Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
- Thread starter
- #141
Argument ya chini mno!Uliwahi kufiwa? Kama ndio matanga kwenu siku ngapi? 3 au 4? Tuambie mnavyozihesabu hizo siku
Pili hakunaga siku Mona na robo hizo Ni siku mbili Wala Hakuna siku mbili na nusu hizo Ni tatu.
Lakini pia tunafanya kumbukumbu la Kristu mfufuka, na kumbuka kalenda iliyokua inatumika wakati ule sio sawa na kalenda ya Leo (Gregorian calendar).
Hivyo sionibhoja kwenye bandiko lako zaidi ya mapovu ya ommo pasipo na msingi work.
Kanisa Ni moja Takatifu Katoliki la Mitume lililoanzishwa na Kristu mwenyewe.
Kwa hiyo Mkuu tupuuze alicho kisema Yesu kuwa atakaa kaburini Siku tatu usiku na mchana ( three days and tree nights) na tufuate jinsi tunavyohesabu matanga? Kumbuka ukisoma Mathayo 12:38 Mafarisayo walitaka ishara kutoka kwa Yesu , naye akawapa ishara ili ikitimia wamwamini na isipotimia wasimwamini. Soma neno acha kufuata mkumbo