ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ukitaka kujua kipo ,Putin akatae ofa sasa, ndio mtajua nini ana maanisha Trump, huyu sio BidenUS hana cha kumfanya Russia, yy cha msingi amkoromea Zelenskyy atafute means ya kumalizana na Putin.
Kwani Putin tokea vita ianze na Ukraine, kishawakatilia US na NATO mara ngapi?Ukitaka kujua kipo ,Putin akatae ofa sasa, ndio mtajua nini ana maanisha Trump, huyu sio Biden
Kwani Putin katoa masharti mangapi NATO na US wame yavunja mpaka anatishia NyukliaKwani Putin tokea vita ianze na Ukraine, kishawakatilia US na NATO mara ngapi?
Mkuu wa NATO Mark Rutte amesema Ulaya itanunua silaha toka Marekani na watazipeleka Ukraine.Marekani imeondoa maombi yote ya usafirishaji wa bidhaa kupitia Rzeszow, Constanta, na Varna kwa ajili ya Ukraine.
Usafirishaji wa silaha na vifaa vya kijeshi kwenda Ukraine kupitia kambi za NATO barani Ulaya umesitishwa.
Kwa makadirio ya awali, hili linahusisha maelfu ya tani za silaha na vifaa vya kijeshi.
Wafanyakazi wote wa Pentagon waliokuwa wakihusika na usambazaji wa silaha kwenda Kyiv wamefutwa kazi au kusimamishwa.
Ukaguzi mkubwa wa matumizi mabaya ya fedha za msaada kwa Ukraine umeanza.
===============================================
The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.
All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.
According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.
All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.
A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
kwani nani hana silaha za Nuclear? Maanake ukiona wanakutishia unazitumia. Hata US alitishia kutumia silaha za Nuclear kwa Cuba,baada ya Russia kutaka kufunga silaha za maangamizi Cuba. So alicho kikataa yy ndicho wanacho taka kukifanya NATO na US kufunga silaha za maangamizi Ukraine, so Russsia kutishia yupo sawa na mpaka unamuona taifa linatishia basi linamsuli mkubwa kifedha na kivita.Kwani Putin katoa masharti mangapi NATO na US wame yavunja mpaka anatishia Nyuklia
Marekani imeondoa maombi yote ya usafirishaji wa bidhaa kupitia Rzeszow, Constanta, na Varna kwa ajili ya Ukraine.
Usafirishaji wa silaha na vifaa vya kijeshi kwenda Ukraine kupitia kambi za NATO barani Ulaya umesitishwa.
Kwa makadirio ya awali, hili linahusisha maelfu ya tani za silaha na vifaa vya kijeshi.
Wafanyakazi wote wa Pentagon waliokuwa wakihusika na usambazaji wa silaha kwenda Kyiv wamefutwa kazi au kusimamishwa.
Ukaguzi mkubwa wa matumizi mabaya ya fedha za msaada kwa Ukraine umeanza.
===============================================
The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.
All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.
According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.
All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.
A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Kabla vita kuanza alikuwa na msuli ila kwasasa msuli umepungua inabidi aombe msaada kwa Iran na Korea ya KIM ndio kapewa wanajeshi 12000 wamsaidie kule Kursk ,Putin katisha watu weee kuhusu nyuklia mpaka kachoka mwisho kaishia kubadili. Doctrine watu wanapiga hivyo hivyo mpaka Moscowkwani nani hana silaha za Nuclear? Maanake ukiona wanakutishia unazitumia. Hata US alitishia kutumia silaha za Nuclear kwa Cuba,baada ya Russia kutaka kufunga silaha za maangamizi Cuba. So alicho kikataa yy ndicho wanacho taka kukifanya NATO na US kufunga silaha za maangamizi Ukraine, so Russsia kutishia yupo sawa na mpaka unamuona taifa linatishia basi linamsuli mkubwa kifedha na kivita.
