Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

We jamaa hisibati ulipata ngap? MBNA muongo hv
 
Ushahid wa kibibilia kuhusu hichi ulichokiandika kiko wap?
 
Mkuu Koran ni kitabu kiliandikwa miaka mamia baada ya Yesu, hakiwezi kuwa na taarifa za kweli kuhusu Yesu. Yaani hicho kimejaa mawazo ya Mtume tu na chuki zake dhidi ya wayahudi-ni kopy ya Biblia +mawazo ya kubuni mtume
Hata bibilia iliandikwa baada ya yesu kufa...
 
HIyo unayoambiwa ni Ijumaa yaweza kuwa ilikuwa alhamis jioni mara baada ya jua kuzama.Kwa hesabu za wayahudi na hata wasabato hiyo tayari ni ijumaa. Rejea mjumbe mmoja hapo juu alivyokufafanulia jinsi wayahudi walivyohesabu siku.
Ww jamaa bwana yani ijumaa iwe alhamis tena? [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Umesema alizikwa kabla ya sabato (ijumaa) hiyo ni siku ya kwanza.
Jumamosi( ya pili)
Jumapili( ya tatu) siku zao zilikuwa zinaanza saa kumi na mbili au mi sijakuelewa).
 
Utaratibu wa kibiblia ni kuwa ikawa jioni ikawa asubuhi ni siku inepita moja,so alilazwa kaburini ijumaa kabla ya sabato kuingia,ina maana mpaja sabato kuja kuingia ni siku moja,na muda aliokaa kaburini mpaka kujs kufika j2 alfajiri ni siku 3,zhuu utaratibu ws kuhesabu masaa 24 ni utaratibu mpya kabisa uliotabiriwa kuwa majira na nyakati yatabadilishwa,Bless you
 
Watu wamezaliwa wameikuta pasaka ,na wao wanaabudu , wenginge jua likizama ndio siku inaisha asante mungu kwa kunifanya nijitambue ,dini isio na shaka ndani yake
 

Kwani Yona alikufa tumboni mwa nyangumi?
 

Kulingana na maandiko Yesu aliuawa siku ya maandalio ya Sabato ambayo kwa yakini ni Ijumaa. Majira ya saa Tisa alipoteza sifa ya kiumbe hai pale Msalabani. Alfajiri na mapema Siku ya kwanza ya juma(Jumapili alifufuka). Ndivyo tusomavyo.

Yesu alikaa Kaburini Usiku wa ijumaa na Jumamosi. Alikaa Kaburini Robo ya mchana wa Ijumaa na mchana mzima wa Jumamosi. Alikaa kaburini Asubuhi moja tuu ha jumamosi.
 

Mkuu nikusaidie kwanza hakukaa kaburini robo siku ya ijumaa kwa sababu alizikwa jioni

Mathayo 27:57 Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yosefu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu. 58Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Yesu. Pilato akaamuru apewe. 59Yosefu akauchukua mwili wa Yesu, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi, 60na kuuweka katika kaburi lake mwenyewe jipya, alilokuwa amelichonga kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa katika ingilio la kaburi, akaenda zake

Kwa hesabu zako bado hatupati siku tatu mchana na usiku
Mathew12:40 For just as Jonah was three days and three nights in the belly of the great fish, so will the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth.
 
Ikawa jion ikawa asubuhi maana yake ni usiku mmoja na mchana mmoja, hivyo pamoja na utaratibu kubadilishwa bado siku inabaki kuwa na masaa 12 usiku na massaa kumi na mbili mchana ambayo ni 24
 
Umesema alizikwa kabla ya sabato (ijumaa) hiyo ni siku ya kwanza.
Jumamosi( ya pili)
Jumapili( ya tatu) siku zao zilikuwa zinaanza saa kumi na mbili au mi sijakuelewa).
Soma maandiko yanasema Yesu aliahidi atakaa kaburini siku tatu usiku na mchana ( three days and three ninghts
Mathayo 12:40
 


Uliwahi kufiwa? Kama ndio matanga kwenu siku ngapi? 3 au 4? Tuambie mnavyozihesabu hizo siku

Pili hakunaga siku Mona na robo hizo Ni siku mbili Wala Hakuna siku mbili na nusu hizo Ni tatu.

Lakini pia tunafanya kumbukumbu la Kristu mfufuka, na kumbuka kalenda iliyokua inatumika wakati ule sio sawa na kalenda ya Leo (Gregorian calendar).

Hivyo sionibhoja kwenye bandiko lako zaidi ya mapovu ya ommo pasipo na msingi work.

Kanisa Ni moja Takatifu Katoliki la Mitume lililoanzishwa na Kristu mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…