Utendaji kazi uliotukuka wa Rais Samia umedhoofisha upinzani Tanzania

Utendaji kazi uliotukuka wa Rais Samia umedhoofisha upinzani Tanzania

Lazima uliangalie kwa jicho la kipekeee kundi kubwa la wakulima wadogo wadogo ambao nao unapaswa uwasaidie kuwainuib,kwa kuhakikisha kuwa pembejeo za kilimo hasa mbolea zinapatikana kwa Bei nzuri

Ndio maana Sasa unaona serikali ikifanya juhudi za kulikwamua kundi hili huku pia ikiweka mikakati ya kibajeti

Katika kilimo Cha umwagiliaji, Nazani uliona katika bajeti ya kilimo kuwa serikali inataka kutenga maeneo kwa ajiri ya shughuli hiyo

Serikali yetu imedhamilia kuona kilimo kinakuwa Ni biashara itakayo mnufaisha mkulima, uchumi mzuri Ni ule unaogusa maisha ya waliowengi, Na kilimo ndio secta iliyobeba watu wengi, Hivyo kwa kuigusa na kuinua inakuwa umegusa na kuinua maisha ya watanzania walio wengi
Jamaa unamajibu ya kiserikali mno! ebu tumia akili kidogo hapa tunakwambia hilo ulilokuwa nalo sio jibu pekee, fikiria wengine wanafanyaje katika kutatua changamoto. Majibu matamu ya serikali yanachelewesha kuwa open minded haPA upate mawazo mbadala.
Tunataka mikakati isiyokuwa ya kibajet, tunakwambia huku kwetu maeneo ya kulima ni makubwa ila ni sehemu ndogo tu watu ndio wanaweza kuyalima, huko nyuma sababu ilikuwa soko na post harvest handling. kama maghala yapo watu wahamasishwe na kulima zaidi ya walivyolima msimu uliopita. Pembejeo hapa isiwe mbolea tu tuzungumzie tunalima kwa majembe au tunaengage wadau waweke tractors serikali ni guarantees tu inatosha.
Serikali wala isitenge maenea mapya tutafute productivity kwa haya tuliyonayo. Access ya mbegu bora, ni kufacilitate suppliers wafike mpaka grass roots, serikali ijifunze kwa mabodi ya tumbaku.
Serikali inazungumzia Macro wewe sasa zungumzia Micro, nyie wasemaji wa serikali mmekuwa wengi mno, badilikeni kuwasemea wananchi ili tabu zao ndio ziwe fursa kwa serikali. sasa kama mtang'ang'ana kusifia serikali tu basi wengi wataendelea kuwa maskini. ndio mana tunataka upinzani na setor binafsi zaidi.
 
Jamaa unamajibu ya kiserikali mno! ebu tumia akili kidogo hapa tunakwambia hilo ulilokuwa nalo sio jibu pekee, fikiria wengine wanafanyaje katika kutatua changamoto. Majibu matamu ya serikali yanachelewesha kuwa open minded haPA upate mawazo mbadala.
Tunataka mikakati isiyokuwa ya kibajet, tunakwambia huku kwetu maeneo ya kulima ni makubwa ila ni sehemu ndogo tu watu ndio wanaweza kuyalima, huko nyuma sababu ilikuwa soko na post harvest handling. kama maghala yapo watu wahamasishwe na kulima zaidi ya walivyolima msimu uliopita. Pembejeo hapa isiwe mbolea tu tuzungumzie tunalima kwa majembe au tunaengage wadau waweke tractors serikali ni guarantees tu inatosha.
Serikali wala isitenge maenea mapya tutafute productivity kwa haya tuliyonayo. Access ya mbegu bora, ni kufacilitate suppliers wafike mpaka grass roots, serikali ijifunze kwa mabodi ya tumbaku.
Serikali inazungumzia Macro wewe sasa zungumzia Micro, nyie wasemaji wa serikali mmekuwa wengi mno, badilikeni kuwasemea wananchi ili tabu zao ndio ziwe fursa kwa serikali. sasa kama mtang'ang'ana kusifia serikali tu basi wengi wataendelea kuwa maskini. ndio mana tunataka upinzani na setor binafsi zaidi.
Ndio Kazi ambazo Rais Samia na Waziri wa Kilimo wanazifanyia Kazi..

