Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma




Khaaa
 
Hawa jamaa waliachiwa kabla 2012.
 
M
Mtu akishika rungu anakuwa na nguvu sana huenda Mzee wa butiama ali muunderestimate chee nkap akijua n mzanzibar koko ,matokeo yake ndo hayo sasa,uzuri usanii huo aliwafundisha mwenyew
 
Lakini hapa hapakuwa pia na nguvu nyingine kutoka uaduini tulimofikiri?kwa maana maadui wengine mmoja wao alikuwa anakataliwa na mwalimu kusimika bendera mlima kilimanjaro kwa sababu ya kuwa na maziwa na asali nyingi.
Mwingine aliambiwa umri hautampa busara kuachiwa boma.
Hawa hawakuwa na mkono wao?
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Kweli...kuna kakasi kuliendeleza
 
Akili mbovu tu,ukishaambiwa SABASABA ni mwzi wa saba na imepewa jina kutokana na kupangana kwa saba zinazofuatana.
Watanzania tunajua mwezi wa nne ni sikukuu yenu(WAJINGA) tarehe 1/4_,, PASAKA na MUUNGANO.
Ndiyo maana nikapata mashaka na utaifa wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…