baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Wapi dini haijapelekwa?Mwisho wa siku,dini zote hizo mliletewa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi dini haijapelekwa?Mwisho wa siku,dini zote hizo mliletewa
Ova
Umeshawahi kufika any of those?
Hizo ni Ngozi Nyeusi
pakistani, afghanistan, uyghurs wa china, india, irak, lebanon, siria, yemani, n.k.
Hizo sio masikini. Ni chuki za magharibi. Wamezichafua. Pamoja na vita na vurugu za huko. Bado wana standard life kulinganisha na lenupakistani, afghanistan, uyghurs wa china, india, irak, lebanon, siria, yemani, n.k.
Hizo sio masikini. Ni chuki za magharibi. Wamezichafua. Pamoja na vita na vurugu za huko. Bado wana standard life kulinganisha na lenu
Mmeshindwa kuwatoa CCM wanapokea fedha za wazungu wanazifanyia anasa na mnawashabikia hamtaki kuwatoa madarakani halafu mnalaumu identities.Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.
Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.
Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.
Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?
Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?
Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets
Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.
Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.
Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?
UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop
Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Tunga mpya Jombi hiyo tumeichoka Kayngay Marass wewe.Sayngay
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.
Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.
Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.
Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani ya mtu mweusi?
Kwa mfano, Ukirudi nyuma miaka 170 kutoka sasa, Tanganyika na Zanzibar hakukuwa na Uislam wala Ukiristu, tulikuwa na identity yetu, Je ni ipi hiyo?
Jesus was never for Africans, and Muhammad Ibn Abdillah was never for Africans. We had our own prophets
Tatizo la Utegemezi na Umasikini kwa Tanzania na Africa lilianzia kwenye DENIAL of Identity, ridiculing our prophets, pamoja na mapokeo ya imani za kigeni zilizopelekea Divide and Rule. Leo hii muafrica wa kiislam na wa ki Christian , deep down hawawezi kujiona ni ndugu, hata salamu zao sio kiunganishi chao. Kila mmoja anamuona mwezie amepotea.
Denial of Identity and lost of our faith ikapelekea sisi kuandikiwa our own history…… imagine mtu akuandikie historia ya maisha yako then akuhadithie….hiki ndio chanzo cha umasikini na utegemezi Africa.
Ili kutatua TATIZO la UTEGEMEZI na UMASIKINI, mtu mweusi ni lazima arudi nyuma na aitafute Identity yake na imani yake ya kweli then aiandike upya histori yake…otherwise, it is a joke kuamini kwamba some days Africa itakuja kusimama na kuendelea…. It never has and Never will.
The world was created with resources distributed equally and designed for interdependence.Africa is the most blessed with abundant natural wealth., then what went wrong?
UTEGEMEZI na UMASIKINI kwa Africa ni laana ya asili iliyotokana na Denial of Identity and faith full stop
Dr Megalodon, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Hoja dhaifu llabda usichokielewa ni kwamba hata wazungu walikuwa pagan pia kama vile sisi waafrika kabla ya Christianization hivyo siyo kweli kwamba Ukristo ni wa wa wazungu ingawaje ni kweli Mungu aliwatumia Wamishionari kuleta Christianity ambao walitokea tu kuwa wazungu, the oldest Christians ni Waethiopia ambao wanaishi bara la afrika tena ni karibia jirani zetu, hata kwenye Biblia Ethiopia imetajwa Abyssinia.
hivyo tanzagiza ni masikini kwa sababu, haijawahi kuwa chistianized by 100%, wazungu wameendelea kwa sababu waliiuchukuwa Ukristo kwa 100% na kuacha mila zao za jadi za kichawi, kuna miji USA na Ulaya ilikuwa inaishi kwa kufwata Amri 10 za Mungu wali practice kabisa na kuziishi na ndicho kilichowafikisha hapo.
look at the brightside, kama tanzagiza ingekuwa christianized 100% ina maana tungeziishi Amri 10 za Mungu, embu ziorodheshe halafu uone kama tungezifwata kama Christians leo hii tungekuwa wapi in terms of human development?
tatizo la tanzagiza ni kwamba hatujamkubali Kristo kwa 100% ni nusu nusu, na hapo ndipo shida kubwa ilipo btw sehemu ambazo Ukristo angalau umeshika vizuri kama Mkoa wa KLM wako mbele sana in terms of human development kulinganisha na wamila mila na jadi, angalia wamasai wanafwata mila 100% wako wapi kimaendeleo? sidhani kama ungependa kuishi kama wamasai porini kwenye manyata ukichunga ng’ombe.
hivyo tanzagiza inahitaji kuwa Christianized by 100% na kuuishi
Ukristo vinginevyo mateso, dhuluma, ukandamizaji na unfair treatment kwa waliodhaifu havitakwisha …
Hoja dhaifu 🚮 sana na inaonyesha ni jinsi gan huko kichwani umejaza ujinga unaoitwa dini,hutaki kukubali kabisa kuwa ukristo na uislam sio imani za mwafrikalabda usichokielewa ni kwamba hata wazungu walikuwa pagan pia kama vile sisi waafrika kabla ya Christianization hivyo siyo kweli kwamba Ukristo ni wa wa wazungu ingawaje ni kweli Mungu aliwatumia Wamishionari kuleta Christianity ambao walitokea tu kuwa wazungu, the oldest Christians ni Waethiopia ambao wanaishi bara la afrika tena ni karibia jirani zetu, hata kwenye Biblia Ethiopia imetajwa Abyssinia.