Kwani hujui kwamba soko la soya limefunguliwa China? Hujui kwamba China imetoa clearance ya Kampuni za Tanzania 52 ku export mazao mbalimbali zikiwemo nyama?

Usipofuatilia hutojua kitu..Safari yetu ya Ajenda 1030 inatakiwa kitufikisha hapa come 2025👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220810-220410.png
    Screenshot_20220810-220410.png
    161.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220810-220528.png
    Screenshot_20220810-220528.png
    38.3 KB · Views: 6
Ndio Kazi ambazo Rais Samia na Waziri wa Kilimo wanazifanyia Kazi..

Kwani hujui kwamba soko la soya limefunguliwa China? Hujui kwamba China imetoa clearance ya Kampuni za Tanzania 52 ku export mazao mbalimbali zikiwemo nyama?

Usipofuatilia hutojua kitu..Safari yetu ya Ajenda 1030 inatakiwa kitufikisha hapa come 2025👇
Soya upeleke china wakati tunatumia soya nyingi kutoka Malawi na Zambia, soya inayozalishwa haitoshi, epuka taarifa za kusaign mikataba na kufungulia makongamano. wenzio tuko site. Soya tunaagiza kutoka zambia na malawi. Ebu acheni hizi politike na kudanganya watu, safari ya ajenda 1030 ilianza na kilimo kwanza sie tunataka urudi kuyatumia ya kilimo kwanza 1030 bado kidogo mno bado mnambwela.
Sasa wewe unalipwa humu kuandika propaganda, sema ukweli tunufaike wote
 
Jamaa unamajibu ya kiserikali mno! ebu tumia akili kidogo hapa tunakwambia hilo ulilokuwa nalo sio jibu pekee, fikiria wengine wanafanyaje katika kutatua changamoto. Majibu matamu ya serikali yanachelewesha kuwa open minded haPA upate mawazo mbadala.
Tunataka mikakati isiyokuwa ya kibajet, tunakwambia huku kwetu maeneo ya kulima ni makubwa ila ni sehemu ndogo tu watu ndio wanaweza kuyalima, huko nyuma sababu ilikuwa soko na post harvest handling. kama maghala yapo watu wahamasishwe na kulima zaidi ya walivyolima msimu uliopita. Pembejeo hapa isiwe mbolea tu tuzungumzie tunalima kwa majembe au tunaengage wadau waweke tractors serikali ni guarantees tu inatosha.
Serikali wala isitenge maenea mapya tutafute productivity kwa haya tuliyonayo. Access ya mbegu bora, ni kufacilitate suppliers wafike mpaka grass roots, serikali ijifunze kwa mabodi ya tumbaku.
Serikali inazungumzia Macro wewe sasa zungumzia Micro, nyie wasemaji wa serikali mmekuwa wengi mno, badilikeni kuwasemea wananchi ili tabu zao ndio ziwe fursa kwa serikali. sasa kama mtang'ang'ana kusifia serikali tu basi wengi wataendelea kuwa maskini. ndio mana tunataka upinzani na setor binafsi zaidi.

This is how is happening 👇
Hakika mama yupo kazini hapoi Wala hapumziki, Anahitaji kuona kazi inafanyika na matokeo Bora yanapatikana kwa manufaa ya watanzania
 
Hakika mama yupo kazini hapoi Wala hapumziki, Anahitaji kuona kazi inafanyika na matokeo Bora yanapatikana kwa manufaa ya watanzania
Hii ataipata vizuri kama mtampa na dawa chungu pia, hatujawakatalia ila tunawaambia nyie mataga na changamoto pia mziseme na muwaache wengine wanaona tofauti nao waseme. Mmetughalimu sana wakati wa jiwe sasa mama nae aone tofauti akiyarekebisha sasa atafanikiwa sana.
 
Hii ataipata vizuri kama mtampa na dawa chungu pia, hatujawakatalia ila tunawaambia nyie mataga na changamoto pia mziseme na muwaache wengine wanaona tofauti nao waseme. Mmetughalimu sana wakati wa jiwe sasa mama nae aone tofauti akiyarekebisha sasa atafanikiwa sana.
Changamoto zinaendelea kutafutiwa ufumbuzi mkuu, Ndio maana unaona mawaziri wakiongozwa na mh Rais wapo bize kushughulikia na kutoa majibu kwa Kero za wananchi

Ndio maana unaona Rais yupo huku makamu wa Rais pale Waziri mkuu kule mawaziri huku na huko, huku wote ajenda ikiwa Ni kuwatumikia wananchi kwa kufika katika maeneo yao

Nawakiondoka huko site wanaacha maagizo kwa ma RC,RAS,DC,DAS Na ma DED, na wanajuwa wanafuatilia utekelezaji wa maagizo yao, kwa ufupi Ni kuwa mama na Serikali yake yupo kazini muda wote
 
Soya upeleke china wakati tunatumia soya nyingi kutoka Malawi na Zambia, soya inayozalishwa haitoshi, epuka taarifa za kusaign mikataba na kufungulia makongamano. wenzio tuko site. Soya tunaagiza kutoka zambia na malawi. Ebu acheni hizi politike na kudanganya watu, safari ya ajenda 1030 ilianza na kilimo kwanza sie tunataka urudi kuyatumia ya kilimo kwanza 1030 bado kidogo mno bado mnambwela.
Sasa wewe unalipwa humu kuandika propaganda, sema ukweli tunufaike wote
Endelea kubwabwaja ujinga utaishia hivyo hivyo..

Kinachoamua wapi zao liende ni Bei ya zao husika..

Kwa taarifa yako ,Wachina wanalima soya ya exports zaidi ya hekta laki 200 kule Chunya na Songwe..

Kaa usichangamkie fursa subiria utaletewa nyumbani kwako, endelea kuita propaganda.
 
Endelea kubwabwaja ujinga utaishia hivyo hivyo..

Kinachoamua wapi zao liende ni Bei ya zao husika..

Kwa taarifa yako ,Wachina wanalima soya ya exports zaidi ya hekta laki 200 kule Chunya na Songwe..

Kaa usichangamkie fursa subiria utaletewa nyumbani kwako, endelea kuita propaganda.
Soya inatoka zambia na Malawi unafikiri ni uwongo, inayozalishwa haitoshi we umri huu nani anamletea mwenzie???
 
Hapana mkuu kwani Sera za upinzani kwa Sasa Ni zipi zinazogusa maisha yao ya kila siku, unajuwa mwananchi atakuunga mkono na hata kujitolea muda wake atakapoona ajenda ulizobeba zinamgusa,

Lakini mwananchi akikosa sababu ya kuweza kumshawishi hawezi kukuunga mkono zaidi ya Kuendelea na Yule aliyopo, kwa Sasa CCM Ni tumaini la watanzania na bado Wana Imani nayo na ndio maaana wanaendelea kuiunga mkono

Si umeona hata uwanja wa mkapa picha ya mama ilikuwa inapepea bila shida
Sawa Mwanaccm mwenzangu.
Unaweza kunitajikiwanda kimoja tu ambacho chama chetu au serikali kilichojengwa na kinazalisha ktk hii miaka mitano.
Kwani unavyokuja na hoja na sisi kama chama tawala tuwe na pa kujibanza sio kuja kuja za kuamsha watu ili wapate hoja za kuhoji ndani ya chama na serikali kwani tutazidi kuonyesha udhaifu wa chama.
Ndo maana Mzee wetu Msuya ametuasa kwani tujijue tuko wapi kisiasa.
Asante
 
Ndugu zangu Kuna kipindi fulani ilikuwa ukisikia kuwa kesho katibu mkuu wa Chadema Mh. Dr Slaa atakuwa na mazungumzo muda fulani, ni kama nchi ilikuwa inasimama. Vyombo vyote vya habari vilikuwa vinafika hata kabla ya muda husika, kila mtanzania alikuwa anatega sikio kusikia nini kitakacho zungumzwa.

