Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Kama Ney wa mitego alitekwa, Dr ulimboka alitekwa na wakamtoa kucha kwanini usiamini na Roma katekwa? Hasa ukizingatia aina ya muziki anaoimba Roma hauwapendezi watawala wa CCM?
Ney alitekwa lini wewe Bawacha?
 
PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....

kibaya zaidi HUMU NDANI SIKU HIZI kila baya ndani ya NCHI HII anaenyooshewa kidole ni MAGUFULI hivi huyu MAGUFULI mnaemnyooshea kidole yeye haamini kama KUNA MUNGU??mpaka afikie hatua ya kudhuru au kuteka KIJANA wa watu mwenye familia inayo mtegemea???kwani kwenye hii DUNIA WA NGAPI WAMETUKANWA na kwani MAGUFULI yeye ndiye wa kwanza kutukanwa kwenye nchi hii???
KINGNE...kwanini kila BAYA NDANI YA NCHI HII NI CCM????kwani KUNA TOFAUTI GANI KATI YA CHADEMA NA CCM linapokuja suala la uhai wa binadamu????KAMA BAYA LINAWEZA FANYWA NA CCM vipi lisifanywe na CHADEMA?????......Acheeni upuuzi hii nchi yetu sote
Akili ziro, kama watu binafsi wamemteka, inamaana intellijensia ya vyombo vya ulinzi na usalama ishindwe kujua hao watu na kuwachukulia hatua!.

Tuache ushabiki.
 
Mi nadhan hatupaswi kuegemea upande wowote ule katika kitafuta ukweli wa hili,nadhan kinachotakiwa kufanyika ni juhudi za vyombo vya dola kufanyika kumpata na si tu kufanyika bali zionekane kufanyika.
 
Ni vigumu mtekaji wa kawaida kuicha simu hewani kwani anajua anaweza sakwa kwa kupitia simu!
 
PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....

kibaya zaidi HUMU NDANI SIKU HIZI kila baya ndani ya NCHI HII anaenyooshewa kidole ni MAGUFULI hivi huyu MAGUFULI mnaemnyooshea kidole yeye haamini kama KUNA MUNGU??mpaka afikie hatua ya kudhuru au kuteka KIJANA wa watu mwenye familia inayo mtegemea???kwani kwenye hii DUNIA WA NGAPI WAMETUKANWA na kwani MAGUFULI yeye ndiye wa kwanza kutukanwa kwenye nchi hii???
KINGNE...kwanini kila BAYA NDANI YA NCHI HII NI CCM????kwani KUNA TOFAUTI GANI KATI YA CHADEMA NA CCM linapokuja suala la uhai wa binadamu????KAMA BAYA LINAWEZA FANYWA NA CCM vipi lisifanywe na CHADEMA?????......Kama ROMA katekwa na CCM kulinda maslahi ya CCM vipi SAANANE asidhuriwe na CHADEMA kukinufaisha CHAMA???????
Acheeni upuuzi hii nchi yetu sote
Idd Amin alikuwa kila mwaka anaenda kuhiji na aliitwa Alhaji!!! Lakini alimuua Askofu Mkuu wa Anglikan Janan Luwum!
 
Eti upo usa kutwa unashinda kwenye viforum vya tz wewe ni nyani mzee kweli upo kwenye zoo za wamarekani
20170329_114427.jpg
 
Back
Top Bottom