Utegemezi na Umasikini kwa nchi za Africa, Je tatizo lilianzia kwenye mapokeo ya dini na Imani?

Utegemezi na Umasikini kwa nchi za Africa, Je tatizo lilianzia kwenye mapokeo ya dini na Imani?

Tukisoma maandiko matakatifu katika kitabu cha Yeremia 17:5 "BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA."

Mtoa mada unaweza kuona jinsi ambavyo Mungu amemkataza mwanadamu kutegemea msaada wa mwanadamu mwingine. Hivyo hakuna mkiristo wa kweli anayesoma maandiko ambaye ni tegemezi kwa mwanadamu. Wakiristo wakweli msaada wao unatoka kwa Mungu. Mungu ndio tegemeo lao.
 
pakistani, afghanistan, uyghurs wa china, india, irak, lebanon, siria, yemani, n.k.

pakistani, afghanistan, uyghurs wa china, india, irak, lebanon, siria, yemani, n.k.
Hizo sio masikini. Ni chuki za magharibi. Wamezichafua. Pamoja na vita na vurugu za huko. Bado wana standard life kulinganisha na lenu
 
Shida ya afrika ni kutokubari kukusolewa na kutokubari kuwa equal kwenye kueshimiana.
Hiki kitu ndio kina tuponza sana yani mafanaikio kidogo wengine mazuzu.wakati walio wenzetu mazuzu ndio wanaheshimiwa kwa ajili wamewapa mafanikio.
IMG_0530.jpeg
 
Hizo sio masikini. Ni chuki za magharibi. Wamezichafua. Pamoja na vita na vurugu za huko. Bado wana standard life kulinganisha na lenu

ni kweli kidogo siria, irak hata uturuki zilikuwa Christian kabla ya uislamu kuvamia na kuzibadili, mji wa uturuki wa instabul originally uliitwa Constantinople kutokana na Papa Constantin leo hii imekuea islamic kama yote, isitoshe , hata afrika unaweza kutoa kisingizio kama hicho hicho tu, lkn ukweli ni kwamba kuna hizo nchi za magharibi zinatawala dunia nzima lkn kwingine kunachanua kwingine kunaharibika na sababu ni culture ya nchi zinazoharibika ndiyo tatizo …
 
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.

Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.

Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.

Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?

Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?

Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets

Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.

Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.

Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?

UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop

Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


Mmeshindwa kuwatoa CCM wanapokea fedha za wazungu wanazifanyia anasa na mnawashabikia hamtaki kuwatoa madarakani halafu mnalaumu identities.
 
Dini zinadumaza akili
za waafrica weng
kama mpaka leo karne ya 21 anategemea miujiza ya utajiri kwa nabii fulani ndo atoboe
unategemea nin!
 
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.

Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.

Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.

Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?

Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?

Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets

Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.

Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.

Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?

UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop

Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


labda usichokielewa ni kwamba hata wazungu walikuwa pagan pia kama vile sisi waafrika kabla ya Christianization hivyo siyo kweli kwamba Ukristo ni wa wa wazungu ingawaje ni kweli Mungu aliwatumia Wamishionari kuleta Christianity ambao walitokea tu kuwa wazungu, the oldest Christians ni Waethiopia ambao wanaishi bara la afrika tena ni karibia jirani zetu, hata kwenye Biblia Ethiopia imetajwa Abyssinia.

hivyo tanzagiza ni masikini kwa sababu, haijawahi kuwa chistianized by 100%, wazungu wameendelea kwa sababu waliiuchukuwa Ukristo kwa 100% na kuacha mila zao za jadi za kichawi, kuna miji USA na Ulaya ilikuwa inaishi kwa kufwata Amri 10 za Mungu wali practice kabisa na kuziishi na ndicho kilichowafikisha hapo.

look at the brightside, kama tanzagiza ingekuwa christianized 100% ina maana tungeziishi Amri 10 za Mungu, embu ziorodheshe halafu uone kama tungezifwata kama Christians leo hii tungekuwa wapi in terms of human development?