Kila Kona ya nchi ilikuwa inakuwa ni gumzo lisilo pimika, ilikuwa ni kana kwamba Rais wa marekani anakuja kutolea tamko Tanzania juu ya kuuwawa kwa Osama bin laden. Watu walikuwa hawatulii walipokaa, wasio na TV walikwenda hata vibanda umiza kuchungulia ilimradi tu asijesubili kusimuliwa.

Hoja nzito nzito zilishushwa huku zikinogeshwa na vijana wa Redbriged waliokuwa wanakaa nyuma ya viongozi wao. Sisi vijana wa CCM wakati mwingine tulikuwa hatuelewi tutajibu nini juu ya nondo zinazokuwa zimeshushwa, hivyo tulibaki tukirusha rusha miguu wakati tukisubili akina Mh. Nape walete silaha za hoja kujibu vijana wenzetu wa upinzani huku site.

Hata mikutano tu ilikuwa ukisikia Dr slaa anakuja Mbeya mjini kwenye uwanja wa Rwanda Nzovwe maarufu kama CCM, jiji lote lilikuwa linasimama, shughuli zote zilikuwa zinasimama. Mimi nilikuwa nikitoka shule Sekondari ya Ivumwe, nilikuwa hata sipiki chakula zaidi ya kwenda mkutanoni ili nijuwe wanasema nini hawa watani zangu.

Alikuwa akija anapokelewa kama Rais wa nchi, shangwe kubwa hata uwe mwanjelwa unasikia. Ilikuwa ni Kama nchi inakwenda kupinduliwa kwa maandano. Ilikuwa ni kama wananchi wote wapo upinzani japo wa CCM tuliogopa hata kuvaa sare kuepuka kupigwa. Ilikuwa ukisikia "PIPOZ" watu walikuwa wanaitikia utazan wanataka kulia jinsi walivyo na hasira!

CCM fundiii bwana, CCM chama kubwa, CCM Ina mbinu hadi za reserve, CCM ndio chama kiongozi, CCM ndio mkombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, CCM ndio chama Cha Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Unajua nini kilifanyika upinzani wakapewa Mh. nguli wa mikakati ya kisiasa Mh. Edward Lowasa waliyemtukana kwa miaka takribani nane kuwa ni fisadi? Ilikuwa ni kwa ajili ya kumsafisha na kumpaka mafuta hadi apendeze.

Hapo ndioo tukaanza kuona mvurugano ndani kwa ndani. Mara Dr slaa akatimka kwa kusema hawezi kazi hiyo, mara Mnyika akazira, mara sijui Mh Sanaa havai makombati yao, Mara huku Askofu Gwajima akasema alikuwa mshenga, mara sijuw nini yaani ikawa furu michanganyo.

Baada ya hapo akaingia Dr John Pombe Magufuli kama Rais wa nchi. Aliwakaba hadi vivuli vyao wakawa wanavikimbia. Hapo ndio ikajulikana pia nani ni mpinzani na nani ni mpinzani njaa. watu waliunga mkono juhudi kama hawana akili nzuri.

Baada ya hapo ndio akaja mama yetu kipenzi cha watanzania, mzalendo wa kweli, mwenye maneno ya upendo na faraja, mwenye tbasamu la upendo na ukarimu, aliyejaa hekima na busara katika kifua chake, mwenye moyo wa huruma na upendo akaanza kusuka serikali yake hatua kwa hatua. Watu wakaanza kushituka maana hawakutegemea jinsi anavyoendesha nchi kwa weledi na utumishi uliotukuka.

