Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ya Roma siyo sawa na Hamorapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..but time will tell....Alaaa sasa kama wamepanga trick na mkewe je? Ww utajuaje
Yote kwa yote ,ngoja tusubiri siku zote Muda ndio msema kweli.
Viongozi na utawala wa awamu ya tano upo kwa ajili ya wanyama tuAkipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Naomba mungu nawewe wakuteke ili nawe upate kiki ya kutoa kinyesiWasanii wa bongo siwaamini,huyo amejiteka anataka kiki ya kutoa album tu
unauhakika gani ni acc halisi ya nchemba?
Hivi Roma ni nani nchi hii?
Mbona umeguza maneno ya biblia, "ole wake apunguzae au aongezae maneno ya kitabu hiki" Eti umefanya hivyo ili kuweka sawa andiko lako, kwa kifupi ni Yesu aliwauliza wanafunzi wake, ni nani mzazi ambae mwanae akiomba samaki atampa nyoka, au mkate akampa jiwe!! Jitafakari acha kusheherehekea msiba wa Jirani yako.Roma aliimba akasema wamkamate hata wamtupe kwenye daraja la Mkapa so muwe wapole maneno yanaumba unachokiomba ndio unachopewa,hata maandiko yanasema motto akiomba mkate hauwezi kumpa jiwe unampa mkate
usilinganishe faru john na vitu vya kipuuzi.Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
SI kweli kuna ukibonyeza kitufe cha love upya tena love yako inaondoka ndicho anapaswa afanye sasa..Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!