Kwa sababu hupotezi chochote hata ikibinafsishwa we poa tu,
We jamaa hebu waza tena.
Kwa sababu tu mabilioni yanapotea kila mwaka ndo waibinafsishe?
Kabisa, huenda tukaokoa kitu kuliko hivi.
NMB kabla ya kubinafsishwa na baada ya kubinafsishwa ni vitu viwili tofauti.
Angalia taaasisi tetu ya pusta bank yao ipo wapi? Msijitie akili wakati ikweli ipo wazi.
Bandari ikibimafsusgwa itakuwa na yija koliko hivi sasa huo ni ujweli ba unajua.
Kama ni uzalendo jwa nini gao waliokabidhiwa wasiwe wazalendo jwa vitendo kuliko sisi wa mtaani.
Mmemezesgwa propaganda zimewaingua kichwani.
Mkataba hauba kikomo sawa.
Je hizi bank, migidi mijaraba ikiisga uendesgaji utarudi kwa wazawa na zitafanya vuzuri eti?
Guy! Acha kujidanganya hakuna sekta ya uma itakayofanya vizuri kwenye mikono ya watanzania na watu weusi wa hapa Afrika haipo.
Ningekuelewa kidogo kama ungesema isibinafsishwe kwa wageni wapewe waendeshe wazawa napo utawakuta wazawa wa ASIA wabongo sisi hamna kitu maneno tu.
Sekra nyingi tu zinajikongoga waka haiitaji digrii kujua hilo.
Hapo ulipo eneo lako la jazi utakuta pako duni ila huwezi sema ukweli.