Uchawi ni nini?Mimi naamini unajuwa kabisa uchawi upo sema unaupotezea tu, ila deep ndani ya nafsi unafahamu vyema uchawi upo.
Pengine una experience ndogo.au wewe ni wale watoto wa mboga saba wa kutumia viswanglish mkidhania mnajua kila kitu, ukidhania unachoona kwa macho ndio kila kitu basi una safari ndefu..Hiyo ni science. Naona mnajaribu ku explain ulozi in scientific ways, could y'all contradict yourselves any more?
Kwenye ushirikina ukiacha story hamna proof hata siku moja. Science ambacho hujui Leo au ambacho hujafika level yake ukifika utajulishwa na kuonyeshwa scientifically na majibu yatakua consistent. Kwenye ushirikina ni story tu mwanzo mwisho kila siku mnahamisha goal post. Kama mtu anapaa na ungo nionyeshe usinipe story. Kama watu wanafufuka, wanatokea ukutani, wanageuka kuwa jiwe nionyeshe proof with consistent results sio story. Tumeomba humu turogwe tena kwa kutoa hela wenyewe hadi Leo tunadunda tu wachawi hao hao wanakuja tena kuuliza majina yetu yani mtu anayeweza kupaa na ungo hawezi kujua jina lako kichawi [emoji28]
Maskini wazungu wamecheza na akili yako wamekudanganya na kukupat.Ukishatumia jina la mtu mtu anaweza hata kukutumia majasusi ukauawa.
Hapo hakuna hoja ya kuonesha kuna uchawi umetumika.
Ungesema kwamba huyo mchawi anaweza kuua mtu unayetaka bila hata kukuona wewe wala kupata jina la anayetaka kuuawa, hapo labda ungekuwa na hoja.
Lakini mtu unampa jina kabisa? Unajuaje kwamba hana timu yake ya wauaji inayokamilisha kazi?
Kwa nini tunahitimisha huu ni uchawi kabla hata ya uchunguzi?
Hapo tumpe Hongera lo kwani Mungu amemponya
Thibitisha uliloandika ni kweli na si njozi zako tu.Maskini wazungu wamecheza na akili yako wamekudanganya na kukupat.
Nathibitisha kuwa ulizaliwa na kukua katika kumjua Mungu bahati mbaya ukadondokea mikononi mwa watu waovu wakateka fikra zako ,ambapo mpaka sasa hujitambui maskiniiii.Thibitisha uliloandika ni kweli na si njozi zako tu.
Thibitisha Mungu yupo kweli na si kitu cha kwenye hadithi tu.Nathibitisha kuwa ulizaliwa na kukua katika kumjua Mungu bahati mbaya ukadondokea mikononi mwa watu waovu wakateka fikra zako ,ambapo mpaka sasa hujitambui maskiniiii.
Nathibitisha kwakuwa napewa kie nachoomba na vingine kwa hali ya kawaida isingewezekana,muabudu ibilisi huwezi kuelewa hili.Thibitisha Mungu yupo kweli na si kitu cha kwenye hadithi tu.
Ukishaona haja ya kuomba tu, huo nao ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Nathibitisha kwakuwa napewa kie nachoomba na vingine kwa hali ya kawaida isingewezekana,muabudu ibilisi huwezi kuelewa hili.
hata akijitokeza leo hii mbele yako na akasema mimi ndie Mungu mwenye nguvu ,mwenye kuumba huu ulimwengu bado hatoamini na utamkataliaUkishaona haja ya kuomba tu, huo nao ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, angekupa unachohitaji kabla hujakijua na kukiomba.
Hujathibitisha Mungu huyo yupo.
Kwa kuomba, umethibitisha Mungu huyo hayupo.
Kama yupo angeeleweka bila kujitokeza.hata akijitokeza leo hii mbele yako na akasema mimi ndie Mungu mwenye nguvu ,mwenye kuumba huu ulimwengu bado hatoamini na utamkatalia
Huwa unajitoa ufahamu tu hapa JF ila wewe ni bonge la akili kubwaβ¦@Uandishi wako.Uchawi upo na una nguvu dhidi ya wale walio katika usawa wa mawimbi yake.
Uchawi ni mawimbi, nishati, nguvu ambayo inaenda kugandamana na mwili wako au ngao ya mwili yako (Auric field) na inatengeneza giza au aina fulani ya NISHATI CHAFU juu yako.
Au, mapepo yanakuganda kwenye mwili wako na kwenye ngao ya mwili wako pale tu ambapo umeweza kushuka kabisa chini katika usawa wa mawimbi ya mapepo.
Mapepo yanafanya kazi kwenye mawimbi ya chini au nguvu ya chini kabisa, kwahiyo ili yakupate lazima ushuke chini katika usawa wao. Ushuke kinishati.
Mimi silogeki, nimejengwa kweli kweli ndani na nje, na pembeni yangu kuna viumbe wenye nguvu ajabu, UKITHUBUTU UTADATA.
Cc: DR Mambo Jambo min -me NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Pascal Mayalla
Pole sana mkuu.Mwanzo nilikua siamini... Sasa 2015 nipo zangu kwenye mbanga za kutafuta mkate nikadondokea Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu Kigoma. Kuna siku mkimbizi mmoja wa kirundi alinichezea sangulo la kichawi, siwezi sahau.
ππ Kuna jamaa aliniambia hivyoPole sana mkuu.
Huyo mrundi alikupapasa tu, ngoma ipo kwa wakongo.
πππππ Kuna jamaa aliniambia hivyo
Wewe unaishi mbele una afadhali mkuu.Kwa sababu huko hakunaga ishu za ushirikina,na Kama zipo Basi Ni za kuhesabu tu.Kuna watu wasipoelewa kitu chochote wanaweka majibu mawili tu.
Mungu na uchawi.
Ni ujinga tu.
Unajuaje huu ni uchawi na sio kitu kingine tu ambacho sijakielewa?Wewe unaishi mbele una afadhali mkuu.Kwa sababu huko hakunaga ishu za ushirikina,na Kama zipo Basi Ni za kuhesabu tu.
Ila ukija huku Africa ndio utaamini uchawi upo.
Na sio eti utasimuliwa Bali utaona kwa macho yako mwenyewe.
Uchawi upo na una nguvu dhidi ya wale walio katika usawa wa mawimbi yake.
Uchawi ni mawimbi, nishati, nguvu ambayo inaenda kugandamana na mwili wako au ngao ya mwili yako (Auric field) na inatengeneza giza au aina fulani ya NISHATI CHAFU juu yako.
Au, mapepo yanakuganda kwenye mwili wako na kwenye ngao ya mwili wako pale tu ambapo umeweza kushuka kabisa chini katika usawa wa mawimbi ya mapepo.
Mapepo yanafanya kazi kwenye mawimbi ya chini au nguvu ya chini kabisa, kwahiyo ili yakupate lazima ushuke chini katika usawa wao. Ushuke kinishati.
Mimi silogeki, nimejengwa kweli kweli ndani na nje, na pembeni yangu kuna viumbe wenye nguvu ajabu, UKITHUBUTU UTADATA.
Cc: DR Mambo Jambo min -me NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Pascal Mayalla