Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Hata kama angekaa week kama mtu hataki kuamini asingeamini tu,ni ngumu hata leo mimi na wewe tuambiwe kuna mtu amefufuka mahali hatutaamini kwa sababu hatujashuhudia ndivyo ilivyokuwa wakati wa Kristo.
Binadam kama tusivyojua exactly mwanzo wetu na mwisho wetu vingi tunaviishi kwa imani tulizokuzwa nazo so hoja za sijui siku moja au mbili even siku tatu inakuwa hoja mfu bora imani ya mtu aliyo nayo tunazoamini zitatupa mwisho mwema.
Binadam kama tusivyojua exactly mwanzo wetu na mwisho wetu vingi tunaviishi kwa imani tulizokuzwa nazo so hoja za sijui siku moja au mbili even siku tatu inakuwa hoja mfu bora imani ya mtu aliyo nayo tunazoamini zitatupa mwisho mwema.