Utegemezi na Umasikini kwa nchi za Africa, Je tatizo lilianzia kwenye mapokeo ya dini na Imani?

Utegemezi na Umasikini kwa nchi za Africa, Je tatizo lilianzia kwenye mapokeo ya dini na Imani?

What is your solution? Come with yo
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.

Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.

Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.

Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?

Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?

Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets

Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.

Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.

Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?

UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop

Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


Correction Ibn Batuta alifika Kilwa 1340 na Kikuta Waislamu
Correction Ibn Batuta alifika Kilwa c 1340 alikuta Waislamu
 
labda usichokielewa ni kwamba hata wazungu walikuwa pagan pia kama vile sisi waafrika kabla ya Christianization hivyo siyo kweli kwamba Ukristo ni wa wa wazungu ingawaje ni kweli Mungu aliwatumia Wamishionari kuleta Christianity ambao walitokea tu kuwa wazungu, the oldest Christians ni Waethiopia ambao wanaishi bara la afrika tena ni karibia jirani zetu, hata kwenye Biblia Ethiopia imetajwa Abyssinia.

hivyo tanzagiza ni masikini kwa sababu, haijawahi kuwa chistianized by 100%, wazungu wameendelea kwa sababu waliiuchukuwa Ukristo kwa 100% na kuacha mila zao za jadi za kichawi, kuna miji USA na Ulaya ilikuwa inaishi kwa kufwata Amri 10 za Mungu wali practice kabisa na kuziishi na ndicho kilichowafikisha hapo.

look at the brightside, kama tanzagiza ingekuwa christianized 100% ina maana tungeziishi Amri 10 za Mungu, embu ziorodheshe halafu uone kama tungezifwata kama Christians leo hii tungekuwa wapi in terms of human development?

tatizo la tanzagiza ni kwamba hatujamkubali Kristo kwa 100% ni nusu nusu, na hapo ndipo shida kubwa ilipo btw sehemu ambazo Ukristo angalau umeshika vizuri kama Mkoa wa KLM wako mbele sana in terms of human development kulinganisha na wamila mila na jadi, angalia wamasai wanafwata mila 100% wako wapi kimaendeleo? sidhani kama ungependa kuishi kama wamasai porini kwenye mayata ukichunga ng’ombe.

hivyo tanzagiza inahitaji kuwa Christianized by 100% na kuuishi
Ukristo vinginevyo mateso, dhuluma, ukandamizaji na unfair treatment kwa waliodhaifu havitakwisha …
Kwakuwa umeongea kiubaguzi,uislamu ndo unaweza kutupeleka katika maendeleo ya kweli,ukifuatwa kiukamilifu,ukifuatilia kwa kiasi fulani kama si kikubwa,uislamu unaendana na mila za kiafrika,fuatilia utaona.
 
Hata hao wazungu ukristo sio identity Yao nao wameupokea lakini maendeleo wanayo unachokiongea ni sawa na mbaazi kukauka na kusingizia jua
Yaani huyo ana Phd utaambiwa , hakuna uhusiano kabisa na anachokiandika ...Angalau anajua kusoma basi ila hana cha kuandika kabisa
 
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.

Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.

Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.

Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?

Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?

Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets

Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.

Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.

Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?

UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop

Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


Huyu Shigongo ni mjinga wa mwisho. Hawa ndiyo wanamaliza fedha za misaada kwa ufahari halafu anajifanya kusema eti watu wasali ili Trump abadilishe mawazo. F'ck mtu mweusi, ombaomba, mpenda anasa bila kufanya kazi. Mtu mzima unasema watu wasali ili usaidiwe wakati nchi yako ina kila kitu? Hapo utakuta alisafiri na business class kwa kutumia fedha za ufisadi.
 
