Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

Kuna watu wasipoelewa kitu chochote wanaweka majibu mawili tu.

Mungu na uchawi.

Ni ujinga tu.
Kule Mikumi kuna kijiji kimoja kuna mtu huko mganga wanawake wa Dar na Zanzibar wanamtumia sana kupora waume za watu. Ni mganga yule ambae anaua kabisa. Jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa mkuu. Kama unataka kufanya utafiti wako kuhusu uchawi sema niku connect huko mkuu uka prove mwenyewe... But u have to be very respectful or else he will deal you
 
Kule Mikumi kuna kijiji kimoja kuna mtu huko mganga wanawake wa Dar na Zanzibar wanamtumia sana kupora waume za watu. Ni mganga yule ambae anaua kabisa. Jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa mkuu. Kama unataka kufanya utafiti wako kuhusu uchawi sema niku connect huko mkuu uka prove mwenyewe... But u have to be very respectful or else he will deal you
Ukishatumia jina la mtu mtu anaweza hata kukutumia majasusi ukauawa.

Hapo hakuna hoja ya kuonesha kuna uchawi umetumika.

Ungesema kwamba huyo mchawi anaweza kuua mtu unayetaka bila hata kukuona wewe wala kupata jina la anayetaka kuuawa, hapo labda ungekuwa na hoja.

Lakini mtu unampa jina kabisa? Unajuaje kwamba hana timu yake ya wauaji inayokamilisha kazi?

Kwa nini tunahitimisha huu ni uchawi kabla hata ya uchunguzi?
 
Alikuja mkuu wa mkoa pale kwa mla jicho Nawanda miaka ile. Mbwembwe na mikwara kama yote kumbe wananzengo wanamwangalia tu. Mara hivi mara vile...miezi mitatu haijaisha wakamlaza nje uchi wa mnyama, wakampiga na upara mpaka kwenye vuzi; na chale za kutosha...fisi wameingia ndani na kunya humo. Ilibidi aondoke lakini aliishia ku-RIP. Ndiyo maana akina Kihongosi inabidi wajitambulishe kwa waganga wa tiba za jadi kabla ya kuanza kazi maana ukijichanganya tu hutoboi...Ya walimwengu!

Screenshot_20240709_192045_Samsung Internet.jpg
 
Funzo: sio kila binadamu anafurahia mafanikio yako.

Muhimu ni kuhakikisha unadumu katika ibada na maombi kila siku iitwayo leo.
Sasa mkuu izo mambo za maoni si ndio hazifungamani na ile sayansi yetu waafrika, hauoni kma utachanganya maji na mafuta hapo. Maana kwa maelezo ya bro ni sayansi ya kiafrika ndio ikimuokoa jamaa
 
Masuala ya uchawi nimeshindwa kabisa kuyaamini. Kijijini kwetu kuna izo mambo sana tu mpaka kuna njia ambazo zinasemakana ni vituo vya wachawi kufanya mikutano yao kwaiyo hautakiwi kupita usiku wakati izo njia nishapita sana na sijawahi kupatwa na chochote.

Wakati tunasoma kuna classmate ilikua inasemakana kwamba ni mchawi tulizinguana akanitishia anaenda kunitengeneza nikamwambia hawezi na makofi nikamtandika na hajawhi kunifanya chochote.

Halafu kitu kingine ninachojiuliza kwanini uchawi utumike kwa vificho na uwe na lengo la kufanya mambo mabaya tu. Hivi haiwezekani ukatumika kufanya jambo zuri na kwa uwazi. Mfano mtu anapaa na ungo na kufika anapoenda kwa muda mfupi kushinda hata ndege ya abiria, hivi haiwezekani iyo sayansi ya kupaa na ungo ikafundishwa kwa uwazi na watu wakanufaika nayo mfano mgonjwa mahututi yupo mkoani anatakiwa kufika muhimbili anapakizwa kwenye ungo dakika 1 tu ashafika pale muhimbili.
 
Masuala ya uchawi nimeshindwa kabisa kuyaamini. Kijijini kwetu kuna izo mambo sana tu mpaka kuna njia ambazo zinasemakana ni vituo vya wachawi kufanya mikutano yao kwaiyo hautakiwi kupita usiku wakati izo njia nishapita sana na sijawahi kupatwa na chochote.

Wakati tunasoma kuna classmate ilikua inasemakana kwamba ni mchawi tulizinguana akanitishia anaenda kunitengeneza nikamwambia hawezi na makofi nikamtandika na hajawhi kunifanya chochote.

Halafu kitu kingine ninachojiuliza kwanini uchawi utumike kwa vificho na uwe na lengo la kufanya mambo mabaya tu. Hivi haiwezekani ukatumika kufanya jambo zuri na kwa uwazi. Mfano mtu anapaa na ungo na kufika anapoenda kwa muda mfupi kushinda hata ndege ya abiria, hivi haiwezekani iyo sayansi ya kupaa na ungo ikafundishwa kwa uwazi na watu wakanufaika nayo mfano mgonjwa mahututi yupo mkoani anatakiwa kufika muhimbili anapakizwa kwenye ungo dakika 1 tu ashafika pale muhimbili.
Nasikiaga kuna dark magic na white magic.
Inawezekana hiz ndege tunepanda ndio uchawi wa upande wa pil tunakula matunda yake
 
Nasikiaga kuna dark magic na white magic.
Inawezekana hiz ndege tunepanda ndio uchawi wa upande wa pil tunakula matunda yake
Nikiwa na uwezo nitafanya mpango wa kukusanya wachawi nguli wote kila mkoa tufanye mpango wa kuitumia hii sayansi ya uchawi kwa maendeleo kwenye jamii. Sasa kama unaweza kuweka ndumba golini na hata aje halaand hapo hafungi hivi tunashindwa vipi kuchukua world cup.
 
Nikiwa na uwezo nitafanya mpango wa kukusanya wachawi nguli wote kila mkoa tufanye mpango wa kuitumia hii sayansi ya uchawi kwa maendeleo kwenye jamii. Sasa kama unaweza kuweka ndumba golini na hata aje halaand hapo hafungi hivi tunashindwa vipi kuchukua world cup.
Walah nimebubuujikwa na machozi walahi
 
Ukishatumia jina la mtu mtu anaweza hata kukutumia majasusi ukauawa.

Hapo hakuna hoja ya kuonesha kuna uchawi umetumika.

Ungesema kwamba huyo mchawi anaweza kuua mtu unayetaka bila hata kukuona wewe wala kupata jina la anayetaka kuuawa, hapo labda ungekuwa na hoja.

Lakini mtu unampa jina kabisa? Unajuaje kwamba hana timu yake ya wauaji inayokamilisha kazi?

Kwa nini tunahitimisha huu ni uchawi kabla hata ya uchunguzi?

mtu anavutwa kwenye chungu anazimwa hapo hapo yani kwa mfano Mimi nataka wewe usiwele duniani napeleka jina lako unavutwa wewe kwenye chungu anafanya mambo yake then within 40 minutes u die..

Yeye yupo Mikumi wewe upo Bukoba. Na una kufa kifo cha kawaida sio cha kupigwa Risasi wala kugongwa gari. Unasemaje mtu kama huyo anatumia majasusi?
 
Back
Top Bottom