Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
- Thread starter
-
- #41
Mkuu mimi naongelea hizi ambazo zinasema atakaa kaburini siku tatu mchana na usiku.Hivi ili iitwe siku ni lazima yapite masaa 72? Unaposikia ziara ya Rais flani siku mbili anakuja leo anaondoka kesho huwa yamefika masaa 48?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Nyaigela wewee!Huo utaratibu wa kuhesabu siku kuanzia saa 6 usiku ulianzishwa na Warumi ,haukuwepo wakati wa Yesu
Kwa kawaida siku kwa wa yahudi ilikuwa na masaa 12 sio 24 hivyo alikufa ijumaa saa tisa mpaka saa 12 ijumaa ilikuwa siku ya kwanza jumamosi saa 12 iliisha siku ya pili na tayari ilianza jumapili yaani siku ya 3 kwa hesabu hizo Yesu alifufuka siku ya Tatu jumapili
Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu nikiongezea kidogo hapa, kwanz akwenye biblia hakuna mfumo wa kuhesabu siku kwa masaa 24, kama tufanyavyo sasa walichokua wanahesabu ni siku yaani jua lichomozapo na kuzama, hivyo Yesu alikufa mchana wa ijumaa saa tisa akashinda mchana wa jumamosi na jumapili asubuhi akafufuka maana yake ni siku ya tatu hivyo asemacho mtoa hoja ni hoja dhaifu kwa msomaji mzuri wa maandiko.Kwa maoni yangu ni kuwa Bishara hiyo ya Yesu ilikusudia kuonesha kwamba YEYE YESU HATOUWAWA bali ATAINGIZWA KATIKA MOYO WA NCHI AKIWA BADO ANAO UHAI WAKE KAMA AMBAYO YONA ALIINGIA KWENYE TUMBO LA NYANGUMI AKIWA NA UHAI WAKE
Na hiyo Ndiyo hali pekee inayoweze kuwa fananisha YESU na YONA kwenye hayo matukio yao mawili, vinginevyo hatuwezi kupata ufanano wowote wa matukio hayo mawili.
Mkuu hujanielewa pamoja na utukutu wangu. Nilichokisema huu utaratibu wa kuhesabu masaa kuanzia saa sita usiku haukuwepo wakati Yesu akisulibiwa. Ulikuja baadaye.Wewe Nyaigela wewee!
Kwahiyo unataka kusema Bwana Yesu hajawakuta Warumi wakitawala?
Gavana wa Kirumi wa Jimbo la Judea aliyemhukumu Yesu kwa treason alikuwa ni nani kama si Mrumi Ponsio Pilato?
Mkuu kama kalugha ka kikoloni kanapanda ,hebu jaribu kusoma Mathayo 12:38-40 . Utaona kabisa Yesu akisema Mausiku matatu na maMchana matatu , kwa hesabu zako hapo hatupati huo mudamkuu nikiongezea kidogo hapa, kwanz akwenye biblia hakuna mfumo wa kuhesabu siku kwa masaa 24, kama tufanyavyo sasa walichokua wanahesabu ni siku yaani jua lichomozapo na kuzama, hivyo Yesu alikufa mchana wa ijumaa saa tisa akashinda mchana wa jumamosi na jumapili asubuhi akafufuka maana yake ni siku ya tatu hivyo asemacho mtoa hoja ni hoja dhaifu kwa msomaji mzuri wa maandiko.
pamoja na hilo mzee hoja yangu ipo wazi kabisa so rudia comment yangu vizuri kuelewa uamue mwenyeweMkuu kama kalugha ka kikoloni kanapanda ,hebu jaribu kusoma Mathayo 12:38-40 . Utaona kabisa Yesu akisema Mausiku matatu na maMchana matatu , kwa hesabu zako hapo hatupati huo muda
38Then some of the Pharisees and teachers of the law said to him, "Teacher, we want to see a miraculous sign from you."39He answered, "A wicked and adulterous generation asks for a miraculous sign! But none will be given it except the sign of the prophet Jonah.40For as Jonah was three days and three nights in the belly of a huge fish, so the Son of Man will be three days and three nights in the heart of the earth.
Kwa tafsiri yako ya siku 3 Mchana na usiku bado tunarudi pale pale MAKADIRIO.Kumbuka hapa jamaa walikuwa hawana imani naye na hivyo anataka kuwaaminisha ( kwa kuwapa ishara ambayo itakapotokea wamwamini) kwa ishara ya kukaa kaburini kama Yona alivyokaa tumboni mwa samaki
Soma vizuri zile aya za biblia zinasema, Siku tatu mchana na usiku ( three days and three nights)
Mathayo 12:38-40 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ 39 Akajibu, akawaambia: “Kizazi kiovu na chenye uzinzi+ kinaendelea kutafuta ishara, lakini hakuna ishara kitakachopewa isipokuwa ishara ya nabii Yona.+ 40 Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku.[/I][/U][/B]
Hizo krismas na pasaka ni sherehe za kipagani tu ,hazipo kibiblia , kwani wewe umeziona zimeandikwa kwenye Biblia hadi useme zina utata?
