Wapambane kulinda ardhi yao waache kutafuta huruma.Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Hahaha hiyo chai tu, Israel hawawezi kufanya uhuni huo, tuletee ushahidi wa ulichokiona nasi tuone.Nimeona leo jeshi la IDF likiwaambia raia wa Syria wafungashe na kuo doka maeneo waliyovamia huko Syria,raia wa Syria wakagama kuondoka!Kilichofuata IDF wakaanza kuharibu miundombinu ya barabara,maji na umeme ili kuwalazimisha kuondoka!Raia bado wameendelea kukaza kuwa hawaondoki na kama ni kufa basi watafia kwenye ardhi yao!
Gaidi ni jina la kupora mali, muda sio mrefu hao waita watu magaidi wataanza kuja Syria na kuita serikali ile sio ya magaidi tena, ni usanii na uongo uongo tuUtawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Ni kweli mkuu sio chai. 👇Hahaha hiyo chai tu, Israel hawawezi kufanya uhuni huo, tuletee ushahidi wa ulichokiona nasi tuone.
Buffer zone siyo uvamizi, ni hatua muhimu za kujikinga unapopata jirani asiye julikana.
Buffer zone siyo uvamizi, ni hatua muhimu za kujikinga unapopata jirani asiye julikana.
Mipaka ya Syria inajulikana, buffer zone in Syria
Sawa Tomaso!Hahaha hiyo chai tu, Israel hawawezi kufanya uhuni huo, tuletee ushahidi wa ulichokiona nasi tuone.
kila kitu kina md wake,kumbuka wahuni ndo kwanza wamekalia nchi halafu fisi mmpenda dezo na mteremko anajimegea ardhi hao waisareli watakaoenda kukaa hayo maeneo hajitakii mema na roho zaoWanatumia karatasi na kalamu kulalamika kwa UN, wenzao wanatumia mabomu, na midege heavy kubomoa na kupora ardhi duuuuh ama kweli.
And now he is a dead man walkingIsrael inatakiwa iichukue nchi yote ya Syria ili akili iwakae sawa hawa washenzi.
Walijua ile misaada ya kijeshi waliyopewa na Israel pamoja na marekani ni ya bure!?? Wajinga kabisa
Lucas wa Shamba anasemaje hapaUtawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN Security Council) kuhususiana na mwenendo wa Israel kuendelea kujitwalia maeneo zaidi katika Taifa hilo huru kinyume kabisa na sheria za Umoja wa mataifa.
📌Kama mdau na mchambuzi wa siasa namedani za kimataifa, Nini maoni yako?
Wameanza kuelewa, vita siyo suluhu ya migogoro? Baada ya kupigana wamepata akili, ndio maana napenda vita, vita inaleta heshima.