Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Inasikitisha sana. Kuna mtu alisema haya mauaji ya viumbe hai sio bure ni makafaraHata mie sijaelewa,nilikuwa nataka kuagiza vifaranga toka Iringa kuja hapa nilipo nikaambiwa kifanga kimoja ni 2500 na usafiri ni juu yangu.Nilikuwa ndo natafuta pesa hapa niagize.Du ningejua kn vya bei nafuu hapo Moshi ningechangamkia fursa make moshi na hapa nilipo ni karibu.Je walitangaza wapi mpk watanzania tushindwe hiyo bei wakaona soln ni kuchoma?Sijapenda,nashauri serikali iwachukulie hatua kwa ukatili dhid ya hao ndege
Siyo hatua tu bali hatua kali na harakaHata mie sijaelewa,nilikuwa nataka kuagiza vifaranga toka Iringa kuja hapa nilipo nikaambiwa kifanga kimoja ni 2500 na usafiri ni juu yangu.Nilikuwa ...
Wanadhani broilers ni kama kuku wa kienyeji! Kwamba utawafungia kisha asubuhi utawafungulia wakajitafutie chakula wenyewe[emoji23]Utawalisha nini? Madawa, huduma utawapa ww?
Inaonekana kwamba kuna Ombwe la Elimu.Mkuu ukiangalia njia za kuvigawa bure zilikuwa nyingi sana, ni kama vile waliingiwa na choyo tu kuzifuata na ndiyo maana nasema sasa si bora wangewalisha samaki tu kuliko kuviua kwa kuvichoma moto
Na ataumbuka sanaHahahahaha nadhani Rais Samia atakuwa keshapata sasa ile habari yake ya kuwaonea huruma vifaranga wanaochomwa moto. Hapo wazee wa kazi wamemuonesha kuwa yeye hajui anajua na kuvichoma vile vifaranga yalikuwa maelekezo ya hao hao wanaomlinda usiku na mchana. Ni funzo aheshimu mamlaka maana urais siyo mtu ni taasisi wakitoa maelekezo yanakuwa siyo ya rais bali ni ya taasisi maana yeye anajifanya kupinga wakati watu wamo humo humo. Ila hii dunia haiachagi kuumbua binaadamu. Pole sana Rais Dkt Samia sijui hiyo kauli yake ya kuwahurumia hao vifaranga wa bebapari Kenyata ataendelea kuwalilia.
Nikikupa hao vifaranga watajifia wanahitaji huduma ya hali ya juu mno. Usifikiri hao ni kama kuku wa kienyeji ndugu.Si bora angevigawa bure kwa watu wengine?
Wafuasi wa bi tozo na wakosoaji wa Magufuli wanazidi kuumbukaZaidi ya vifaranga 50,000 vimechomwa moto na mwekezaji mkoani Kilimanjaro baada ya Kukosa soko
Afisa mifugo wa Wilaya bi Swai amesema Serikali ilitoa kibali cha uchomaji na kanuni zote zimefuatwa
Chadema ambao ndio chama maarufu pale Moshi hadi sasa hawajaongea chochote wala kukemea kama walivyofanya vilipochomwa vifaranga vigonjwa kutoka Kenya
Habari hii imeripotiwa Katika Taarifa ya Habari ya ITV
Kwanza naomba niseme hao siyo vifaranga original walioumbwa na Mungu or Allah, hao ni matokeo ya utundubwa mwanaadam.
Pili wangekuwa Og ambao wangeweza kujilisha wenyewe nadhani hata staff wa kiwanda wangebeba na kwenda kuwamwaga kwenye cage sababu wanatafuta na kufukua chakula popote.
Pamoja na yote kuku wa machine hana haki wala sheria ya kumlinda, kuku gani ukimuweka stendi ya daladala aondoki wala ageuki!.
Watu badala ya kuilaumu serikali wanailaumu kampuni
Chadema ni wahuni kama sa1000 viwanda vyote vya kuku huwa vinChoma moto sana vifaranga.....Sasa ngoja tusikie huyu juwa alivye ponda kuchomwa kwa vifaranga wakati wa jpm. Sasa vifaranga elfu 50 vimechomwa....SAMIA MTU MBAYA SANA KACHOMA VIFARANGA ELFU 50
Sa100 ni dictator kabisa yani kachoma vifaranga elfu 50 huu uamuzi ni wakipumbavu kabisa.Roho imeniuma sana kuona kiumbe hai kinachoma moto!
Kwani hakuna njia nyingine isiyokua ya mateso zaidi ya kuwachoma moto? Kwanini japo wasinge wagawa bure?