Kwani kuna ubaya kusaidiwa na washirika wake kwani US Libya,Iraq si alisadiwa na washirika wake wa NATO? Ina maana aliishiwa US?Kabla vita kuanza alikuwa na msuli ila kwasasa msuli umepungua inabidi aombe msaada kwa Iran na Korea ya KIM ndio kapewa wanajeshi 12000 wamsaidie kule Kursk ,Putin katisha watu weee kuhusu nyuklia mpaka kachoka mwisho kaishia kubadili. Doctrine watu wanapiga hivyo hivyo mpaka Moscow
View attachment 3212477
Alipigana vita na washirika toka mwanzo, hii ni tofauti na Putin baada ya kuona silaha na wanajeshi wanakwisha ndio kaenda kutafuta msaada, tena kama Iran anasema aliuza Drone mwezi kabla wala hakujua kuwa Urusi anataka kuanzisha vitaKwani kuna ubaya kusaidiwa na washirika wake kwani US Libya,Iraq si alisadiwa na washirika wake wa NATO? Ina maana aliishiwa US?
Kwa hiyo ukisaidiwa tokea mwanzo ni tofauti ukisaidiwa mwishoni?Alipigana vita na washirika toka mwanzo, hii ni tofauti na Putin baada ya kuona silaha na wanajeshi wanakwisha ndio kaenda kutafuta msaada, tena kama Iran anasema aliuza Drone mwezi kabla wala hakujua kuwa Urusi anataka kuanzisha vita
Tofautisha msaada na ushirika, Us alipigana vita na washirika kuanzia maamuzi mpaka kuingia vitani, ILA Urusi kapanga vita vyake vina muelemea sasa kaenda kuomba msaadaKwa hiyo ukisaidiwa tokea mwanzo ni tofauti akisaidiwa mwishoni?
Kwa hiyo US alijijua ni dhaifu na akahisi vita itamuelemea ndio maana kaomba msaada kwa washirika wake tokea mwanzo?Tofautisha msaada na ushirika, Us alipigana vita na washirika kuanzia maamuzi mpaka kuingia vitani, ILA Urusi kapanga vita vyake vina muelemea sasa kaenda kuomba msaada
Anaokoteza kama vile marekani alivyookoteza askari UK, German na ufaransa kuivani Iraq.Shida hii nimekwambia Trump kakataa sasa wao kulipa pesa WHO wakati wengine hawalipi kama yeye , anataka kodi za Wamarekani zitumike kwa Wamarekani hili ni suala la kinchi ndio maana wa Marekani wamemchagua, KUHUSU mpango wa kujitoa NATO hili liko wazi kama wanachama wa wengine watashindwa kutimiza kiwango cha uchangiaji ndio atajitoa ila wakitimiza hajitoa sasa hapa napo kuna kipi cha kushangaa, wewe jamaa Trump hawezi kupewa maelekezo na Urusi ambaye sasa hivi anaokoteza askari Korea kaskazini na kusaidiwa silaha na Iran, Mrusi labda atoe maelekezo Burkina Faso sio US
Hapana waliamua kumpiga kwa pamoja ili iwe jambo la wote, ila Urusi jambo la Ukraine lilikuwa lake binafsi kwahiyo baada ya unga kuzidi maji katoka mbio kwa KIM kuomba salamaKwa hiyo US alijijua ni dhaifu na akahisi vita itamuelemea ndio maana kaomba msaada kwa washirika wake tokea mwanzo?
Sasa kwani Russia kuamua mwisho kumpiga pamoja Ukraine kwa kushirikia na NK kuna ubaya? Sasa huyo ambaye unasema maji yalizidi unga,ndiye US alimuomba akawarudishe wanaanga wake waliokwamba angani. Nikakuuliza why NASA na Mask waishindwa,wakati NASA bajeti yao ni kubwa na Mask ni tajiri namba moja.Hapana waliamua kumpiga kwa pamoja ili iwe jambo la wote, ila Urusi jambo la Ukraine lilikuwa lake binafsi kwahiyo baada ya unga kuzidi maji katoka mbio kwa KIM kuomba salama
Nimekwambia usichanganye ushirikiano na msaada, Unarudia yale yale , Kushirikiana maana yake ni kuanzia mipango yote mpaka mnakwenda vitani na ndio kitu US alifanya na washirika wake, PUTIN alipigana vita mwenyewe baada ya kuona amepoteza watu na silaha nyingi ndio anakwenda KUOMBA msaada kufidia alichopoteza , maji yamezidi unga hii ndio maana yake, sasa unarudi kule kule kwa NASA wakita nilishajibuSasa kwani Russia kuamua mwisho kumpiga pamoja Ukraine kwa kushirikia na NK kuna ubaya? Sasa huyo ambaye unasema maji yalizidi unga,ndiye US alimuomba akawarudishe wanaanga wake waliokwamba angani. Nikakuuliza why NASA na Mask waishindwa,wakati NASA bajeti yao ni kubwa na Mask ni tajiri namba moja.
