Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Kama Nape tu anatishiwa bastola ili asiongee na ni mtu aliyekuwa kiongozi mwandamizi chamani na serikalini itakuwa Roma!? Tutaona mengi kutoka kwa uchwara.
 
Najiuliza tu angetekwa Diamond wa WCB nchi ingekalika kweli?
 
Bora uishi Somalia ujue nchi isiyokuwa na AMANI kuliko kushi Tanzania inayosema ina amani kumbe kuti kavu la AMANI.[HASHTAG]#freeroma[/HASHTAG].[HASHTAG]#freemoni[/HASHTAG].
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    77.6 KB · Views: 27
PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....

kibaya zaidi HUMU NDANI SIKU HIZI kila baya ndani ya NCHI HII anaenyooshewa kidole ni MAGUFULI hivi huyu MAGUFULI mnaemnyooshea kidole yeye haamini kama KUNA MUNGU??mpaka afikie hatua ya kudhuru au kuteka KIJANA wa watu mwenye familia inayo mtegemea???kwani kwenye hii DUNIA WA NGAPI WAMETUKANWA na kwani MAGUFULI yeye ndiye wa kwanza kutukanwa kwenye nchi hii???
KINGNE...kwanini kila BAYA NDANI YA NCHI HII NI CCM????kwani KUNA TOFAUTI GANI KATI YA CHADEMA NA CCM linapokuja suala la uhai wa binadamu????KAMA BAYA LINAWEZA FANYWA NA CCM vipi lisifanywe na CHADEMA?????......Kama ROMA katekwa na CCM kulinda maslahi ya CCM vipi SAANANE asidhuriwe na CHADEMA kukinufaisha CHAMA???????
KIBAYA ZAIDI UNAWEZA KUTA HATA HUO WIMBO alikuwa anataka REKODI ROMA kawa pressurised na hao CHADEMA kumbe behind the scene wana lao jambo kama ambavyo SAANANE alivyokuwa akitumiwa na CDM kutukana RAIS kumbe behind the scene wamemuandalia jambo........HAKISHINDIKANI KITU.....
Acheeni upuuzi hii nchi yetu sote
 
FORCED DISAPPEARANCE.....
Naona ndio sehem tunayoangukia kwa sasa.Historia inaonyesha forced dissappearances hutokea kwenye nchi ambazo demokas na elements zake nyingi hazifwati.Si hali nzur hata kidogo,na credibility ya institutions nying ambazo zilitakiwa kutenda haki na zimeshindwa si tu hupewa lawana,bali hazipndwi.Ni hali ambayo ikiichwa itamkuta kila mtu including huyo pioneer wa hizi devil ideas hapa nchini.Swala la kuwa full 24/7 ni muhim mana if they abduct us..we have to fight back.Kama utaratib haufwati,bora tujue moja,bora hali ichafuke kwa wote
 
Tunaheshimu maoni yako lakini mwisho siku tunamuhitaji Roma akiwa Mzima wa Afya
 
PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....
Anything is possible.
 
Kakate gogo ukalale. Nadani kesho ukiamka utakuja na wazp lenye kichwa sio huu ushuzi
 
Yote kwa yote,mtekwaji na mtekaji ndio wanaoijua siri,sisi tutaishia tu kubashiri kama hivi..yani ni sawa na mtu aliyekufa,mnaokuwa hai mnakuwa hamuelewi kama kuna maisha mengine pale akifa au ndio imekwisha hakuna kinachoendelea
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini Roma katekwa
Kama Ney wa mitego alitekwa, Dr ulimboka alitekwa na wakamtoa kucha kwanini usiamini na Roma katekwa? Hasa ukizingatia aina ya muziki anaoimba Roma hauwapendezi watawala wa CCM?
 
Back
Top Bottom