Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Ninyi wanaume mnaomtetea huyo kijana aliyekuwa anatongoza mke wa mwenzie nasema hivi mtaendelea kugongewa wake zenu mpaka kiama maana mmechagua kumtetea mzinzi.
 
Ukisema hawakuwa na mapenzi masanja ataulizwa kwann alipost kuwa kamsamehe mkewe bora usema walikuwa nayo angalau kuna kausalama.
Katika hali ya taharuki na pia kila mtu katika jamii anamshtumu mkewe… confused, hiii Sio enough kumfanya awe suspect…
 
Kuna watu wanamajibu yao ambayo walitaka wayasikie iliwafurahie, kwa kifupi marehemu anapata watetezi kama wote ilihali alitongoza mke wa mwenzie wakati na yeye anamke wake.
Mwendazake anayo kesi ya ugoni,bora alale tu pabaya kuzimu
 
Katika hali ya taharuki na pia kila mtu katika jamii anamshtumu mkewe… confused, hiii Sio enough kumfanya awe suspect…
Mkewe lazima ashambuliwe, kuna mtu kapoteza maisha na kaacha ujumbe kuwa sababu ni penzi lake, unategemea nn? Watu waone kuwa ni kawaida mtu kujiua sababu kakataliwa tu?

Masanja Kuwa suspect ni jambo sahihi sana. Hata wewe rafiki yako wa kiume akijiua akaacha maandishi "Anita nitakumiss" halafu mda mchache mumeo akakuandikia ujumbe kuwa amekusamehe kwa yaliyotokea, tayari mumeo ni suspect. Kama hausiki itajulikana baada ya kujieleza.
 
Polisi ifikie mahala, wawe na akili wanapo toa taarifa za uchunguzi karne ya 21. Yaani kumkataa mtu hadi ukodi rafiki wa kukusindikiza? Unaenda kwake ili iweje?

Hapa Masanja achunguzwe-Kuna Movie ka icheza.
Walienda kumsuta..
 
Kwanini marehemu asimtaje mke wake kwenye msamaha?

Kwanini mke wa Masanja katajwa mara nyingi?

Au mke wa marehemu ndiye kafanya hivyo?

Au Masanja ndiye kafanya hivo ili sababu ya talaka ipatikane?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Maswali ni mengi sana
 
Haya mambo yanafikirisha! Unfortunately inaonekana dogo ana familia dhaifu kufatilia hili kwa kina maana kama una akili timamu hesabu zote zinagoma! Hakuna anayeomba mabaya kwa Masanja lakini hili swala hata kama ukifunika kombe bado linatatiza sana ....
Kamanda wa Police ndio kazidi kutuongezea maswali
 
[emoji416]
0c1a3cc2e3226351083e6237b065858a.jpeg
 
Mkewe lazima ashambuliwe, kuna mtu kapoteza maisha na kaacha ujumbe kuwa sababu ni penzi lake, unategemea nn? Watu waone kuwa ni kawaida mtu kujiua sababu kakataliwa tu?

Masanja Kuwa suspect ni jambo sahihi sana. Hata wewe rafiki yako wa kiume akijiua akaacha maandishi "Anita nitakumiss" halafu mda mchache mumeo akakuandikia ujumbe kuwa amekusamehe kwa yaliyotokea, tayari mumeo ni suspect. Kama hausiki itajulikana baada ya kujieleza.
Huyo Katibu inawezekana alikua mgonjwa wa akili …kujiua sababu ya kukataliwa is possible….

Pili, kusema kamsamehe ni baada ya kuona walimwengu tayari mshamuhukumu mkewe na yeye kuonyesha yupo na mkewe ht kny matatizo ndio akasema hivyo…. My friend baki na msimamo wako ila hauko enough kumfanya mtu awe suspect
 
jambo lipo clearly watu mnaweka complications nyiiiingi myth kibao kila mtu amekua FBI
 
Huyo Katibu inawezekana alikua mgonjwa wa akili …kujiua sababu ya kukataliwa is possible….

Pili, kusema kamsamehe ni baada ya kuona walimwengu tayari mshamuhukumu mkewe na yeye kuonyesha yupo na mkewe ht kny matatizo ndio akasema hivyo…. My friend baki na msimamo wako ila hauko enough kumfanya mtu awe suspect
Masanja na mkewe ni binadamu wanaweza kufanya dhambi ya uzinzi na mauaji hivyo kuwa suspect ni sahihi sababu marehemu katoa sababu ya wao kuwa suspect.

Kuhusu matatizo ya akili ya marehemu, Hata wenye matatizo ya akili hufa wakiuwawa hivyo kufanya uchunguzi ni sawa, na uchunguzi unaanza kwa suspect kama hausiki na mauaji itajulikana na amani yake itarejea.

Kama anahusika basi sheria ifuate mkondo angalau marehemu atendewe haki.
 
Masanja na mkewe ni binadamu wanaweza kufanya dhambi ya uzinzi na mauaji hivyo kuwa suspect ni sahihi sababu marehemu katoa sababu ya wao kuwa suspect.

