Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

Uchawi upo enzi na enzi ila jitahidi kuupuuzia na kutokuuogopa
Muamini sana Mungu na muombe sana
Hata wewe inawezekana umerogwa na mahasidi wako ila kwa kuwa sio mda wako basi inadunda

Ni kama mbu wanang'ata wote ila wengine hatupati malaria
Ukishapeleka jina tu, ushajiondoa kwenye uchawi.

Huelewi wapi?
 
Uchawi upo na una nguvu dhidi ya wale walio katika usawa wa mawimbi yake.

Uchawi ni mawimbi, nishati, nguvu ambayo inaenda kugandamana na mwili wako au ngao ya mwili yako (Auric field) na inatengeneza giza au aina fulani ya NISHATI CHAFU juu yako.

Au, mapepo yanakuganda kwenye mwili wako na kwenye ngao ya mwili wako pale tu ambapo umeweza kushuka kabisa chini katika usawa wa mawimbi ya mapepo.

Mapepo yanafanya kazi kwenye mawimbi ya chini au nguvu ya chini kabisa, kwahiyo ili yakupate lazima ushuke chini katika usawa wao. Ushuke kinishati.

Mimi silogeki, nimejengwa kweli kweli ndani na nje, na pembeni yangu kuna viumbe wenye nguvu ajabu, UKITHUBUTU UTADATA.

Cc: DR Mambo Jambo min -me NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Pascal Mayalla
Umeeleweka asilimia 100
 
As per usual story zote ushirikina ni hearsay tu. Wewe unasimulia kitu ambacho umesimuliwa. Either wewe au aliyekusimulia ni muongo.

Ukitoa story za kijinga za hearsay hakuna ushirikina zaidi ya story story tu mara jana nimekabwa, sijui mtu katokea ukutani, mtu kapaa na ungo mtu kafufuka ndo story za kichawi zinavyoishi hivyo. Ukiulizwa wewe kama wewe nini umewahi kushuhudia na kuthibitisha huu ni ushirikina huna.

Kuamini story za namna hii inabidi na wewe dishi liwe limeyumba maana mtu timamu hawezi kubali kudanganywa kijinga.
Uchawi sio hearsay mkuu , shida unatumia logic kutaka kuelewa uchawi upo ams haupo na kamwe hutokuja kuelewa wala kukubali.
 
Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi??

Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani yatakuja kumshawishi huyu bwana kwamba "okoka uende mbinguni?" Ni nani atakaye weza kumuaminisha kuwa maombi yanafanya kazi?? Sidhan kwakwel, sijui, Mungu pekee anajua.

IKO HIVI.
Huyu jirani yangu ni mwalimu. Kafanya kazi miaka mingi sana na kiumri hatulingani, nafikiri atakua anachezea floor 5 huyu bwana.
Sasa katika utendaji kazi wake akiwa kama second master hapo shuleni kwao, Mungu si athuman, akapitiwa na uteuzi akapewa ukuu wa shule mbele mbele hukoo.Ni hiz shule mpya. Uteuzi huu aliupata ikiwa ni chini ya mwaka toka anunue Subaru forester..

Bas bila hiyana mwamba kashikamana na fursa mpya. Umbali ilipo shule na nyumbani ambako ni karibu na kituo chake cha zaman cha kazi ni kilometa za kutosha tu. Ni kama Dar na Mlandizi hivi. Mwanzon akahamia huko kukaa kituoni nyumban anarudi weekend.
Jamaa akiwa huko hakukaa kizembe, akaji engage sana kwenye kilimo na kwa bahati nzuri na pia bahati mbaya kilimo kikajibu.
Alikodi sana mashamba lima sana.

ILikua bahati nzuri kwa maana ya yeye kuweza sasa kumudu kurudisha majeshi home. Yan kkawa ni akaacha kukaa shuleni akawa anakwemda na kurud kwa gari yake daily. Imagine huo umbali wa Dar Mlandizi kwa gari yake kumudu gharama za fuel yeye kama mwalimu isingewezekana ila jamaa biashara ya kilimo ikampa kiburi, ana push ndinga yake kwenda na kurudi.

Bahati pia ikawa mbaya maana hii raia, ndugu na jamaa na majirani nao huwa hawafurahi sana maisha yetu mazuri. Bas bwana bwana 3 years later jamaa akapata ugonjwa wa ajabu kweli kweli.
Mshkaji kuishiwa damu likawa jambo la kawaida kabisaa, jamaa aliisha sana sana alikonda akawa mweusiiiiiii tii hawezi kutembea kpaka ashikiliwe. Basi bwana hangaika sana ma hospitali huuko waaap, yan jiran yangu ukimuona hutaman kumtazama maea 2, kamwekua kama katoto kaisha moaka huruma. Hangaika sana kutafuta tiba muhimbil na hospital zoote kubwa ila tee.

Jamaa hakua mtu wa iman kabisaa ila ilifikia hatua ya kutafuta kuombewa ila waapi!! Unamtazama mkewe unaishia tu kumuonea huruma maana kaaguza mpaka basi. Ni over 7months jamaa anapambania maisha yake kitandani.
Gari imepaki tu home inaloa vumbi, kazini tena ndio basi kapumzika (kishukuriwe kibarua cha serikali huondoshwi kirahis).

KIla ushauri waliosikia kuhusu kutafuta msaada walifuata. Zishukuriwe pesa. Akisikia daktari huyu au yule anaweza msaidia baa mbiooo mpaka wakachoka ikabaki kuhesabu siku.

Sasa bwana katika haya mambo ya kushauriwa shauriwa inasemekana bwana jirani akashikwa sikio na wajuzi wa mambo kwamba "bwana wewe hapa usipoangalia hutoboi, jaribu upande wa pili maana mpaka sasa hakuna ambacho hujajaribu"

Jamaa kwao iringa huko na kwel baada ya muda jirani akapotea nyumbani. Zile movement pale home zikakata. Baada ya kuuliza tukaambiwa kaenda kuuguzwa nyumbani kwao Iringa. Sasa sisi wengine wenye akili nzito tusiojua kujiongeza tukabaki kusikitika kwa kuhis labda kwa hali ilipofikia wameona ni gharama kusafirisha mwili wa marehemu ukilinganisha na kusafiri na mgonjwa. Yamkini wamempeleka mauti imkute akiwa nyumbani kwao. Ndivyo tukawaza wengine.

Zikapita week 2, hatukusikia habar ya msiba wala nini. Tukaendelea kungoja.
E bwana wee!! Week ya 3 tu ,yaan zilipotimia week 3 tu tika aondoke, tunashangaa jamaa amerudi. Hayuko poa sana lakin improvemwnt ni kubwa sanaaaa. Anaweza toka kwa kujikongoja mwenyewe nje akaota jua mara moja moja.
Tulistaajabu na kufurahi kwa wakar mmoja maana hakuna akiye tarajia miongoni mwetu. Hivyo katika kufika kumpa salamu na kumuona nyumbani tulijikuta tunashangaa sana na sasa vile wengine ni wastaarabu tumeumbiwa aibu, huwez ukiza umeponaje isije onekana kama hujafuraj kupona kwake maana why uulize uulize?? Tukawa tunapiga kimya.

Baada ya week 2 akasafiri tena kwenda iringa kwao. Alikaa almoat mwezi. Aisee jamaa aliye rudi sio huyu wa juzi bali ni complete package ileeee version yake ya kwanza. Jamaa kapona kabisaa, karudi amenawiri afya kama yoote na baada ya week tu akarud kwa kasi kazin na kilimo chake.

Baadae sana katika stori za hapa na pale akajaga kutuambia kwamba waungwana walimchezea na ndio hivyo akaenda kuji restore na kupikwa .

Kwa kifupi jamaa kaponea tundubla sindano, alikua anaondoka live live..

IMEISHA
HAIENDELEI
Hauwezi kufa kama siku zako bado , alipitishwa kwenye mitihani ila njia aliyotumia kuivuka ndiyo questionable uchawi haujawahi kumsaidia mtu kitu zaidi ya kumzidishia maangamizi BELIEVE ME HUYO JAMAA HATA ASINGEENDA KUFANYA HAYO MAUCHAWI ANGEPONA TU NINA USHAHIDI JUU YA HILI KIDOGO STORY YAKE INAFANANA NA YA NDUGU YANGU NA ALIPONA PALE AMBALO ALLAH (subhana huwataala ) aliamua apone .
 
Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi??

Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani yatakuja kumshawishi huyu bwana kwamba "okoka uende mbinguni?" Ni nani atakaye weza kumuaminisha kuwa maombi yanafanya kazi?? Sidhan kwakwel, sijui, Mungu pekee anajua.

