Mkuu unamaanisha nin kusema Ulaya nzima itakuwa at mercy ya mrusi?......
Trump ana mpango wa kujitoa NATO, unaelewa kuwa US kujitoa NATO ni kuikabidhi Ulaya nzima at mercy of Russia?
Nguvu pekee dhidi ya Russia ni NATO, US kujitoa na kuivunja NATO, Huoni kuwa ni kumfanya Russia superpower?
Pravda ni chombo cha habari cha Urusi. Wapo Urusi na taarifa za wazi za Marekani wamezipataje bila wao kuwa na source iliyopo serikali ya Marekani.Source hii hapaView attachment 3210457
ï¸The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna
All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.All Pentagon employees involved...news-pravda.com
Ama uelewa wako mdogo au unafata mkumbo. Chanzo cha vita kinajulikana, kwanini wakati wa vita baridi na mpaka Sasa marekani hawakutaka Urusi aweke mitambo yake ya nyukilia Cuba .Ujinga wa nani? Putin mvamizi mme wa Trump au Ukraine wanaopigana kulinda nchi Yao?
Naelewa namna unavyojisikia mkuu, ndio maana ukaandika kwa herufi kubwa, but ka suspend.UONGO
Mkuu kote nilikuwa nakubaliliana na wewe, ila ulipoanza kutoa povu la US kujitoa kwenye hayo mashirika nikakushangaa kidogo, kama aliingia kwa hiyari hata kutoka ni hiyari, na sielewi kwanini third party wanaumia kuliko wahusika.Hivi unaelewa maana ya kunegotiate?
Trump anataka Putin achukue baadhi ya mikoa ya Ukraine. Ndiyo kunegotiate. Mara zote amekuwa aking'ang'ana kuongea na Putin, hata akiwa anamuongelea utaona analegeza sauti, utasikia ''i know Vladmil''
Halafu uwe na akili kama mtu mzima, kwa hiyo wewe aliposema tu kusunction ukaona ni big deal sana?
Ulitaka atangaze hadharani kuwa lengo lake ni kuigawa Ukraine kwa Putin?
Sijui hata unaposema hiyo ni US siyo Tanzania unamaanisha nini!
Raisi ni raisi tu hata awe wa Tanzania, ana mamlaka makubwa.
Trump ni takataka, amejitoa WHO, atajitoa NATO, atajitoa WORLD BANK na mashirika mengine ya kimataifa, maana yake US haitakuwa na ushawishi tena, itacease kuwa superpower.
Yote hayo atafanya kwa faida ya mumewe Putin.
Labda Nobel ya Kisemvule.Mamia ya watu wamekufa kwa ujinga wa watu wachache, safari hii Trump anastahili Nobel.
Je CNN na Washington Post wanapotoa habari za Russia mbona mnaziamini bila kutia shaka?Pravda ni chombo cha habari cha Urusi. Wapo Urusi na taarifa za wazi za Marekani wamezipataje bila wao kuwa na source iliyopo serikali ya Marekani.
TBC inawezaje kutoa taarifa ya kauli au uamuzi wa wazi wa serikali ya Nigeria, bila serikali ya Nigeria kutoa taarifa?
Natafuta hii habari niisome au kama ni video nitazame. Unaweza kunisaidia mkuu kama hutojali.Serikali ya Donald Trump imeanza kazi kwa kufuta misaada yote ya silaha kwenda kwa Wanamgambo wa Ukraine na Uchunguzi unafuata ili kuwatia mbaroni Majangili yaliyo jichimbia Pentagon kufanya uhalifu na kufadhili magaidi hayo..
BREAKING The US has massively halted arms shipments to Ukraine
The United States has withdrawn all applications for the transit of goods in the interests of Ukraine through Rzeszow, Constanta and Varna.
All shipments of weapons and military equipment to Ukraine have been stopped at NATO bases in Europe.
According to preliminary estimates alone, we are talking about several thousand tons of weapons and military equipment.
All Pentagon employees involved in arms supplies to Kyiv have been fired or suspended.
A large-scale audit of the misuse of funds for aid to Ukraine begins.
