Unaweza kuwa na point lakini wakati mwingine tusiingize sana mambo ya siasa na uhai wa binadamu kama kweli wamepotea. Watu wamechapisha sana Tshirt mpaka sasa hatujui hiyo fund ina msaada gani na familia na upoteaji wa huyo Ben. Faru John issue yake ni tofauti japo unanishangaa kwa kusema hivyo.Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Mange Kasemaunauhakika gani ni acc halisi ya nchemba?
Si Ange unlike Kama alikuwa hajadhamiriaSi kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!
Hahahaaaa,si unaichomoa fastaaaaa!Kumbe Mwigulu anaingiaga kwa Mange,teh teh!Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!
Wakitoka kwa wasanii wanaenda wapi sasa? maana huku walisha pita
-Wafanyabiashara
-Vyombo vya habari
-Upinzani
-
-
-
Jambazi BashiteKakamatwa na nani sasa? Polisi ndio wanaokamata tu
Nchi ina viongozi wajinga sn
na kiongozi wa viongozi wote ni mjinga zaidi unategemea nn hapoNchi ina viongozi wajinga sn
mwiguluneti shahidi wa ugaidi mbinguni na duniani.....Utaduni wetu unajulikana kua wakati wa kula hutakiwi kuongeaa,
Ndo maana hadi leo pamoja mwigulu kudai kua ben saa nane ni rafiki yake,ila amekua kama hajui kua aliahidi kutoa taafa kuhusu kilichopata swahiba yake.
Mzeee wa kunyonyoka ngozi nae kimyaaaa kama hayupo bongo hiii.