Slavery imetuharibu

Mpaka leo bado tuna slave mentality

Ova
Hakika. Msimamo wa Trump ni mzuri. Ni wakati sasa Waafrica wanapoiba hela serikalini…. Wawekeze nchini kwao. Wanaiba hela then wanaenda kuzificha Ulaya

Waafrica wataelewq tu ni suala la muda. Officially Trump emekata misaada Africa
 
Kwakuwa umeongea kiubaguzi,uislamu ndo unaweza kutupeleka katika maendeleo ya kweli,ukifuatwa kiukamilifu,ukifuatilia kwa kiasi fulani kama si kikubwa,uislamu unaendana na mila za kiafrika,fuatilia utaona.
🤣 mbona waaarabu wanamaendeleo kuliko nyie
 
🤣 mbona waaarabu wanamaendeleo kuliko nyie
Na hao waarabu kabla ya Muhammad walikuwa na imani zao zengine tofauti na uislamu, Muhammad akaja kuwahubiria uislamu hadi na vita vinapiganwa.

Na sasa inaonekana uislamu ni utambulisho wa waarabu.
 
Na hao waarabu kabla ya Muhammad walikuwa na imani zao zengine tofauti na uislamu, Muhammad akaja kuwahubiria uislamu hadi na vita vinapiganwa.

Na sasa inaonekana uislamu ni utambulisho wa waarabu.
But Uislam umewaunganisha waarabu by 95%
 
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.

Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.

Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.

Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?

Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?

Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets

Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.

Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.

Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?

UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop

Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


Hizi ni kamba ambazo kila siku wanadanganyana.

Waoman wanakuja ukanda huu tayari watu ni waisilamu, inshort kabla uisilamu haujasambaa Uarabuni tayari ulikuwepo Africa, kwa Ushahidi wa Historia na Archaeology.

Same kwa Ukristo, upo hata kabla haujasambaa Ulaya, Sehemu kama Egpty na Ethiopia zilikua na wakristo wa Mwanzo kabisa.

Mataifa makubwa makubwa Ya Afrika kama Aksum Empire ya Congo ama Mali ya zamani ya Mansa Musa Yalikua na Nguvu sababu ya hio hio dini.
 
Hakika. Msimamo wa Trump ni mzuri. Ni wakati sasa Waafrica wanapoiba hela serikalini…. Wawekeze nchini kwao. Wanaiba hela then wanaenda kuzificha Ulaya

Waafrica wataelewq tu ni suala la muda. Officially Trump emekata misaada Africa
Safi sana ...hawa wamezidi kuwa omba omba na pesa wakizipata wanazifuja...

Ova
 
Hizi ni kamba ambazo kila siku wanadanganyana.

Waoman wanakuja ukanda huu tayari watu ni waisilamu, inshort kabla uisilamu haujasambaa Uarabuni tayari ulikuwepo Africa, kwa Ushahidi wa Historia na Archaeology.

Same kwa Ukristo, upo hata kabla haujasambaa Ulaya, Sehemu kama Egpty na Ethiopia zilikua na wakristo wa Mwanzo kabisa.

Mataifa makubwa makubwa Ya Afrika kama Aksum Empire ya Congo ama Mali ya zamani ya Mansa Musa Yalikua na Nguvu sababu ya hio hio dini.
Mwisho wa siku,dini zote hizo mliletewa

Ova
 
Hakika. Msimamo wa Trump ni mzuri. Ni wakati sasa Waafrica wanapoiba hela serikalini…. Wawekeze nchini kwao. Wanaiba hela then wanaenda kuzificha Ulaya

Waafrica wataelewq tu ni suala la muda. Officially Trump emekata misaada Africa
Acha hali ngumu Ije labda raia akili zitawakaa sawa na wataacha kukata mauno

Ova
 
Kwakuwa umeongea kiubaguzi,uislamu ndo unaweza kutupeleka katika maendeleo ya kweli,ukifuatwa kiukamilifu,ukifuatilia kwa kiasi fulani kama si kikubwa,uislamu unaendana na mila za kiafrika,fuatilia utaona.

kama ni hivyo nchi za kiislamu zingeendelea, lkn zote shida tupu kwa nini ?
 
Back
Top Bottom