Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

duh nimechek hiyo clip, inakuaje sasa aliye shuka hiyo sumu asidhurike ndani ya muda mfupi kama aliyepakwa?
 
hivi wana familia wanaposoma au kugundua kuwa baba yao "aliharakishwa" hakuna wa kufikiria kulipiza kisasi? au ndio maana hawapewi nafasi ya kuwa viongozi wakubwa wasije kuingia ndani ya system na kufanya yao?
 
Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
 
Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
na wewe ukaamini? tuchukulie unamiliki malori 5 yote yanaweza pata ajali ndani ya siku moja kiasi cha kukufanya upatwe na shinikizo?
 
Ndomana had leo nikisikia story za huyu mmakuwa huwasishangai akiita watz malofa na wapumbavu!!naskia alikuwa mlevi anazima ikulu kama hana akili timamu
 
Ukikiuka mashaliti ya shetani halafu bado ukawa upande wake kifo chako kipo njiani.
 
Nikikumbuka kifo cha Dr huwa kinaniuma sana,kilinikuta Temeke kwa dadangu ambaye miaka miwili baadae nae akafa kifo cha utata baada ya kuanguka tu nakuanza kutoa damu ilisemekana aliwekewa sumu kwenye kinywaji,hii dunia.
Pole sana Mkuu,

Funguka zaidi ili wadau tupate chochote kuhusu utata wa kifo cha Dada yako.
 
Mmoja udini ulimtawala
 
This's so deep,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…