huu ,mkuu acha mihemko
Tumia lugha nzuri tu utaeleweka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku mkianza kutumia akili badala ya kamasi ndio watu tutakuwa na busara.
Ben ana muda gani toka amepotea? nchi hii ina vyombo vya usalama ni hatua gani wamechukua? Juzi walimtolea Nape Bastola, Leo wamemteka Roma na wenzake, kesho ni wewe jiandae.
Yaani wewe jamaa samahani naomba nikutukane.....Bwege Nazi kabisa hivi Roma na akili zake anaweza kujificha atafute kiki ya nini wakati image ya Roma kimziki ni kubwa? Au km unauhakika alikojificha twambie twende ili wasanii wengine wasijitafutie kiki kwa kujificha....IQ yako ndogo sana na hujawahi kukutwa na maswahibu makubwa.....think beyond shading bwana kauli yako ya kishenzi inaumiza familia ya Roma,na wengine watu wa karibu usiropoke tuu...ajifiche ili wewe ndo ukamuoe mke wake urithishwe familia na mali?sijawahi tukana ila Umeniudhi sana ila km siyo mchawi wewe basi unalelewa au huna hata vyeti..Huo ndio ukweli mkuu ,Roma hajatekwa na mtu yoyote yule ila anatafuta kiki tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani wewe jamaa samahani naomba nikutukane.....Bwege Nazi kabisa hivi Roma na akili zake anaweza kujificha atafute kiki ya nini wakati image ya Roma kimziki ni kubwa? Au km unauhakika alikojificha twambie twende ili wasanii wengine wasijitafutie kiki kwa kujificha....IQ yako ndogo sana na hujawahi kukutwa na maswahibu makubwa.....think beyond shading bwana kauli yako ya kishenzi inaumiza familia ya Roma,na wengine watu wa karibu usiropoke tuu...ajifiche ili wewe ndo ukamuoe mke wake urithishwe familia na mali?sijawahi tukana ila Umeniudhi sana ila km siyo mchawi wewe basi unalelewa au huna hata vyeti..
Kwani mke wake si kahojiwa na baadhi ya TV akieleza mazingira halisi bwana unatuchosha bwana ...refer mahojiano ya MAMA IVAN VS CHARLES HILLARY THRU AZAM TV[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una uhakika gani kama ni kweli amekamatwa?
Sijazoea kubishanaWewe ni tumbili mke wake anasema amehangaika vituo vyote vya polisi mjini hajamuona mumewe.
acha kuwa ndezi wewe.
endeleni kutumia pesa za walipa kodi kumtafuta faru John ila Watu wakipotea semeni ni kiki.
Au yuko kwenu mwanangu unatuchora tu...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una uhakika gani kama ni kweli amekamatwa?
Kwa raia[emoji23] [emoji23] [emoji18] [emoji23]Wakitoka kwa wasanii wanaenda wapi sasa? maana huku walisha pita
-Wafanyabiashara
-Vyombo vya habari
-Upinzani
-
-
-
Alaaa sasa kama wamepanga trick na mkewe je? Ww utajuajeKwani mke wake si kahojiwa na baadhi ya TV akieleza mazingira halisi bwana unatuchosha bwana ...refer mahojiano ya MAMA IVAN VS CHARLES HILLARY THRU AZAM TV
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app