Utawala wa Samia ni Fundisho tosha kwa Nchi Namna ya kuchagua Makamu wa Rais

Utawala wa Samia ni Fundisho tosha kwa Nchi Namna ya kuchagua Makamu wa Rais

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie


unaishi Tanzania? maana najua Tanzania mshindi anakuepo kabla ata ya kupiga kura.
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Naunga mkono hoja 100%
 
Katiba ibadilishwe,

1. Uwepo wa waziri mkuu na makamu wa raisi kwa wakati mmoja kwa nchi masikini namna hii ni upotevu wa rasilimali.

2. Raisi akifariki makamu/waziri mkuu akamate nchi na kuitisha uchaguzi mkuu ndani ya siku 90.

3. Serikali ziwe tatu, kwa muungano huu haijulikani Tanganyika iko wapi. Vyetu vinaliwa tu na wenzetu, vyao hawaruhusu vitoke.
Sasa huo uchaguzi si mtamchagua huyo huyo? Au unadhani Mboe ndo atashinda?
 
Aisee hawa bodaboda watakiwa kurudishwa nyuma zaidi ili waishie kimara tu
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Huyo JPM ndio alikuwa anakubarika na wote?
AFRIKA TUNAJAZAGA NAFASI TU YA KILE KITI. HUKO MAGHARIBI WANAPINDUANA TU.
MNAMUONEA KWA SABABU NI MWANAMKE ?
HAO WALIOPITA WAMEFANYA NINI CHA MFANO WA KUTAJWA. HAKUNA SEKTA HATA MOJA ILIOJITOSHELEZA NA KUWA MFANO NDANI YA MIAKA 60.
HATA UKIWEKWA WEWE PALE HAKUNA CHA TOFAUTI UTAKACHOFANYA.
KITILA MKUMBO ALIKUWA MPINGAJI AKATEULIWA AWE WAZIRI WA VIWANDA, JE NCHI NI YA VIWANDA SASA HIVI?
KAA UJUE NCHI HAIJENGWI NA RAISI BALI WANANCHI.
KENYA WAMEBADILI KATIBA MARA NGAPI MBONA WANAPOPOANA MAWE TU?
SHIDA IPO KWENYE VICHWA VYA WATANZANIA WALA USIMUONEE RAISI. ATAKUJA RAISI MWINGINE MAMBO YATAKUWA HIVI HIVI MPAKA MINDSET ZIBADIRIKE.
KWA NINI MNAAMINI KTK MTU NYIE?
WEWE UMEFANYA NINI KTK ENEO LAKO, AU UNAONA MAPUNGUFU YA WENGINE TU.
SIKUPINGI KWA SABABU NI MIMI NI CCM SINA CHAMA.
 
Vyama vya siasa pia iwe fundisho kwao kuhusu kuchagua wagombea wazuri na wasomi kwenye nafasi za u-Rais na u-makamu wa Rais. Tumefikia hatua hadi Rungwe alitaka u-Rais, nchi ya hovyo sana hii.
 
Vyama vya siasa pia iwe fundisho kwao kuhusu kuchagua wagombea wazuri na wasomi kwenye nafasi za u-Rais na u-makamu wa Rais. Tumefikia hatua hadi Rungwe alitaka u-Rais, nchi ya hovyo sana hii.
Rungwe yupo vizuri upstairs. Huwezi kumfananisha na chawa wa CCM.
 
Nchi ya Kidemokrasia yenye Rais asiyetokana na kura za Wananchi.

Kwani akiamua kuuza Kila Kitu Kwa Wageni mtamfanyaje.

Katiba Mpya na Bora ni muhimu sana
Hapo ndipo unapokosea. Umesahau kuwa kwenye karatasi ya kupiga kura kulikuwa na picha mbili? Moja ya Rais na nyingine Mgombea Mweza ambaye anakuwa Makamu wa Rais? Kwa hiyo wakati unapiga kura kumchagua Rais na yeye anahesabiwa kura hiyohiyo. Acheni upumbavu wa kusema kuwa HAKUCHAGULIWA kwa kura.
 
Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.

Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba

1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi

2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie

Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..

1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar

2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.

3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Mkuu huko uliko mungu akuongeezee umri wa kuishi ili uendelee kutupatia Madini
 
Huyo JPM ndio alikuwa anakubarika na wote?
AFRIKA TUNAJAZAGA NAFASI TU YA KILE KITI. HUKO MAGHARIBI WANAPINDUANA TU.
MNAMUONEA KWA SABABU NI MWANAMKE ?
HAO WALIOPITA WAMEFANYA NINI CHA MFANO WA KUTAJWA. HAKUNA SEKTA HATA MOJA ILIOJITOSHELEZA NA KUWA MFANO NDANI YA MIAKA 60.
HATA UKIWEKWA WEWE PALE HAKUNA CHA TOFAUTI UTAKACHOFANYA.
KITILA MKUMBO ALIKUWA MPINGAJI AKATEULIWA AWE WAZIRI WA VIWANDA, JE NCHI NI YA VIWANDA SASA HIVI?
KAA UJUE NCHI HAIJENGWI NA RAISI BALI WANANCHI.
KENYA WAMEBADILI KATIBA MARA NGAPI MBONA WANAPOPOANA MAWE TU?
SHIDA IPO KWENYE VICHWA VYA WATANZANIA WALA USIMUONEE RAISI. ATAKUJA RAISI MWINGINE MAMBO YATAKUWA HIVI HIVI MPAKA MINDSET ZIBADIRIKE.
KWA NINI MNAAMINI KTK MTU NYIE?
WEWE UMEFANYA NINI KTK ENEO LAKO, AU UNAONA MAPUNGUFU YA WENGINE TU.
SIKUPINGI KWA SABABU NI MIMI NI CCM SINA CHAMA.
Umeandika mambo ya maana sana ila next time usiandike kwa capital letters tupu zinaumiza macho kusoma.
 
Back
Top Bottom