Wayahudi walimuua Yesu? Wayahudi hawakuwa na huo uwezo wa kumuua Mungu mkuu
Yohana10:17-18
''Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu''
endelea mkuu nakusikilizaKaka mtukutu.
Unapoanzisha mjadala jaribu kufungua macho na ubongo upate pia kujifunza upande usioujua. Kuna vitu havihitaji nguvu nyingi kuvitetea. Ubainifu wake kwa wengineo ni maneno machache tu na uchokonozi wa kifikra ili kuzindua!
Ahahahahaahahahahhahahaha ahahaahahahahahhahaaaah hii kaliMi Wazee wa Kanisa washaniambia hivyo kwamba ni siku tatu na huo ndio msimamo wangu hadi pale wazee wa kanisa watakaponiambia vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli hizi hesabu za makanisani zinapingana na hesabu zilizoandikwa hii ni hatari kwa afya ya mwanadamuJe Yesu alikufa siku tatu kama alivyojitabiria au siku tatu (masaa 72) hazikufika au hakumaanisha siku tatu kamili? ( siku tatu za Yesu zilikuwa za masaa 72?)
Mathayo 12: 40 '' Kwa maana kama vile Yona+ alivyokuwa katika tumbo la yule samaki mkubwa siku tatu mchana na usiku, ndivyo Mwana wa binadamu+ atakavyokuwa katika moyo wa dunia+ siku tatu mchana na usiku'' (Mathew 12:40For as Jonah was three days and three nights in the belly of a huge fish, so the Son of Man will be three days and three nights in the heart of the earth.)
Kumbuka hili ni jibu la Yesu wakati akitaka kuwathibitishia mafarisayo na walimu waliotaka ishara kutoka kwake Mathayo12.38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.” . Hivyo akatumia mfano wa Yohana kwa kuwaambia atakaa chini ya moyo wa ardhi kama alivyokaa Yona kwa siku tatu. Kwa hiyo hii ilibaki mioyoni mwao kama kipimo cha ukweli wake. Angefufuka kabla siku hizo tatu hazijafika mafarisayo wasingemuelewa. Wangemuita muongo na hakutoka kwa Mungu.
Kuna waalimu hufundisha kuwa Yesu alisulubiwa Ijumaa na wanaiita Ijumaa kuu ( Good Friday) na akafufuka Jumapili asubuhi na mapema.Je kuna ukweli hapo? Tukiamini kwamba Yesu alikufa Ijumaa mchana na akazikwa jioni kabla ya Sabato na kufufuka Jumapili asubuhi sana, Je siku Tatu zilitimia?
Kwa hesabu hizi alilala ijumaa usiku, akashinda jumamosi mchana na jumamosi usiku.
Je hizo ni siku tatu mchana na usiku kwa maana ya three days and three nights.
Wajuzi wa mambo tuelimishane hii ipoje
Mkuu maandiko yanasema USIKU na MCHANA kwa mda wa siku 3, kama hakuna USIKU 3. na MCHANA 3 hicho unachoamini ni uongoSiku zinazozungumzwa ni za matukio, na co cku kamili za kibinadamu yaani masaa 72,,
-siku ya kwanza kafara ya ukombozi ilitolewa kwa kifo cha Yesu Kristo (Ijumaa)
-siku ya pili, Yesu alipumzika kaburini(Jumamosi )
-siku ya tatu alifufukA(Jumapili )
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandiko yanataka USIKU 3 na MCHANA 3 , ili siku 3 zikamilike, nnje ya hapo hakuna siku tatu msilazimishe mambomkuu nikiongezea kidogo hapa, kwanz akwenye biblia hakuna mfumo wa kuhesabu siku kwa masaa 24, kama tufanyavyo sasa walichokua wanahesabu ni siku yaani jua lichomozapo na kuzama, hivyo Yesu alikufa mchana wa ijumaa saa tisa akashinda mchana wa jumamosi na jumapili asubuhi akafufuka maana yake ni siku ya tatu hivyo asemacho mtoa hoja ni hoja dhaifu kwa msomaji mzuri wa maandiko.
Mkuu hizo siku tatu za kiyahudi za Masaa kuminambili kila moja Turejee kitabu gani?Kwa kawaida siku kwa wa yahudi ilikuwa na masaa 12 sio 24 hivyo alikufa ijumaa saa tisa mpaka saa 12 ijumaa ilikuwa siku ya kwanza jumamosi saa 12 iliisha siku ya pili na tayari ilianza jumapili yaani siku ya 3 kwa hesabu hizo Yesu alifufuka siku ya Tatu jumapili
Sent from my iPhone using JamiiForums
usiwe mzito kuelewa walikuwa wanahesabu siku sio masaaN kweli mkuu walikuwa wanahesabu kwa utaratibu kwamba jua likizama siku inaisha na nyingine inaanza.Kwa hiyo kama alizikwa Ijumaa jioni na kufufuka jumapili asubuhi siku tatu hazifiki