IKO HIVI.
Huyu jirani yangu ni mwalimu. Kafanya kazi miaka mingi sana na kiumri hatulingani, nafikiri atakua anachezea floor 5 huyu bwana.
Sasa katika utendaji kazi wake akiwa kama second master hapo shuleni kwao, Mungu si athuman, akapitiwa na uteuzi akapewa ukuu wa shule mbele mbele hukoo.Ni hiz shule mpya. Uteuzi huu aliupata ikiwa ni chini ya mwaka toka anunue Subaru forester..

Bas bila hiyana mwamba kashikamana na fursa mpya. Umbali ilipo shule na nyumbani ambako ni karibu na kituo chake cha zaman cha kazi ni kilometa za kutosha tu. Ni kama Dar na Mlandizi hivi. Mwanzon akahamia huko kukaa kituoni nyumban anarudi weekend.
Jamaa akiwa huko hakukaa kizembe, akaji engage sana kwenye kilimo na kwa bahati nzuri na pia bahati mbaya kilimo kikajibu.
Alikodi sana mashamba lima sana.

ILikua bahati nzuri kwa maana ya yeye kuweza sasa kumudu kurudisha majeshi home. Yan kkawa ni akaacha kukaa shuleni akawa anakwemda na kurud kwa gari yake daily. Imagine huo umbali wa Dar Mlandizi kwa gari yake kumudu gharama za fuel yeye kama mwalimu isingewezekana ila jamaa biashara ya kilimo ikampa kiburi, ana push ndinga yake kwenda na kurudi.

Bahati pia ikawa mbaya maana hii raia, ndugu na jamaa na majirani nao huwa hawafurahi sana maisha yetu mazuri. Bas bwana bwana 3 years later jamaa akapata ugonjwa wa ajabu kweli kweli.
Mshkaji kuishiwa damu likawa jambo la kawaida kabisaa, jamaa aliisha sana sana alikonda akawa mweusiiiiiii tii hawezi kutembea kpaka ashikiliwe. Basi bwana hangaika sana ma hospitali huuko waaap, yan jiran yangu ukimuona hutaman kumtazama maea 2, kamwekua kama katoto kaisha moaka huruma. Hangaika sana kutafuta tiba muhimbil na hospital zoote kubwa ila tee.

Jamaa hakua mtu wa iman kabisaa ila ilifikia hatua ya kutafuta kuombewa ila waapi!! Unamtazama mkewe unaishia tu kumuonea huruma maana kaaguza mpaka basi. Ni over 7months jamaa anapambania maisha yake kitandani.
Gari imepaki tu home inaloa vumbi, kazini tena ndio basi kapumzika (kishukuriwe kibarua cha serikali huondoshwi kirahis).

KIla ushauri waliosikia kuhusu kutafuta msaada walifuata. Zishukuriwe pesa. Akisikia daktari huyu au yule anaweza msaidia baa mbiooo mpaka wakachoka ikabaki kuhesabu siku.

Sasa bwana katika haya mambo ya kushauriwa shauriwa inasemekana bwana jirani akashikwa sikio na wajuzi wa mambo kwamba "bwana wewe hapa usipoangalia hutoboi, jaribu upande wa pili maana mpaka sasa hakuna ambacho hujajaribu"

Jamaa kwao iringa huko na kwel baada ya muda jirani akapotea nyumbani. Zile movement pale home zikakata. Baada ya kuuliza tukaambiwa kaenda kuuguzwa nyumbani kwao Iringa. Sasa sisi wengine wenye akili nzito tusiojua kujiongeza tukabaki kusikitika kwa kuhis labda kwa hali ilipofikia wameona ni gharama kusafirisha mwili wa marehemu ukilinganisha na kusafiri na mgonjwa. Yamkini wamempeleka mauti imkute akiwa nyumbani kwao. Ndivyo tukawaza wengine.

Zikapita week 2, hatukusikia habar ya msiba wala nini. Tukaendelea kungoja.
E bwana wee!! Week ya 3 tu ,yaan zilipotimia week 3 tu tika aondoke, tunashangaa jamaa amerudi. Hayuko poa sana lakin improvemwnt ni kubwa sanaaaa. Anaweza toka kwa kujikongoja mwenyewe nje akaota jua mara moja moja.
Tulistaajabu na kufurahi kwa wakar mmoja maana hakuna akiye tarajia miongoni mwetu. Hivyo katika kufika kumpa salamu na kumuona nyumbani tulijikuta tunashangaa sana na sasa vile wengine ni wastaarabu tumeumbiwa aibu, huwez ukiza umeponaje isije onekana kama hujafuraj kupona kwake maana why uulize uulize?? Tukawa tunapiga kimya.

