Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Hivi kama simu inaita then haipatikani kwanini wasanii wasiungane kuitrack na kufanya ambush live?

Waliokuwa msaada wa haraka hapo ni mtandao wa simu wenyewe wanaona kila kitu....
 
Bashite katika ubora wake
Acheni uchochezi jamani. Hii kama ni siasa basi opposition watakuwa wanafahamu huyu yuko wapi. Watu wanataka kutumia hii kama nafasi ya kufanya maovu ili watu waseme ni Selikari inahusika. Not true.Tumieni akili zenu wakati mwingine.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kipindi cha kikwete na mkapa haya mambo hayakuwepo nashangaa sasa hivi inakuwaje tena utawala huu wa Magufuli??

Magufuli kuwa makini sanaa na angalia pia kuna kuishi baada ya urais maana kikwete aliishi na watu vizuri na sasa hivi wanampenda kila mahali akienda.....
 
Acheni uchochezi jamani. Hii kama ni siasa basi opposition watakuwa wanafahamu huyu yuko wapi. Watu wanataka kutumia hii kama nafasi ya kufanya maovu ili watu waseme ni Selikari inahusika. Not true.Tumieni akili zenu wakati mwingine.

Why opposition wafahamu mkuu washindwe kufahamu wanaoshika nchi (Police na usalama wa taifa)
 
Hapa nawaza hivi wakimuachia hao waliomshika watasemaje na wenyewe??maana hili swala tata kidogo....
 
Kipindi cha kikwete na mkapa haya mambo hayakuwepo nashangaa sasa hivi inakuwaje tena utawala huu wa Magufuli??

Magufuli kuwa makini sanaa na angalia pia kuna kuishi baada ya urais maana kikwete aliishi na watu vizuri na sasa hivi wanampenda kila mahali akienda.....
Dr ulimboka ilikuwa kipindi cha maguful?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mkuu roma si anaishi tanga na tongwa record ipo tanga.
acha upuuzi wa kusema mambo usiyoyajua pumbavu....

Hakuna kitu kinachoitwa Tongwa Record bali na Tongwe Record na wala haipo Tanga kama unavyosema Jinga Jinga mkubwa wewe
 
Naona vita ya madawa ya kulevya ianzie juu,tupimwe wote watanzania na viongozi wote.Naanza kuwa na wasiwasi na viongozi kama wako timamu.
 
Nahis hii ni kuchafua serikali
Maana ninachoona kipindi cha magufuli hakuna kutekwa bali unaambia adharani kuwa unahitajika
Au unakamatwa na police kabisa
Lkn hii insue ya roma imekaa kivingine kabisa
Maana ata roma anaonesha kutokuipinga serikari ya awam hii. Maana naamini kati ya watu wenye IQ kubwa wanaohit, Roma yupo
 
Acheni uchochezi jamani. Hii kama ni siasa basi opposition watakuwa wanafahamu huyu yuko wapi. Watu wanataka kutumia hii kama nafasi ya kufanya maovu ili watu waseme ni Selikari inahusika. Not true.Tumieni akili zenu wakati mwingine.
Ingekuwa hivyo wasingefanya kosa la kuiacha hewani huku whatsapp sms zikisomwa!!Waliofanya hivi wanajiamini kuwa hawawezi kuwa traced!Jamani watu mnafanya kazi mitandao ya simu,tuangalizieni mara ya mwisho simu ya Roma mara ya mwisho mnara ulisoma wa maeneo gani!
 
Nasikitika pia kuishi nchi moja na wewe mkurupukaji,wapi nimetaja ben sio mtanzania?kwa ben chama na familia wangeendelea kumtafuta kivyao huku polisi nao wanatafuta sio kukata tamaa na kuilamu serikali

Aliuliwa dada yake bilionea miez sasa uchunguzi bado unaendelea sembuse waliopotea juzi!! Acha siasa sio kila anaekosoa hiki mnambambikizia chama,watu wengine bana
Hizi siasa mufilisi za ccm zitaliangamiza Taifa letu.kwa post hii unamaanisha huyu Ben si mtanzania bali ni mchadema so chadema ndo yenye wajibu wa kumtafuta na si serikali.Nasikitika kuishi nchi moja na mtu wa aina yako
 
Wakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.

_20170407_180602.JPG
 
Hawa viongozi akili huwarudia wakati wa kampeni wakipata madaraka wanakuwa miungu watu wanawadharau wananchi nakiwaona wajinga. Mwigulu labda ka kaa kimya ka ile issue ya Nape kunyooshewa bastola
Screenshot_20170407-181243.png
 
wakuu huh mchezo amecheza bashite na genge lake ili apate kiki aonekane amewaokoa yeye tusahau sakata LA vyeti na kuvamia clouds
 
Back
Top Bottom