Utawala mpya wa Jawlani nchini Syria waiandikia barua UN Security Council wakilalama kuhusu Israel kuendelea kujitwalia maeneo ya ardhi yake zaidi

Utawala mpya wa Jawlani nchini Syria waiandikia barua UN Security Council wakilalama kuhusu Israel kuendelea kujitwalia maeneo ya ardhi yake zaidi

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.

📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
 

Attachments

  • IMG_20241214_140437_767.jpg
    IMG_20241214_140437_767.jpg
    93.4 KB · Views: 2
Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.

📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Wakati wanasaidiwa kumuondoa Bashar Ally Asaad walifikiri ni bure bure gharama lazima zilipiwe
 
Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.

📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Wanatumia karatasi na kalamu kulalamika kwa UN, wenzao wanatumia mabomu, na midege heavy kubomoa na kupora ardhi duuuuh ama kweli.
 
BREAKING NEWS: HTS leader Abu Mohammed al-Jawlani (real name Ahmad Al-Sharaa) said:

➤ “We are not seeking to engage in a conflict with Israel.”

➤ “We are in contact with Western embassies and holding discussions with Britain to restore its diplomatic representation in Damascus.”

➤ “Our goals are clear, and our plans are ready for reconstruction and development in Syria.”
 
Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.

📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Syria, ipindueni serikali ya Benjamin Netanyahu
 
Back
Top Bottom