Urusi keshamwambia kama anataka mazungumzo aje kwa heshima.....hio mikwara yake itamshtua Zelensky tu,,,,vikwazo kwa Urusi kwa sasa sio tatizoWakubaliane na Ukraine, vinginevyo Trump akigundua shida ni Urusi basi vikwazo vinakuja, kama shida ni Ukraine anakata misaada yote ya kijeshi, Trump akili kubwa
Hili ni jambo la Urusi na Ukraine, yeye Trump ni kaka mkubwa, anataka wamalizane ila atakae leta utata anashuka naeUrusi keshamwambia kama anataka mazungumzo aje kwa heshima.....hio mikwara yake itamshtua Zelensky tu,,,,vikwazo kwa Urusi kwa sasa sio tatizo
Ila ilianzishwa na US wenyewe kwa faida zao, sasa wameona matumizi yake yamepungua na imekuwa mzigo ndio maana wanajitoa, au pia haiendani na sera za serikali yakeHujaelewa sababu ya US kujitoa WHO anaona hakuna usawa kwasababu yeye US analipa pesa nyingi kuliko nchi yeyote ndio maana wanajitoa soma kuelewa, PILI kuhusu ushawishi sasa Urusi hafiki hata robo ya ushawishi wa US duniani yuko nyuma sana bora hata Mchina anaweza kusema kitu sio Mrusi, KUMBE hujui kitu lengo la Trump ni kumaliza vita ,Urusi akibisha anapewa vikwazo vikali mpaka akili imkae sawa kwasababu Trump anajua uchumi wa Urusi hauko vizuri, na Ukraine nae akibisha anatolewa nisaada ya kijeshi, kwahiyo Trump anajua UDHAIFU wa kila nchi hapo hawana cha kumsumbua
TRUMP amesha sema sasa akatae halafu ataona nini kinafata
View attachment 3210401
Ni ilani yake ya uchaguzi ndio maana wa Marekani wamemchagua, wameona ana mashiko kwenye hoja zake, hata Mchina ushawishi anao lakini hatoi pesa nyingi kama yeye , ndio maana Trump katumia mwanya huo kufyeka kichakaIla ilianzishwa na US wenyewe kwa faida zao, sasa wameona matumizi yake yamepungua na imekuwa mzigo ndio maana wanajitoa, au pia haiendani na sera za serikali yake
Hata kwenye mkata wa hali ya hewa pia wanajitoa, sababu haiendani na sera za serikali yake, sasa sioni tatizo.
Yaani hii sawa tajiri kujitoa kwenye umoja wa kusaidia wasiojiweza, sasa wasiojiweza wanaanza kumtisha tajiri kuwa usipotusaidia unapoteza umaarufuku wako kwwnye jamii, wanasahau tajiri anachojali ni kutokufilisika na kuongeza utajiri wake ujitoa kwenye umoja flani kwa manufaa yako, alafu watu kuku
Aah kwahiyo ulitoa hii habari isiyo na ukweli kama kisasi cha CNN na WPJe CNN na Washington Post wanapotoa habari za Russia mbona mnaziamini bila kutia shaka?
B
Bro Trump ni mzazi kama walivyo wazazi wetu mimi na wewe kwanini unasema kuwa ni mke wa Putin
Hujui hata maandiko bro, huna hata khofu bro unashindwa kuheshimu hata wazazi?
Hebu fikiria kama ndo angekuwa anaandikwa baba yako kuwa mumuwe ni mwigulu chemba
Kuwa Sirius bas
Hio position anayokaa mmarekani ndi mrusi haitaki ndo maana kamwambia aje kwa heshima vikwazo vyake sio jambo geni na hatishikiHili ni jambo la Urusi na Ukraine, yeye Trump ni kaka mkubwa, anataka wamalizane ila atakae leta utata anashuka nae
Trump amesema Putin asipo kubali kumaliza mapigano na Ukraine atapigwa vikwazo, sasa wewe sema Trump ni pandikizi la UrulaIll
Tutajua tuwape muda kama katishika au lahHio position anayokaa mmarekani ndi mrusi haitaki ndo maana kamwambia aje kwa heshima vikwazo vyake sio jambo geni na hatishiki
Sio walamba miguu wa wamagharibi hao.......na jamaa wanajua mrusi na china wameingia Africa kutibua mipango yao (Global South) chaguzi nyingi kwa sasa Afrika zina mikono ya pande 2 kwa sasa global north (wamagharibi/mabepari) na global south (wengi wao ni zile nchi zilizokua za kijamaa) hata huu mwaka uchaguzi una elements za hizo pande 2 na anajulikana atakaeshinda,,,.......,,kwahio wakijifanya kuleta ubabe wao wa enzi hizo na wao wanajua pakuwatetemesha. ..AFRICA IS THE NEW FRONTIERTutajua tuwape muda kama katishika au lah
Mrusi ameingia Africa kuservive hali ni mbaya, vita ni gharama sana, kwahiyo amekuja Africa kukwepa vikwazo, pesa ambazo alikuwa anapata Ulaya ni nyingi, ndio yupo Africa kwa ajili ya mali halafu anawapa ulinzi na wanajeshi wale wa Wagner ili kukwepa vikwazo, huyu Urusi wa sasa sio yule wa kabla ya vitaSio walamba miguu wa wamagharibi hao.......na jamaa wanajua mrusi na china wameingia Africa kutibua mipango yao (Global South) chaguzi nyingi kwa sasa Afrika zina mikono ya pande 2 kwa sasa global north (wamagharibi/mabepari) na global south (wengi wao ni zile nchi zilizokua za kijamaa) hata huu mwaka uchaguzi una elements za hizo pande 2 na anajulikana atakaeshinda,,,.......,,kwahio wakijifanya kuleta ubabe wao wa enzi hizo na wao wanajua pakuwatetemesha. ..AFRICA IS THE NEW FRONTIER