Kuhusu matatizo ya akili ya marehemu, Hata wenye matatizo ya akili huuwawa hivyo kufanya uchunguzi ni sawa, na uchunguzi unaanza kwa suspect kama hausiki na mauaji itajulikana.
Umesema uchunguzi, na uendelee mimi na wewe tutabaki ku speculate tu, kila mtu abaki upande wake, to me Monica na mumewe wako innocent
 
Niaje boss wangu

Hebu kazia hii ,unaionaje issue hii

[emoji1]

Ova
Mimi naona marehemu kapata alichostahili. Iwe kwa kujiua au kuuwawa ni sahihi kabisa hiyo adhabu. Mke ni kitu kingine kabisa. Si unakumbuka Chameleone alivunjikaga miguu kwa kuruka toka ghorofani Impala hotel kisa mke wa mtu? Pia polisi ndo wameharibu zaidi kwa kusema kwamba manzi alienda kumkanya marehemu. Cha muhimu wanandoa wabadilike waache upumbavu wa show off zisizo na faida. Masanja ajikaze kwa kuchapiwa. Kama kuna tatizo labda la nguvu za kiume basi mke amsaidie mumewe kulitatua na sio kuanza kufanya umalaya.
 
Umesema uchunguzi, na uendelee mimi na wewe tutabaki ku speculate tu, kila mtu abaki upande wake, to me Monica na mumewe wako innocent
Anita, Sio suala la upande. Wewe unawapenda Monica na mumewe ila wengine wanatoa angalizo kuwa hao unaowapenda isije ikawa kuna aliyetenda dhambi ya mauaji halafu akaachwa.
 
Wadau, leo kumesambaa taarifa kwenye vyombo vya habari kutoka kwa kamanda wa polisi Muliro akielezea sababu za kujiua katibu wa Feel Free Church kutokana na uchunguzi wa awali.

Maelezo ya kamanda yanapeleka kwenye hitimisho moja kuwa, Mama Mchungaji (Monica) na marehemu hawakuwa na mahusiano na kwamba katibu amejiua kwa kukataliwa baada ya kuwa akimtongoza Monica. Inasemekana marehemu, alikuwa akimtumia jumbe za kimapenzi, jambo ambalo lilimfanya Monica akiwa na mama mtu mzima(hakutajwa jina) kufika nyumbani kwa marehemu siku moja kabla ya kifo chake kwa leo kumuhabarisha kuwa hataki kutumiwa jumbe hizo na wala hawezi kuwa nae kwa vile yeye ni mke wa mtu.

UTATA MTUPU…!

Kwa sisi wapenda documentaries za crime, hizi sababu zinaleta utata kuliko majibu. Katika matukio ya vifo kama hivi vinavyohusika mapenzi au fedha, lazima kitu kiitwacho MOTIVE kiwe established.
Katika wahusika wote watatu katika tukio hili, mtu mwenye motive kubwa ni Masanja. Haijalishi alikuwepo nchini au hakuwepo wakati tukio linatokea.

Ukifikiri kwa kina, haina maana ya mtu kujinyonga kisa kukataliwa, tena na mke wa mtu. Na ni mke wa mtu gani eti anakwenda nyumbani kwa anayemtongoza ili kumkataa? Kama amekuwa anamkataa siku zote, alishindwaje kumtaarifu mumewe kuwa katibu amevuka mstari? Badala yake akaenda na mama mtu mzima nyumbani kwa marehemu ili kumtaarifu juu ya kumkataa?

Je, ni kweli marehemu alijinyonga? Au amenyongwa halafu cover up imefanyika?

Je, inawezekana Masanja aligundua haya mahusiano na kutumia njia za kimafia kumueliminate marehemu huku yeye akiwa nje ya nchi ili kukwepa kushukiwa?( Mambo ya kawaida haya kwenye Investigation Discovery)

Uzuri kamanda amesema maelezo yake ya leo ni uchunguzi wa awali na bado wanaendelea. Naamini majibu yatapatikana tu, ila Masanja Mkandamizaji aangaliwe kwa ukaribu sana. Ndiye mtu pekee mwenye MOTIVE ya kuchezesha mambo. Simu za wahusika wote zikaguliwe kwa kina, na majibu yatakuwemo humo.
Nilishasema haya makanisa ya kuzuka haya yana Mambo Yake na baada ya tukio kanisa litajaa Sana au atapewa cheo utaskia udoktor wa heshima hauna kichwa wala miguu
 
Watoto wa Masanja wapimwe DNA na chombo huru. Kama katibu hana chake pale mniite mbwa.
Kwenye hili tumuweke Masanja pembeni, kama wewe binafsi una familia na Watoto Tena unawapenda sana, leo uje uambiwe siyo Watoto wako ina make sense? Yani uwithdraw love kwa Watoto uliowapenda na always upo kwa akili yao?

Waliosema kitanda hakizai haram walikuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom