Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Mimi ni kama maelezo yako yalivyojieleza.
pili, kwann Roma ambea nilikua sijui ni nani mpaka nilipopata maelezo yako kupotea siku mbili Magufuli apewe lawama zote?
kwanini kabla ya kulaumu,tusizipe malamka muda zifanye uchunguzi?
Ni viongozi wangapi wameuwawa katika mazingira yenye utata povu halikuwatoka?
Wenyewe hawana wake na watoto?,mbona jukwaa hatukuona povu likiwatoka?
Acheni double standard kwenye masuala ya msingi.
Kwa taarifa yako ,wajuvi wanaweza tumia nafasi hii kufanya bifu zao kwa kigezo cha mauaji ya kisiasa.
Ili kuipaka matope serikali,na hawata faulu hata kidogo.take my words
pili, kwann Roma ambea nilikua sijui ni nani mpaka nilipopata maelezo yako kupotea siku mbili Magufuli apewe lawama zote?
kwanini kabla ya kulaumu,tusizipe malamka muda zifanye uchunguzi?
Ni viongozi wangapi wameuwawa katika mazingira yenye utata povu halikuwatoka?
Wenyewe hawana wake na watoto?,mbona jukwaa hatukuona povu likiwatoka?
Acheni double standard kwenye masuala ya msingi.
Kwa taarifa yako ,wajuvi wanaweza tumia nafasi hii kufanya bifu zao kwa kigezo cha mauaji ya kisiasa.
Ili kuipaka matope serikali,na hawata faulu hata kidogo.take my words