Unawezaje kutafuta mtu ambaye unajua alipo?Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezaje kutafuta mtu ambaye unajua alipo?Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Kwahiyo hao waliopotea wapo wapi?Unawezaje kutafuta mtu ambaye unajua alipo?
Juzi tu hapa mlisema Mwigulu anajielewa ndiyo maana alinyamaza wakati wa kutaja wauza unga. Leo mnamtukana tena. Makamanda mnatisha😛😛😛Halafu alivyo mnafiki anajifanya mzalendo sana,muda wote na bendera ya Tanzania kama gari la DC/RC huku huyo huyo wizara yake imetoa arrest warrant kwa Mange akipita mpaka wowote nchi hii!!
Nchi hii inaongozwa na watu wawili tu , Magufuli na Makonda hawa wengine wote wanatumwa na kuelekezwa cha kufanya .Wakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.
Aaaah mwaaah!! Binamu, kama familia yake inategemea serikali iingilie kati watajibebaKapotea saanane hata chama hakijaonesha mshtuko sembuse roma. Waziri nae ana maisha yake binafsi bana.
Short and clear sijui, Ila serikali inahusika na kutoweka kwao.Kwahiyo hao waliopotea wapo wapi?
Serikali ndio imepewa jukumu la kulinda raia na mali zao,kama wameshindwa wawaishe wanaowezaMimi ni kama maelezo yako yalivyojieleza.
pili, kwann Roma ambea nilikua sijui ni nani mpaka nilipopata maelezo yako kupotea siku mbili Magufuli apewe lawama zote?
kwanini kabla ya kulaumu,tusizipe malamka muda zifanye uchunguzi?
Ni viongozi wangapi wameuwawa katika mazingira yenye utata povu halikuwatoka?
Wenyewe hawana wake na watoto?,mbona jukwaa hatukuona povu likiwatoka?
Acheni double standard kwenye masuala ya msingi.
Kwa taarifa yako ,wajuvi wanaweza tumia nafasi hii kufanya bifu zao kwa kigezo cha mauaji ya kisiasa.
Ili kuipaka matope serikali,na hawata faulu hata kidogo.take my words
Bila shaka sisi ambao hatujapotezwa tunasubiri muda wetu ufike......maana haya mambo ni zamu kwa zamu.Short and clear sijui, Ila serikali inahusika na kutoweka kwao.
Hapo penye Red ndio Mzizi Mkuu na Sababu muhimu ya Kuunda tume zote hizo juu ya huyu mnyama na Gharama JuuAkipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Nikikukuta unapigana na nyoka nitakaa upande wa Nyoka kukupiga.Wasanii wa bongo siwaamini,huyo amejiteka anataka kiki ya kutoa album tu
Hivi Stive Kanumba Death Day yake ni lini kweli?Kwahiyo hao waliopotea wapo wapi?
Nchi hii inaongozwa na watu wawili tu , Magufuli na Makonda hawa wengine wote wanatumwa na kuelekezwa cha kufanya .
Halafu ana like as if atachukua hatua .... lakini wapi. Eti waziri mzalendo.... njaa tuWakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.
Hizi siasa mufilisi za ccm zitaliangamiza Taifa letu.kwa post hii unamaanisha huyu Ben si mtanzania bali ni mchadema so chadema ndo yenye wajibu wa kumtafuta na si serikali.Nasikitika kuishi nchi moja na mtu wa aina yakoKapotea saanane hata chama hakijaonesha mshtuko sembuse roma. Waziri nae ana maisha yake binafsi bana.
Umejuaje? Au wewe ndiyo yeye?Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!