tatizo la tanzagiza ni kwamba hatujamkubali Kristo kwa 100% ni nusu nusu, na hapo ndipo shida kubwa ilipo btw sehemu ambazo Ukristo angalau umeshika vizuri kama Mkoa wa KLM wako mbele sana in terms of human development kulinganisha na wamila mila na jadi, angalia wamasai wanafwata mila 100% wako wapi kimaendeleo? sidhani kama ungependa kuishi kama wamasai porini kwenye manyata ukichunga ng’ombe.

hivyo tanzagiza inahitaji kuwa Christianized by 100% na kuuishi
Ukristo vinginevyo mateso, dhuluma, ukandamizaji na unfair treatment kwa waliodhaifu havitakwisha …
Hoja dhaifu l
labda usichokielewa ni kwamba hata wazungu walikuwa pagan pia kama vile sisi waafrika kabla ya Christianization hivyo siyo kweli kwamba Ukristo ni wa wa wazungu ingawaje ni kweli Mungu aliwatumia Wamishionari kuleta Christianity ambao walitokea tu kuwa wazungu, the oldest Christians ni Waethiopia ambao wanaishi bara la afrika tena ni karibia jirani zetu, hata kwenye Biblia Ethiopia imetajwa Abyssinia.

hivyo tanzagiza ni masikini kwa sababu, haijawahi kuwa chistianized by 100%, wazungu wameendelea kwa sababu waliiuchukuwa Ukristo kwa 100% na kuacha mila zao za jadi za kichawi, kuna miji USA na Ulaya ilikuwa inaishi kwa kufwata Amri 10 za Mungu wali practice kabisa na kuziishi na ndicho kilichowafikisha hapo.

look at the brightside, kama tanzagiza ingekuwa christianized 100% ina maana tungeziishi Amri 10 za Mungu, embu ziorodheshe halafu uone kama tungezifwata kama Christians leo hii tungekuwa wapi in terms of human development?

tatizo la tanzagiza ni kwamba hatujamkubali Kristo kwa 100% ni nusu nusu, na hapo ndipo shida kubwa ilipo btw sehemu ambazo Ukristo angalau umeshika vizuri kama Mkoa wa KLM wako mbele sana in terms of human development kulinganisha na wamila mila na jadi, angalia wamasai wanafwata mila 100% wako wapi kimaendeleo? sidhani kama ungependa kuishi kama wamasai porini kwenye manyata ukichunga ng’ombe.

hivyo tanzagiza inahitaji kuwa Christianized by 100% na kuuishi
Ukristo vinginevyo mateso, dhuluma, ukandamizaji na unfair treatment kwa waliodhaifu havitakwisha …
Hoja dhaifu 🚮 sana na inaonyesha ni jinsi gan huko kichwani umejaza ujinga unaoitwa dini,hutaki kukubali kabisa kuwa ukristo na uislam sio imani za mwafrika
 
Ndiyo maana nimekuambia wewe ni zero ,kamuulize mkubwa wako ...Tanzania kuna makabila mangapi ? kila kabila lina mfumo wao ..chini ya dini leo kuna ndoa ya mnyakyusa na mchaga , huko nyuma hakujakuwa na kitu kama hicho ...Huu ustaarabu kabla ya wakoloni kila mtu ilikuwa anaishi kwao .

Huwezi kuleta maana kweny hoja yako kwa sababu unaweza kushikwa hata na mtoto mdogo , kabla ya ustaarabu huu ilikuwa makabila tofauti hakuna ndoa hapo wala kuishi pamoja , rejea jamii za wafugaji na wakulima mpaka leo ...Hao wachaga na wapare ilikuwa hawawezi kukaa sehemu moja ...Wachaga wa sehemu tofauti ilikuwa ngoma haziivi ; Mrombo na mkiboshi ni watu tofauti miaka hiyo ila sasa washirikiana bila hiyana .

