Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Weka majina yako matatu halisi.
Weka majina ya mama yako matatu.
Vitu vya ziada leta nguo ambayo umeshaivaa ila haijafuliwa.
Leta mchanga mahali ulipokanyaga .
Mchawi anayeweza kupaa na ungo mkoa to mkoa. Kupenya ukutani hana uwezo wa kujua jina tu 🤣 🤣 huwa mnawaza kweli mambo mnayoongea?