Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma


Hakika! Wewe na barufu ni watoto wa baba na mama mmoja!

Nimewatambua kwa namna mnavyo ongea na sauti zenu! Karibuni tuote moto

Mwenzio [HASHTAG]#Barafu[/HASHTAG] yupo wapi, hatujamsikia na yeye kwa muda sasa!
 
Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....

Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!

Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
 
Issues ya babu seya uwongo mtupu nilikutana na mmoja ya watu waliounganishiwa kwenye kesi ila jamaa alichomoka
Picha lilichezwa tu pale
Kuna mahakimu walijioa
Kuna maagizo walikua wanapewa na watu wasiojulikana
Ni hatari tupu
Umeonaeeeh lakini kutuambia sijui alimchukulia kikwete mwanamke au walibaka mie nakataa maana MAGUFURI namjuwa
 
Sawa mkuu
 
Mkuu kwa kusema Kagame kaanza siku nyingi, interest yake hapo kwa Imran ilikua nini??
 

Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
 
mh! mazito haya
 
Dr Omar Alli juma mtandao wake ukibebwa na Mkapa ulikua ni hatari!! The only way ilikua ni hiyo. Tishio kuu la boys2men ktk safari yao ya 2005 na 1. Alikua nyerere na.2 alikuwa Dr omar
Ni kweli huyo vice president alikuwa mstari wa mbele kuwahimiza ndugu zake waislamu kutokukimbia umande inshort alipendwa sana .

Alionekana kama mtu atakae kuja kumrithi Nkapa ila kwakua vijana machachari walikuwa kazini wakijiita boys2 men a.k.a golden boys mission accomplished in 2001
 
WAJAMENI MAKABURI MENGINE SIO YA KUFUKUA KABISA, YATUPASA KUYAFUNIKA KWA ZEGE ILI MWANAHARAMU ASEPE ZAKE. KUFUKUA MAKABURI TUNAAMSHA KISASI MIOYONI MWA WAHANGA, NA KUHATARISHA MAISHA YA ALIYETII AMRI KAMA ILIVYO ADA YA KAZI YAKE.
 
Mi nnakataaa aiseeee..........!
 

Si bora asome tu kwani ni lazima kuchangia ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…