Baada ya week 2 akasafiri tena kwenda iringa kwao. Alikaa almoat mwezi. Aisee jamaa aliye rudi sio huyu wa juzi bali ni complete package ileeee version yake ya kwanza. Jamaa kapona kabisaa, karudi amenawiri afya kama yoote na baada ya week tu akarud kwa kasi kazin na kilimo chake.

Baadae sana katika stori za hapa na pale akajaga kutuambia kwamba waungwana walimchezea na ndio hivyo akaenda kuji restore na kupikwa .

Kwa kifupi jamaa kaponea tundubla sindano, alikua anaondoka live live..

IMEISHA
HAIENDELEI
Mkuu ninakukubalia kw aasilimia 1000/1000 uchawi upo na mtu asiye amini kama uchawi haupo basi ujuwe hajarogwa huyo na akisha rogwa ndipo atakapo amini kuwa kama kuna uchawi upo.
 
mkuu dont estimate the power of witch craft...

Hii sanaa ni hatari sana.. mimi kuna mwamba alikataa katakata kununua kiwanja changu tena kwa laki 6.

nilimwendea kwa wazee, kaja mwenyewe na na hela zaidi ya ile tuliyoongea na kakinunuaView attachment 3038105
Subiri wandewa hasa wa kike wakujalie dm kuomba namba za wazee.
 
Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi??

Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani yatakuja kumshawishi huyu bwana kwamba "okoka uende mbinguni?" Ni nani atakaye weza kumuaminisha kuwa maombi yanafanya kazi?? Sidhan kwakwel, sijui, Mungu pekee anajua.

IKO HIVI.
Huyu jirani yangu ni mwalimu. Kafanya kazi miaka mingi sana na kiumri hatulingani, nafikiri atakua anachezea floor 5 huyu bwana.
Sasa katika utendaji kazi wake akiwa kama second master hapo shuleni kwao, Mungu si athuman, akapitiwa na uteuzi akapewa ukuu wa shule mbele mbele hukoo.Ni hiz shule mpya. Uteuzi huu aliupata ikiwa ni chini ya mwaka toka anunue Subaru forester..

Bas bila hiyana mwamba kashikamana na fursa mpya. Umbali ilipo shule na nyumbani ambako ni karibu na kituo chake cha zaman cha kazi ni kilometa za kutosha tu. Ni kama Dar na Mlandizi hivi. Mwanzon akahamia huko kukaa kituoni nyumban anarudi weekend.
Jamaa akiwa huko hakukaa kizembe, akaji engage sana kwenye kilimo na kwa bahati nzuri na pia bahati mbaya kilimo kikajibu.
Alikodi sana mashamba lima sana.

ILikua bahati nzuri kwa maana ya yeye kuweza sasa kumudu kurudisha majeshi home. Yan kkawa ni akaacha kukaa shuleni akawa anakwemda na kurud kwa gari yake daily. Imagine huo umbali wa Dar Mlandizi kwa gari yake kumudu gharama za fuel yeye kama mwalimu isingewezekana ila jamaa biashara ya kilimo ikampa kiburi, ana push ndinga yake kwenda na kurudi.

Bahati pia ikawa mbaya maana hii raia, ndugu na jamaa na majirani nao huwa hawafurahi sana maisha yetu mazuri. Bas bwana bwana 3 years later jamaa akapata ugonjwa wa ajabu kweli kweli.
Mshkaji kuishiwa damu likawa jambo la kawaida kabisaa, jamaa aliisha sana sana alikonda akawa mweusiiiiiii tii hawezi kutembea kpaka ashikiliwe. Basi bwana hangaika sana ma hospitali huuko waaap, yan jiran yangu ukimuona hutaman kumtazama maea 2, kamwekua kama katoto kaisha moaka huruma. Hangaika sana kutafuta tiba muhimbil na hospital zoote kubwa ila tee.

Jamaa hakua mtu wa iman kabisaa ila ilifikia hatua ya kutafuta kuombewa ila waapi!! Unamtazama mkewe unaishia tu kumuonea huruma maana kaaguza mpaka basi. Ni over 7months jamaa anapambania maisha yake kitandani.
Gari imepaki tu home inaloa vumbi, kazini tena ndio basi kapumzika (kishukuriwe kibarua cha serikali huondoshwi kirahis).

KIla ushauri waliosikia kuhusu kutafuta msaada walifuata. Zishukuriwe pesa. Akisikia daktari huyu au yule anaweza msaidia baa mbiooo mpaka wakachoka ikabaki kuhesabu siku.