Vijana wa sasa hwarithi ugomvi wa kikabila ...Yaani kama hivyo hata wewe ungekuwa kwenu porini huko hata mswaki hampigi ...


Point yako ni useless , phd ya mchongo ...
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuu
 
Hoja dhaifu l

Hoja dhaifu 🚮 sana na inaonyesha ni jinsi gan huko kichwani umejaza ujinga unaoitwa dini,hutaki kukubali kabisa kuwa ukristo na uislam sio imani za mwafrika

hakuna binadamu anayemiliki imani, kila culture ililetewa dini ni swala la muda tu, isitoshe watu sampuli yako ndiyo adui wakubwa wa waafrika kwani mnawadanganya waendelee kubakia na mila na jadi zisizoleta maendeleo yoyote yale ( hakuna proof kwamba tulikuwa mbele kimaendeleo kabla ya Ukristo ) huku ninyi kwenye maisha yenu binafsi na familia zenu mnaiga na kufwata western way of life, mnawadanganya wamasai wabakie kuvaa shuka na kuruka ruka wakati ninyi mnavaa full tuxedo na kila aina ya designer clothes kabatini …
 
Ndiyo maana nimekuambia wewe ni zero ,kamuulize mkubwa wako ...Tanzania kuna makabila mangapi ? kila kabila lina mfumo wao ..chini ya dini leo kuna ndoa ya mnyakyusa na mchaga , huko nyuma hakujakuwa na kitu kama hicho ...Huu ustaarabu kabla ya wakoloni kila mtu ilikuwa anaishi kwao .

Huwezi kuleta maana kweny hoja yako kwa sababu unaweza kushikwa hata na mtoto mdogo , kabla ya ustaarabu huu ilikuwa makabila tofauti hakuna ndoa hapo wala kuishi pamoja , rejea jamii za wafugaji na wakulima mpaka leo ...Hao wachaga na wapare ilikuwa hawawezi kukaa sehemu moja ...Wachaga wa sehemu tofauti ilikuwa ngoma haziivi ; Mrombo na mkiboshi ni watu tofauti miaka hiyo ila sasa washirikiana bila hiyana .

Vijana wa sasa hwarithi ugomvi wa kikabila ...Yaani kama hivyo hata wewe ungekuwa kwenu porini huko hata mswaki hampigi ...


Point yako ni useless , phd ya mchongo ...
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuu
ndiyo! imeandikwa hata kwenye Biblia, nendeni Duniani kote mkaitangaze injili kwa kila kiumbe … Mk 16:15
Huna akili hata kidogo🚮,hizo kwenye biblia si hadithi tuu hazina uhalisia wowote
 
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuu

Huna akili hata kidogo🚮,hizo kwenye biblia si hadithi tuu hazina uhalisia wowote

unajua kwanza kwa nini hata tuliuzwa utumwa? sisi ndiyo binadamu pekee tuliokuwa enslaved in the last 500 years, why? au unafikiri tungekuwa na culture superior tungeshikwa utumwa na kuuzwa sokoni?
 
hakuna binadamu anayemiliki imani, kila culture ililetewa dini ni swala la muda tu, isitoshe watu sampuli yako ndiyo adui wakubwa wa waafrika kwani mnawadanganya waendelee kubakia na mila na jadi zisizoleta maendeleo yoyote yale ( hakuna proof kwamba tulikuwa mbele kimaendeleo kabla ya Ukristo ) huku ninyi kwenye maisha yenu binafsi na familia zenu mnaiga na kufwata western way of life, mnawadanganya wamasai wabakie kuvaa shuka na kuruka ruka wakati ninyi mnavaa full tuxedo na kila aina ya designer clothes kabatini …
Mtumwa uliekataa asili yako na kujiona ni mwerevu kwa kufuata asili ya jamii nyingine🚮
 
Back
Top Bottom