State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
Wakati wanasaidiwa kumuondoa Bashar Ally Asaad walifikiri ni bure bure gharama lazima zilipiweUtawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Wanatumia karatasi na kalamu kulalamika kwa UN, wenzao wanatumia mabomu, na midege heavy kubomoa na kupora ardhi duuuuh ama kweli.Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Thanks for the replyMaoni yangu ni kwangu tuwaache wachapane kisawasawa. Dunia siyo sehemu pa kutulia inatakiwa mchakamchaka kama hivyo. Ahsante sana kwa jamvi
Nilishangazwa na kauli ya HTS official Fahed aliyoitoa muda mfupi baada ya kuanguka kwa Damascus juu ya Israel ya kuwakaribisha kuwekeza Syria na wao wapo tayari kushirikiana nao.Soon wanaenda kuchapana hawa, naona kabisa Rebels wakiungana na Iran/hizbullah kumkabili mu Israel.
Ku;mamakezaoWaliyataka wao watulie 'the devil is lier'
Syria, ipindueni serikali ya Benjamin NetanyahuUtawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Afanyacho israel kwa Syria,kitawaunganisha hao 'siasa kali'Kifo cha mazayuni na makafiri kinakuja
Hiki ndiyo kinachofuata,na Golan itarudi SyriaSoon wanaenda kuchapana hawa, naona kabisa Rebels wakiungana na Iran/hizbullah kumkabili mu Israel.
Israel ni taifa haramuHiki ndiyo kinachofuata,na Golan itarudi Syria