Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Kuna Cloves ambazo ni transparent ambazo hata Mtu akivaa anaweza kupita kwny machine au kuchukuliwa fingerprint bila ya mchukuaji kujua kuwa anaechukuliwa kavaa, huenda ndio zilitumika
Dah wewe jamaa sina neno nna kila sababu ya kutojutia kuku follow hapa una madini hatari ndani ya nchi nje ya nchi
Hii CCM ndio unaijua
Comrade kikwete sana tu
 
Mkapa azeeki maini wala akili . Mi bado napunguza baridi watakuja wataalamu hili jambo mbona inajulikana au ulikua mdogo by then nakukosa hotuba zile za ndugu Wananchi kila mwisho wa mwezi .
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Maiti ilipasuka l!! Sijawahi sikia aisee
 
Boys2men ni hatari!! Lowassa kuna karma anailipia hata JK naamini atailipia.....rip Julius K Nyerere
Daah! Kwa hii rip ya Jk Nyerere kwenye thread inayohusu kifo chenye utata cha Omar Juma tayari inaonyesha wahuka wa vifo vyenye utata wa hawa viongozi wawili wahusika ni wamoja.
Asante sana Melo maana bila wewe wengine tusingejua.Vijana endeleeni kufukua makaburi wengine tutajitolea kuyafukia kwa mara ya pili
 
Inanikumbusha habari ya Ahmed chalabi leo nilikuwa nacheck documentary aljazeera,
alikuwa mpinzani wa saddamu huseini,
sasa kumbe pia ni jasusi wa iran,
wairan wamesuka ushahidi fake kuwa saddamu ana silaha za maangamizi,sijui kanunua uranium toka Niger na ana mobile labaratory za kutengeza chemical weapons,
kawafuata wamarekani na kuwaonyesha ushahidi,
mmarekani kaingia mkenge akamvamia saddamu na kumtoa madarakani na kumsimika Ahmed chalabi kuwa prime minister,
chalabi akafungulia wairan iraq ambao tena wakaanza kuwaua wamarekani remember moqtada al sadr,
marekani kuja kushituka tayari iraq imekuwa under iran influence mpaka kesho.

Wamerekani waliudhika sana walipogundua kumbe chalabi ni agent wa iran,yaani iran wamewatumia wamarekani kumtoa na hatimae kumuua saddamu ambae alikuwa adui yao mkubwa,
kikatumwa kikosi kazi cha marekani CIA kinaitwa SAD-special Activities Deparment kummaliza chalabi.
Basi siku moja chalabi yuko aljazeera anahojiwa jinsi ushahidi wa kumtoa saddamu ulivyokua fake,chalabi akaruka kimanga kuwa haiwezekani taifa kubwa super power kama marekani litegemee ushahidi wao akina chalabi kuanzisha vita wakati wao wana asset za kutosha kupata information zote na kuact accodingly.
Masaa kumi baada ya mahojiano hayo Ahmed chalab akapatikana kafa chumbani kwake,kumpima wanakuta ni heart attack.

Sasa sijui walimpaka vx bila yeye kujua ama walimpulizia hewa chumbani akiwa kalala,
hizi sumu za kafie mbele ni noma
Mkuu unapoangalia documentary au unaposoma kitabu usichukulie km Ni msaafu
Documentary za kisiasa huwa znalenga kitu fulan jawafikia watu fulan

Hivi unajua kuwa all Jazeera ilianzishwa kwa msaada wa USA ili kupunguza chuki dhidi ya nchi za Maghreb?

Nchi za kiarabu ilifikia wakat hawaamin media za magharibi, USA ikakaa na mshirika wake wakaja na aljazeera lengo kubwa Ni kuwapa nafas waarabu waseme kupunguza sumu

Na we baada ya kuangalia documentary ukaamin kabisa Iran anaweza kumchonganisha USA apigane na Iraq?

Bro kuwa mdadis don't be spoon feed
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Mkuu wengine tuna immunity ebu mwaga mboga hata pm.
 
Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!

Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal

Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!

Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Banya mulenge wamba dia wamba dah hayo majina yananikumbusha mbali..
 
mimi nilisikia eti yule shehe maarufu alikuwa anajaribu kombora kama north korea bahati mbaya ndo likampitia dokta
 
Mkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia
Usalama wa babu seya upo hapa nchini Tanzania,... Na huenda ilikuwa salama zaidi kama angeendelea kuachwa gerezani..., Binafsi niliwahi kusikia kwa mtu kuwa jamaa anahifadhiwa tu kule jela yeye na familia yake....
 
Tunavyojua sisi ni Dawa za kuongeza nguvu za kiume. BP ikapanda sana. Tuwache uvumi wa kijinga. Yeye mwenyewe akijitayaeisha kwa 6 kwa 6
 
Huu uzi unanza kunitisha hivi kuuliza sio ujinga wajameni hivi Tanzania tuna muda gani wa listeria kuruhusiwa kutoa classified information kwenye public domain ?

Sheria yenyewe tunayo kweli ?
Tz hatuna sheria hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom