3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Umesoma tokea nilipoanza au umerukia tu hii comment mkuu?Suala hapa sio uhakika , hoja hapa ni kuwaaminisha watu uongo kuwa Yesu alikufa Ijumaa na kufufuka jumapili wakati sio kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma tokea nilipoanza au umerukia tu hii comment mkuu?Suala hapa sio uhakika , hoja hapa ni kuwaaminisha watu uongo kuwa Yesu alikufa Ijumaa na kufufuka jumapili wakati sio kweli
Umesoma tokea nilipoanza au umerukia tu hii comment mkuu?
Mkuu hizo hesabu zako za ijumaa na jumapili zinapingana na hesabu alizotoa Yesu , hilo ndio la msingi
Mkuu unashindwa kuelewa jambo moja kuwa Yohana wala hajataja ijumaa wala jumapili,,nyie mnaoleta hesabu za ijumaa na jumapili ndio hamko sahihi maana mnapingana na Yesu , zile USIKU 3 na MCHANA 3 hazifiki , hivyo ni uzushiBro kwa kukusaidia chukua biblia yako uache uvivu soma sura yote ya 19 ya injili ya Yohane basi walau upate kujua usichokijua
Nimekupata vizuri ,hoja yako kuwa jambo likifanyika ata kwa sehemu ndogo katika siku husika inahesabika siku nzima ,nasema hii ni batili , kwa sababu , Yesu alikusudia kuwa atakaa USIKU 3 na MCHANA 3, kama idadi hiyo haijafikiwa hicho unachoamini ni uongoUmesoma tokea nilipoanza au umerukia tu hii comment mkuu?
Kasome Mathew 12:40 kasome ile ya kiingereza ndio utaelewa.Yesu alikusudia jambo gani (Usiku 3 na mchana 3) , kinyume cha hapo ,mtakuwa mnaishi kwa mazoeaDuh bro basi upo sawa
Kasome Mathew 12:40 kasome ile ya kiingereza ndio utaelewa.Yesu alikusudia jambo gani (Usiku 3 na mchana 3) , kinyume cha hapo ,mtakuwa mnaishi kwa mazoea
Elewa mada inaongelea KUFA na KUFUFUKA ndani ya siku 3 huko kuzikwa hata angezikwa jumapili hakuondoi kufa kwake jumamosi!..Alizikwa jioni na siyo saa tisa .
Mathayo27:57
Mr. Lies Teller (sorry to call you Lies teller - unless you prove fact) .mmmhhhhh ko Mariam hakuzaa kwenye zizi la ng'ombe???
Mr. Lies Teller (sorry to call you Lies teller - unless you prove fact) .
Tuletee ushahidi kuwa alizaliwa kwenye zizi la Ng'ombe Ikiwa wewe ni msema kweli.
Lete huo ushahidi tuuone Ikiwa wewe ni msema kweli Mr. Truth finder!Biblia na vitabu vya ki history vya kiyahudi vinasema Hivyo
kuwa Yesu alizaliwa kwenye zizi la Ng'ombe ushahidi wa ki Maandiko upo wazi MBONA?
Luka 2:7Lete huo ushahidi tuuone Ikiwa wewe ni msema kweli Mr. Truth finder!
Bado Nakutaka ulete ushahidi:
Mkuu ulieelewa maana ya mchana tatu na usiku tatu, yaani 3 nights and 3 days???Utaratibu wa Wayahudi ktk kuhesabu siku enzi zile, haukuwa sawa na huu wa kwetu - mfumo wa saa 24.
Siku ya Ijumaa ilianza siku ya Alhamis jioni baada ya jua kushuka - siku ya kwanza
Siku ya Jumamosi ilianza siku ya Ijumaa jioni baada ya jua kushuka - siku ya pili
Siku ya Jumapili ilianza siku ya Jumamosi jioni baada ya jua kushuka - siku ya tatu.
Mkuu mimi sielewi kwa nini watu wanalazimisha kuwa Yesu alikufa na kuzikwa Ijumaa ,kisha kufufuka Jumapili japo maandiko hayaungi mkono hicho kituMkuu ulieelewa maana ya mchana tatu na usiku tatu, yaani 3 nights and 3 days???
Haya anza kuhesabua sabato katika hesabu yako,halafu ukimalixa kokotoa siku tatu za kuwa Yesu.Utaratibu wa Wayahudi ktk kuhesabu siku enzi zile, haukuwa sawa na huu wa kwetu - mfumo wa saa 24.
Siku ya Ijumaa ilianza siku ya Alhamis jioni baada ya jua kushuka - siku ya kwanza
Siku ya Jumamosi ilianza siku ya Ijumaa jioni baada ya jua kushuka - siku ya pili
Siku ya Jumapili ilianza siku ya Jumamosi jioni baada ya jua kushuka - siku ya tatu.
Mleta mad amenifungua macho, sikuwa kuwaza juu ya siku tatu za ufufuo wa yesu, hata ikihesabu kwa kalenda ya wayahudi bado hesabu zingoma.Mkuu mimi sielewi kwa nini watu wanalazimisha kuwa Yesu alikufa na kuzikwa Ijumaa ,kisha kufufuka Jumapili japo maandiko hayaungi mkono hicho kitu
Ila Mkuu usisahau kuwa dini ni biashara kama biashara nyngine...! Hv vtu havpo kwenye biblia n mambo ya kujitungia tu kama ilivyo salamu mariaMkuu mimi wasiwasi wangu ni kuwa yaweza ikawa Yesu alisulubiwa kabla ya ijumaa ndio yanaweza fika masaa 72. wewe unaonaje. najua una utaalam
ThibitishaKwa kawaida siku kwa wa yahudi ilikuwa na masaa 12 sio 24 hivyo alikufa ijumaa saa tisa mpaka saa 12 ijumaa ilikuwa siku ya kwanza jumamosi saa 12 iliisha siku ya pili na tayari ilianza jumapili yaani siku ya 3 kwa hesabu hizo Yesu alifufuka siku ya Tatu jumapili
Sent from my iPhone using JamiiForums