Sasa bwana katika haya mambo ya kushauriwa shauriwa inasemekana bwana jirani akashikwa sikio na wajuzi wa mambo kwamba "bwana wewe hapa usipoangalia hutoboi, jaribu upande wa pili maana mpaka sasa hakuna ambacho hujajaribu"

Jamaa kwao iringa huko na kwel baada ya muda jirani akapotea nyumbani. Zile movement pale home zikakata. Baada ya kuuliza tukaambiwa kaenda kuuguzwa nyumbani kwao Iringa. Sasa sisi wengine wenye akili nzito tusiojua kujiongeza tukabaki kusikitika kwa kuhis labda kwa hali ilipofikia wameona ni gharama kusafirisha mwili wa marehemu ukilinganisha na kusafiri na mgonjwa. Yamkini wamempeleka mauti imkute akiwa nyumbani kwao. Ndivyo tukawaza wengine.

Zikapita week 2, hatukusikia habar ya msiba wala nini. Tukaendelea kungoja.
E bwana wee!! Week ya 3 tu ,yaan zilipotimia week 3 tu tika aondoke, tunashangaa jamaa amerudi. Hayuko poa sana lakin improvemwnt ni kubwa sanaaaa. Anaweza toka kwa kujikongoja mwenyewe nje akaota jua mara moja moja.
Tulistaajabu na kufurahi kwa wakar mmoja maana hakuna akiye tarajia miongoni mwetu. Hivyo katika kufika kumpa salamu na kumuona nyumbani tulijikuta tunashangaa sana na sasa vile wengine ni wastaarabu tumeumbiwa aibu, huwez ukiza umeponaje isije onekana kama hujafuraj kupona kwake maana why uulize uulize?? Tukawa tunapiga kimya.

Baada ya week 2 akasafiri tena kwenda iringa kwao. Alikaa almoat mwezi. Aisee jamaa aliye rudi sio huyu wa juzi bali ni complete package ileeee version yake ya kwanza. Jamaa kapona kabisaa, karudi amenawiri afya kama yoote na baada ya week tu akarud kwa kasi kazin na kilimo chake.

Baadae sana katika stori za hapa na pale akajaga kutuambia kwamba waungwana walimchezea na ndio hivyo akaenda kuji restore na kupikwa .

Kwa kifupi jamaa kaponea tundubla sindano, alikua anaondoka live live..

IMEISHA
HAIENDELEI
Tufanye hivi... Sisi hatuamini uchawi...nyie mnaamini...full stop..
Msianze kusema hoo sijui Fulani na Fulani, hata mwamposa katikisa kawe ila haibadilishi fact kwamba ye ni tapeli tu kama magician na trickster wengine waliolewa mfumo.

So if unaamini uchawi upo ..upo kwa unayeamini..usilazimishe wengine kuamini upo.
 
Aliyemfanyia hivyo huenda ni mtu wa karibu sana. Ningekuwa yeye ningemrudishia huo mzigo mara mbili. Ndugu zangu, dunia ndivyo ilivyo, sio kila mtu anafurahiya mafanikio yako.
Jamaa kaamua kuachilia tu..ujue usomi unasaidia sana hata kwenye nduma, mchawi msomi ni tofauti kidogo na mchawi mjinga..anakua a little bit civilized 😂
 
Yaani stori nzima kutuaminisha kwamba uchawi na waganga wapo. Nchi imeharibika. Sasa bila shaka utasubiri kuulizwa mganga gani huko iringa ili uanze kupiga hela za udalali. Fanyeni kazi jamani fursa zipo sio kutafuta kudhulumu wenzenu.
Sawa kamanda. Uzuri hatushikian visu ili uibiwe unakuja mwenyewe tu sasa hpo shida iko wapi??😂
 
Uchawi upo enzi na enzi ila jitahidi kuupuuzia na kutokuuogopa
Muamini sana Mungu na muombe sana
Hata wewe inawezekana umerogwa na mahasidi wako ila kwa kuwa sio mda wako basi inadunda

Ni kama mbu wanang'ata wote ila wengine hatupati malaria
Nakubali chief. Umenena sahihi. Mimi binafsi kama isingekua umani yangu kwa Mungu bas tungekua tunaongea mengine hapa leo. Nishawindwa sana kuanzia kwa yf mpaka watoto. Only prayers keep us safe.
 
Back
Top Bottom