Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Kuna Cloves ambazo ni transparent ambazo hata Mtu akivaa anaweza kupita kwny machine au kuchukuliwa fingerprint bila ya mchukuaji kujua kuwa anaechukuliwa kavaa, huenda ndio zilitumika
Dah wewe jamaa sina neno nna kila sababu ya kutojutia kuku follow hapa una madini hatari ndani ya nchi nje ya nchi
Hii CCM ndio unaijua
Comrade kikwete sana tu
 
Mkapa azeeki maini wala akili . Mi bado napunguza baridi watakuja wataalamu hili jambo mbona inajulikana au ulikua mdogo by then nakukosa hotuba zile za ndugu Wananchi kila mwisho wa mwezi .
 
Maiti ilipasuka l!! Sijawahi sikia aisee
 
Boys2men ni hatari!! Lowassa kuna karma anailipia hata JK naamini atailipia.....rip Julius K Nyerere
Daah! Kwa hii rip ya Jk Nyerere kwenye thread inayohusu kifo chenye utata cha Omar Juma tayari inaonyesha wahuka wa vifo vyenye utata wa hawa viongozi wawili wahusika ni wamoja.
Asante sana Melo maana bila wewe wengine tusingejua.Vijana endeleeni kufukua makaburi wengine tutajitolea kuyafukia kwa mara ya pili
 
Mkuu unapoangalia documentary au unaposoma kitabu usichukulie km Ni msaafu
Documentary za kisiasa huwa znalenga kitu fulan jawafikia watu fulan

Hivi unajua kuwa all Jazeera ilianzishwa kwa msaada wa USA ili kupunguza chuki dhidi ya nchi za Maghreb?

Nchi za kiarabu ilifikia wakat hawaamin media za magharibi, USA ikakaa na mshirika wake wakaja na aljazeera lengo kubwa Ni kuwapa nafas waarabu waseme kupunguza sumu

Na we baada ya kuangalia documentary ukaamin kabisa Iran anaweza kumchonganisha USA apigane na Iraq?

Bro kuwa mdadis don't be spoon feed
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Mkuu wengine tuna immunity ebu mwaga mboga hata pm.
 
Banya mulenge wamba dia wamba dah hayo majina yananikumbusha mbali..
 
mimi nilisikia eti yule shehe maarufu alikuwa anajaribu kombora kama north korea bahati mbaya ndo likampitia dokta
 
Usalama wa babu seya upo hapa nchini Tanzania,... Na huenda ilikuwa salama zaidi kama angeendelea kuachwa gerezani..., Binafsi niliwahi kusikia kwa mtu kuwa jamaa anahifadhiwa tu kule jela yeye na familia yake....
 
Tunavyojua sisi ni Dawa za kuongeza nguvu za kiume. BP ikapanda sana. Tuwache uvumi wa kijinga. Yeye mwenyewe akijitayaeisha kwa 6 kwa 6
 
Huu uzi unanza kunitisha hivi kuuliza sio ujinga wajameni hivi Tanzania tuna muda gani wa listeria kuruhusiwa kutoa classified information kwenye public domain ?

Sheria yenyewe tunayo kweli ?
Tz hatuna sheria hiyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…