Utawala wa Samia ni Fundisho tosha kwa Nchi Namna ya kuchagua Makamu wa Rais

Utawala wa Samia ni Fundisho tosha kwa Nchi Namna ya kuchagua Makamu wa Rais

Kuandika tu Yesu anaokoa ni udini maana haihusiani na mada
hiyo ni alert kwako, utakapoangamia usije sema kuwa hukuwahi kuambiwa juu ya wokovu ulio katika Kristo Yesu Bwana. KINYUME CHA KUOKOKA NI KUANGAMIA.


Jesus is Lord!
 
Ni bahati kubwa mno kumpata Rais Samia kuwa kiongozi wa nchi hii! Rais kama huyu alipatika 1985 walipompata mzee Ruksa! Unajua maana ya Mzee Ruksa? If not soma vitabu vya historia.
upo sahihi. viongozi wabara wale pyua wana roho mbaya sana. yani ile roho ya chuki ya ndani. unahitaji jicho la 3 kulijua hili.

Mara zote viongozi wazenji ndo wametuletea wepesi wa maisha.

huu muungano japo haufai (unatujazia viongozi kibao wazenji wkt sisi hatuwezi kuvuka bahari) ila kwa yanayoendelea ni afazali uendelee tu
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
wewe inaelekea umekunywa LIBENEKE!!
 
Katoa ajira nyingi kuliko alizotoa Magu 6yrs
Miundombinu madarasa vituo vya afya vimeota kama uyoga muda mfupi

Saizi chadema wanafanya mikutano enzi za magu sauti ni yeye tuu

Tarura bajet imeongezeka saizi kila kijiji kimechongewa barabara

Kifupi kama una chuki hata uambiwe vipi utapinga tuu
Maginjwa ya Karni hii hayahitaji vituo vya afya yanahitaji hospitali za kibingwa.
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Wacha wivu wewe
 
Um
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Umesema ukweli kabisa! Anateuliwa mtu TU asie na uwezo wowote!
 
Wataka kila mtu awaze kama wewe au vip? Kachemsha wapi kama sio propaganda zenu.
Samia kachemsha maeneo kibao.
*Miradi mingi inasuasua.
*Mashirika ya umma yamekosa nidhamu ya utumishi.
*Upigaji umerudi kwa kasi serikalini na mashirika ya umma.
*Uchumi umerudi kuwa wa LDC kutoka Low middle income.
*Mikataba isiyo na tija kama ya bandari.
*Kuporomoka kwa shilingi.
*Mikopo mingi kuliko hata watangulizi wake na ukitizama haiendani na thamani ya miradi inayofanyika.
-Kusifia tu kuwa ametoa ajira nyingi na kuongeza mishahara msisifie bali jiulizeni hizo pesa za kuongeza waajiriwa na kuongeza mishahara zinatoka wapi!?
Mwishowe ndio hivyo deni la serikali linapaa kumbe watu wanakopa ku befit bajeti.
 
Unataka Makamu wa Rais awe ndio huyo huyo Waziri Mkuu ili kubana matumizi kisha tena unataka Serikali ziongezwe from mbili to tatu?

Huoni hapo ni kutembea hatua moja mbele kisha kumi nyuma?
Kama serikali zikiwa tatu itakua vizuri.
Kuwa na serikali ya Tanganyika, serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano wa Tanzania.
Ya kwanza na ya pili zitajiendesha kwa mapato yao na ya tatu itaendeshwa kwa kuchangia mapato ya kila serikali.
 
Katiba ibadilishwe,

1. Uwepo wa waziri mkuu na makamu wa raisi kwa wakati mmoja kwa nchi masikini namna hii ni upotevu wa rasilimali.

2. Raisi akifariki makamu/waziri mkuu akamate nchi na kuitisha uchaguzi mkuu ndani ya siku 90.

3. Serikali ziwe tatu, kwa muungano huu haijulikani Tanganyika iko wapi. Vyetu vinaliwa tu na wenzetu, vyao hawaruhusu vitoke.
1 na 3 NAKAZIA

hii namba 2 irudishe maabara. Kwa mfano, uchaguzi mkuu umefanyika October 20. Rais kaapishwa December 6. March 23 mwaka unaofuata (miezi mitatu baada ya kuapishwa), Rais anafariki, hela ya uchaguzi inatoka wapi?

Hojaji hii haina maana kuwa naunga mkono utaratibu uliopo. Maana wajanja wachache wanaweza kumpa mtu Urais, kumbe plan yao Makamu ndiye Rais wamtakaye. Hivyo anayeshinda kama Rais anaweza kuuwawa ili mradi tu mtu wao akalie kiti.

Nami narudi maabara kutafakari pamoja nawe hii namba 2
 
Kibaya ni kwamba hata hii katiba mpya tunayoitaka si wataifanya vile ambavyo wanatamani na sio kwa ajili ya maendeleo ya Taifa,ulaji kwanza alafu huko mbele tutajua
Mungu amuamshe tena Magufuli,kumpata tena mtu kama yeye itapita miaka mingi sana
 
Utawals qa Rais mama Samia nini tawwla mwema kabisa wa kupiguwa ngani.

Kwanza kabisa, In shaa Allah tunataka aendelee mpaka 2035.
 
Mimi kama mtumishi wa umma namshukuru sana huyu mama amenipandisha daraja na hapa hospital ninapofanyia kazi ameleta bilioni 1 ujenzi wa jengo la upasuaji , ujenzi wa laboratory ya kisasa na vifaa vyake namshukuru sana. Na hii amefanya nchi nzima. Sitaki kuelezea mengine watakwambia wengine
Kila binadamu ana pande mbili nyoofu na iliyopindapinda
 
Suala la Rais na makamu kuwa na uwezo sawa kiuongozi halipendwi na CCM. Rejea JK na Lowasa. Edo alitaka popularity kumzidi bosi akajikuta ametemèshwa ndoano
Kwani Lowasa alikuwa Makamu wa Rais wa JK ?
 
Mmh nyie wengi mna kasoro katika kufikiri magufuri was a worse president ever got in Tanzania, ila nyie wspumbavu ambao hamna uwezo wa kufanya analysis za kina ndo mna muona kwamba alikua mzalendo, ile ilikua shetani kubwa, fisadi jizi mtu mwenye husda na visasa tunashukuru Mungu kumchukua mapema.
Hata wee Mungu atakuchukia.
Bishaa..
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
1. Hakuna haja ya kupiga kura tena rais akifariki, ukiweka mfumo wa kupigia kura a ticket , rais na makamu wake, kwa kuelewa rais akifariki makamu wake atachukua urais, unaepuka gharama na inconvenience za uchaguzi mpya rais akifariki. Huu ndio mfumo wetu wa sasa. Watu walidharau tu umuhimu wa makamu wa rais.

2. Makamu wa rais tayari anapigiwa kura katika mfumo wa sasa. Unapopiga kura ya urais unamchagua rais na makamu wake, ndiyo maana wanakuja kama a packaged deal ya rais na running mate wake. Tatizo watu walimdharau makamu wa rais wakaona wanampigia jura raus tu.

Watanzania wengi hawaelewi kuwa kura ya urais unaipiga kwa ticket, si kwa mtu.
 
Back
Top Bottom