Ila around mwezi wa kumi mwaka jana,kwa kutumia resources na bajeti yake akawarudisha hao wananga,halafu taifa kama hili maji yazidi unga, mbona unajicontradict mwenyewe.
Walimu wanakazi so ushirikiano ni tofauti na msaada? Kwa hiyo mkishirikiana hamna kuasaidiana? Haisee kiswahili kigumu..... kwani hili la Ukraine,US na NATO si walipanga tokea mwanzo na wakakubaliana,kufunga silaha za maangamizi Ukraine, mbona NATO na US wanatoa msaada kwa Ukraine na Trump katishia kusitisha au huu unaotolewa na NATO pamoja na US sio msaada sababu mwanzo walishiriki kupanga wote hii vita kwa pamoja?Nimekwambia usichanganye ushirikiano na msaada, Unarudia yale yale , Kushirikiana maana yake ni kuanzia mipango yote mpaka mnakwenda vitani na ndio kitu US alifanya na washirika wake, PUTIN alipigana vita mwenyewe baada ya kuona amepoteza watu na silaha nyingi ndio anakwenda KUOMBA msaada kufidia alichopoteza , maji yamezidi unga hii ndio maana yake, sasa unarudi kule kule kwa NASA wakita nilishajibu
Nimesha kupa maana una uliza tena swali lile ushirikiano sio msaada , kila moja ina hatua zake mbona nimesha eleza juu uko, sasa kuambiwa kurudisha wanaanga ndio kunakufanya wewe usitafute msaada kwa Korea ya kaskazini? mbona unalinganisha vitu hata havina uhusiano? mambo ya anga na wewe vita kuwa ngumu vina uhusiano gani? namna hii lazima waalimu wapate tabuWalimu wanakazi so ushirikiano ni tofauti na msaada? Kwa hiyo mkishirikiana hamna kuasaidiana? Haisee kiswahili kigumu..... kwani hili la Ukraine,US na NATO si walipanga tokea mwanzo na wakakubaliana,kufunga silaha za maangamizi Ukraine, mbona NATO na US wanatoa msaada kwa Ukraine na Trump katishia kusitisha au huu unaotolewa na NATO pamoja na US sio msaada sababu mwanzo walishiriki kupanga wote hii vita kwa pamoja?
Nimekuuliza mtu ambaye maji yamezidi unga ndiye US alimuomba akawarudishe wana anga wake ,halafu unasema maji yamezidi unga.Lazima nirudi kwa NASA sababu huelewi unacho kizungumza,nimemtumia NASA na MUSK kuonyesha capability ya Rusia kitech na kiuchumi, kwani huwezi fanya hivi vitu kama kiuchumi haupo vizuri.
Kwani kwenye vita kwa nini kuna kikosi cha anga? Kama anga na vita ni tofauti? Yaani unajicontradict.........Nimesha kupa maana una uliza tena swali lile ushirikiano sio msaada , kila moja ina hatua zake mbona nimesha eleza juu uko, sasa kuambiwa kurudisha wanaanga ndio kunakufanya wewe usitafute msaada kwa Korea ya kaskazini? mbona unalinganisha vitu hata havina uhusiano? mambo ya anga na wewe vita kuwa ngumu vina uhusiano gani? namna hii lazima waalimu wapate tabu
Mkuu ebu fatilia jeshi la anga la Urusi na wana anga wa kawaida, usichanganye mambo aiseee, NATO iliundwa kwa ajili ya kumzuia Sovieti asijitanue Ulaya yote , NATO ipo kwa ajili ya usalama wa wanachama, BRICS ni kitu kingine kabisaa kwa ajili ya mambo tofauti na NATOKwani kwenye vita kwa nini kuna kikosi cha anga? Kama anga na vita ni tofauti? Yaani unajicontradict.........
Okay dhumuni la msingi la NATO au BRICS ni nini? unaweza Google naamini kupitia hizo taasisi ndipo utaelewa dhumuni ya hizo taasisi ni kushirikiana na KUSAIDIANA.