RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Samiah tunamuonea TU!
Ujasusi wetu badala ya kuijenga jamhuri kitaasisi,Kwa miaka mingi wamekua wakijenga personalities za watu na Jao watu wakifa wanatuachia matatizo Yale yale!!
System mbovu haiwezi msaidia Raid kujenga taifa,katiba imara itatupa Rais imara kuliko Hali ilivyo sasa!!
Ujasusi wetu badala ya kuijenga jamhuri kitaasisi,Kwa miaka mingi wamekua wakijenga personalities za watu na Jao watu wakifa wanatuachia matatizo Yale yale!!
System mbovu haiwezi msaidia Raid kujenga taifa,katiba imara itatupa Rais imara kuliko Hali ilivyo sasa!!