Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Ndiyo kijikanisa tu

Ova
Kuna mdada kaanzisha cha kwake hapa mtaani, halafu anajiita nabii,
Anapiga pesa hatari, alikuwa kapanga chumba kimoja cha udongo kabla hajaanzisha kanisa sahivi ndani ya mwaka tu ana nyumba nzuri, Umeme na. Maji ndani.
Yupo mbioni kuvuta gari.
 
Kuna mdada kaanzisha cha kwake hapa mtaani, halafu anajiita nabii,
Anapiga pesa hatari, alikuwa kapanga chumba kimoja cha udongo kabla hajaanzisha kanisa sahivi ndani ya mwaka tu ana nyumba nzuri, Umeme na. Maji ndani.
Yupo mbioni kuvuta gari.
Watanzania wengi waamini miujiza
Kuona....
Wajinga ni wengi.......
Si unamuona kule zumarid anateseka na wafuasi wake

Ova
 
Bhasi tu Rushwa ni adui wa haki ilaa Yule jamaa kamalizwaa
 
Mkuu umenikumbusha channel yangu pendwa...Investigation Discovery..kuna wabobevu huko na manguli wa hizi kazi,kuna mamilioni ya kesi kama hizi za Masanja ambazo zimekua solved.
vitu kama hivyo huvipati azam tv ya waswahili unavipata DSTV watu wenye akili pekeee
 
Masanja ameshatua nchini kutoka USA kama dakika 25 zilizopita ,amepokelewa na Mkewe Monica pamoja na Mc Luvanda na Mkewe Lilian masha.

View attachment 2377408
Ndio wachungaji wanatakiwa kuwa hivi
, mtu amepoteza maisha na tena sio mtu wa mbali ni katibu wa kanisa lako unapata wapi nguvu ya kusherekea Public eti kwa sababu unataka kuwaprove watu wrong
Kumbukeni: namzungumzia katibu wa kanisa lako namzungumzia mtu ambae walikua wakiiishinae nyumba moja many year unapata wapi nguv ya hawa watu kusherekea hivi
Jamaaa amezikwa ata siku mbili bado yaani namzungumzia hata kaburi la marehem halijakauka ? Je mmewahi kufikiria mke wa marehem? Mmewah kuwafikiria ndugu wa marehem mama mzazi na Baba mzazi wa marhem??????
Mungu atupe hekima hiii mitandao isitusahaulishe utu
 
Peoples wanataka kusikia Masanja has found guilty and nothing else na mke wa Mtu Ni sumu so huyo Marehemu , he has reap what he sow that All.

Ikigundulika Umeua Unatakiwa Uuliwe nawe Over!
MUNGU tuu ndio mwenye Mamlaka ya Kuuam/Kutoa Roho sababu ndio Ameumba Over!
Quid pro quo…[emoji30]
 
Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)
Ina maana ni Katibu pekee ndiye alimtamaani Monica? (...imeandikwa amtamaniye mwanamke tayari amezini naye) obvious ni wengi maana anasifika kwa uzuri japo binafsi sijamuona, je Mkandamizaji atawaeliminate wote wanaomtamani?
 
Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake
Huyo mama mtu mzima ahoojiwe
 

[emoji1614] watu wanaoachwa ndo wanaojiua sio wanaokataliwa FACT mno na ni halisi
 
Daah kwa hiyo huyo Monica ili anikatae mimi inatakiwa apande bus akiwa na Mama mtu mzima kuja kwangu Kiteto kunipa taarifa sema hii movie itakua na mwsiho tu ngoja sterling azaliwa mwingine kama movie za Kihindi...
 
Inakuhusuje ?
 
pia waigague nyumba yake huenda akawa ana uza asprin[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…