Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,533
- 6,562
yaani siamini, Nchi inaendeshwa kwa kiki. yaani yote haya yamefanyika ili bashite atakapo itisha press conference waandishi wamuandike kuwa ameshiriki kumpata Roma. ze comedy zimezidi awamu hii. ukistaajabu maigizo ya bandarini utaona drama ya bashite na roma