hivyo tanzagiza ni masikini kwa sababu, haijawahi kuwa chistianized by 100%, wazungu wameendelea kwa sababu waliiuchukuwa Ukristo kwa 100% na kuacha mila zao za jadi za kichawi, kuna miji USA na Ulaya ilikuwa inaishi kwa kufwata Amri 10 za Mungu wali practice kabisa na kuziishi na ndicho kilichowafikisha hapo.
look at the brightside, kama tanzagiza ingekuwa christianized 100% ina maana tungeziishi Amri 10 za Mungu, embu ziorodheshe halafu uone kama tungezifwata kama Christians leo hii tungekuwa wapi in terms of human development?
tatizo la tanzagiza ni kwamba hatujamkubali Kristo kwa 100% ni nusu nusu, na hapo ndipo shida kubwa ilipo btw sehemu ambazo Ukristo angalau umeshika vizuri kama Mkoa wa KLM wako mbele sana in terms of human development kulinganisha na wamila mila na jadi, angalia wamasai wanafwata mila 100% wako wapi kimaendeleo? sidhani kama ungependa kuishi kama wamasai porini kwenye manyata ukichunga ng’ombe.
hivyo tanzagiza inahitaji kuwa Christianized by 100% na kuuishi
Ukristo vinginevyo mateso, dhuluma, ukandamizaji na unfair treatment kwa waliodhaifu havitakwisha …
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuuNdiyo maana nimekuambia wewe ni zero ,kamuulize mkubwa wako ...Tanzania kuna makabila mangapi ? kila kabila lina mfumo wao ..chini ya dini leo kuna ndoa ya mnyakyusa na mchaga , huko nyuma hakujakuwa na kitu kama hicho ...Huu ustaarabu kabla ya wakoloni kila mtu ilikuwa anaishi kwao .
Huwezi kuleta maana kweny hoja yako kwa sababu unaweza kushikwa hata na mtoto mdogo , kabla ya ustaarabu huu ilikuwa makabila tofauti hakuna ndoa hapo wala kuishi pamoja , rejea jamii za wafugaji na wakulima mpaka leo ...Hao wachaga na wapare ilikuwa hawawezi kukaa sehemu moja ...Wachaga wa sehemu tofauti ilikuwa ngoma haziivi ; Mrombo na mkiboshi ni watu tofauti miaka hiyo ila sasa washirikiana bila hiyana .
Vijana wa sasa hwarithi ugomvi wa kikabila ...Yaani kama hivyo hata wewe ungekuwa kwenu porini huko hata mswaki hampigi ...
Point yako ni useless , phd ya mchongo ...
Hoja dhaifu l
Hoja dhaifu 🚮 sana na inaonyesha ni jinsi gan huko kichwani umejaza ujinga unaoitwa dini,hutaki kukubali kabisa kuwa ukristo na uislam sio imani za mwafrika
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuuNdiyo maana nimekuambia wewe ni zero ,kamuulize mkubwa wako ...Tanzania kuna makabila mangapi ? kila kabila lina mfumo wao ..chini ya dini leo kuna ndoa ya mnyakyusa na mchaga , huko nyuma hakujakuwa na kitu kama hicho ...Huu ustaarabu kabla ya wakoloni kila mtu ilikuwa anaishi kwao .
Huwezi kuleta maana kweny hoja yako kwa sababu unaweza kushikwa hata na mtoto mdogo , kabla ya ustaarabu huu ilikuwa makabila tofauti hakuna ndoa hapo wala kuishi pamoja , rejea jamii za wafugaji na wakulima mpaka leo ...Hao wachaga na wapare ilikuwa hawawezi kukaa sehemu moja ...Wachaga wa sehemu tofauti ilikuwa ngoma haziivi ; Mrombo na mkiboshi ni watu tofauti miaka hiyo ila sasa washirikiana bila hiyana .
Vijana wa sasa hwarithi ugomvi wa kikabila ...Yaani kama hivyo hata wewe ungekuwa kwenu porini huko hata mswaki hampigi ...
Point yako ni useless , phd ya mchongo ...
Huna akili hata kidogo🚮,hizo kwenye biblia si hadithi tuu hazina uhalisia wowotendiyo! imeandikwa hata kwenye Biblia, nendeni Duniani kote mkaitangaze injili kwa kila kiumbe … Mk 16:15
Wewe ni mtupu kichwani hamna kitu,nyie ndio watumwa wenyewe sasa,eti dini imekuja kutufanya tuwe wamoja?!,mkristo na muislam wanaelewana?,wewe muafrika muislam upo tayar kumbagua ndugu yako mkristo na kujinasibisha na muarabu kisa dini tuu
Huna akili hata kidogo🚮,hizo kwenye biblia si hadithi tuu hazina uhalisia wowote
Mtumwa uliekataa asili yako na kujiona ni mwerevu kwa kufuata asili ya jamii nyingine🚮hakuna binadamu anayemiliki imani, kila culture ililetewa dini ni swala la muda tu, isitoshe watu sampuli yako ndiyo adui wakubwa wa waafrika kwani mnawadanganya waendelee kubakia na mila na jadi zisizoleta maendeleo yoyote yale ( hakuna proof kwamba tulikuwa mbele kimaendeleo kabla ya Ukristo ) huku ninyi kwenye maisha yenu binafsi na familia zenu mnaiga na kufwata western way of life, mnawadanganya wamasai wabakie kuvaa shuka na kuruka ruka wakati ninyi mnavaa full tuxedo na kila aina ya designer clothes kabatini …