Uteketezaji huu wa vifaranga ni unyama uliopitiliza

Hiki kitu kinatakiwa kiwekewe utaratibu na Serikali; na kama utaratibu upo basi unahitji kuwa revised. Ni kitu kibaya sana hiki
 
Si wangeweza hata kuchukua ption ya kuwagawia watu wengine sehemu mbali mbali za nchi ambako kuna masoko? Naamini wapo wazalishaji wengine ambao uzalishaji wao umelegalega, wengeweza kuwatangazia wakaja wakachukua vifaranga hao. Mimi kwa kweli kwa watu ambao priority yao kubwa ni pesa tu huwa sipati muda wa kuwaelewa. Unachomaje moto chakula wakati wapo majirani walio na njaa?
 
HIVI HAO VIFARANGA WANAOTENGENEZWA MAABARA BILA BABA NAO NI VIUMBE HAI???
 
Tanzania ni nchi yenye walalamikaji sana. Nimeshangaa kuona watu wengi kiasi hiki hawajui ugumu wa kufuga kuku wa kisasa hawa, mtu anadai eti wangevigawa kwa vituo vya kulea wazee wavifuge. Mtu huyo huyo ukimpa 1000 na milioni 2 ukamwambia afuge trust me hatoboi. Hao wazalishaji sio wajinga kama mnavyofikiria, ni kama nyanya tu zisipouzika unafanyaje
 
Nilifuga wangu wakapata ugonjwa sijui unaitwa Coccidiosis nilichanganyikiwa ...

Wanakufa kama hawana akili, nililia na nikakata tamaa ya kufuga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly [emoji817]...
Aisee kiukweli watu wana roho mbaya sana...
Si bora utoe bure..huu ni ushetani mkubwa sana..
GMO products itakuwa zina sumu hii geresha ya kukosa soko siwezi kuiamini.
 
Wale ni viumbe hai kama wewe tu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwahio wabaki hai alafu wafe kwa njaa ?

Nipe best alternative ambayo haita-involve mwenye kiwanda kufirisika na kuwa omba omba...
 
hapo pana utata inawezekana hata wao hawajapenda ila mazingira yalikuwa ni limited kwao! Maana ilikuwa inatakiwa kuvilisha na kuvitibu kila siku, so kuliko kubiacha vife na njaa wameona bora vichomwe tu
Wangewatoa bure...huu ni umagufuli mwingine
 
Nilishawahi kuvinunua 4 kwa ajili ya mwanangu pale tazara nikavitafutia box na chakula starter,chanjo mbona walikua wakubwa na nikawachanganya na wa kienyeji waliishi na kukua kabisa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣
 
yani aise ngozi nyeusii ni takatakaaaaaa....yani laaan kabisaa
 
Upuuzi ni pale tunaporuhusu nchi jirani kuingiza vifaranga wakati wafugaji wetu wa ndani wanazalisha na kutosheleza mahitaji
 
BTW wenzetu wa ulaya na marekani wanajadiliana ethics za hizi culling..wengine wakidai umri sahihi wa culling na wengine wakiadai technology bora ya kufanya na pia economic alternatives za kuacha au kufanya culling. sie bado naona tupo kizani sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…