Hapa ndio ikawa mwisho na hitimisho la upinzani hapa nchini, kwa sasa hakuna mwananchi atakuelewa juu ya upinzani. Kwa sasa wananchi wapo na mama, kwa sababu mama yetu amewafanya watu wawe na iman naye. Anaendesha nchi kwa uwazi na kwa kuzingatia misingi ya sheria na utawala bora.

Utawaambia nini wakulima juu ya mama Samia wakati wanaona juhudi za mama katika kilimo hasa baada ya kutoa ruzuku kwenye Wizara ya Kilimo takilibani billion mia hamsini na kumkabidhi kijana wake Mh. Hussein Bashe ili asimamie? Utawaambia nini wananchi wakati wanaona mama sasa ameweka elimu bure hadi kidato cha sita? Utawambia nini watu wakati wanaona vyumba vya madarasa, vituo vya afya, zahanati na maji vikisambazwa kila kona ya nchi?

Hakuna anayeweza kukuelewa ukimsema vibaya mama yetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassani kwa utendaji wake bora wa kazi. Huku Songwe ni mama anaupiga mwingi na wala huwaambii na wakakuelewa habari za upinzani.

Nakupenda CCM na nitaendelea kuwa mwana CCM. Hapa ni Tanzania na siyo Kenya, hata tuwape upinzani wasimamie uchaguzi bado CCM itashinda tu. CCM ndio tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo. Upinzaani asante sana kwa kumuunga mkono mama yetu na msisite kushirikiana zaidi na zaidi na mama yetu kuijenga nchi yetu maana upinzani siyo uadui.

Kazi iendelee, sote tumuunge mkono Rais wetu mpendwa mama Samia Suluhu Hassani katika kuijenga Tanzania mpya.​
Sifa ni kwake eeh Yesu kristu. Uliotukuka 😂😂😂 au basi huu uzi wako ndo umenifanya nikujue n mtu wa namn gan
 
Kazi ya serikali siyo kujenga viwanda Bali Ni kuweka mazingira mazuri yatakayo vutia wawekezaji watakao Jenga viwanda hapa nchini na kutoa ajira kwa watanzania

Ukitaka kujuwa wawekezaji wangapi wamewekeza katika viwanda hapa nchini embu fuatilia taarifa za TIC,
Sawa Mwanaccm mwenzangu.
Unaweza kunitajikiwanda kimoja tu ambacho chama chetu au serikali kilichojengwa na kinazalisha ktk hii miaka mitano.
Kwani unavyokuja na hoja na sisi kama chama tawala tuwe na pa kujibanza sio kuja kuja za kuamsha watu ili wapate hoja za kuhoji ndani ya chama na serikali kwani tutazidi kuonyesha udhaifu wa chama.
Ndo maana Mzee wetu Msuya ametuasa kwani tujijue tuko wapi kisiasa.
Asante
Siyo
 
Mijizi ya kura bana, yaani umejiunga hapa jukwaani mwezi uliopita, ili kuleta propaganda ukidhani ndio utaokota watu vibaya sana.
Ukiandaliwa uchaguzi huru Kama Kenya, yaani Polisi wasionekane kwenye vituo vya kupigia kura, mawakala wasizuiliwe, majina ya wagombea yasikatwe, kura zihesabiwe hadharani huku zilipigwa picha.....loo, mbona CCM mapema tu asubuhi hawapo.
 
Ukiandaliwa uchaguzi huru Kama Kenya, yaani Polisi wasionekane kwenye vituo vya kupigia kura, mawakala wasizuiliwe, majina ya wagombea yasikatwe, kura zihesabiwe hadharani huku zilipigwa picha.....loo, mbona CCM mapema tu asubuhi hawapo.
Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kwa Sasa hapa Tanzania kisera hata kiajenda,
 
Ndugu zangu Kuna kipindi fulani ilikuwa ukisikia kuwa kesho katibu mkuu wa Chadema Mh. Dr Slaa atakuwa na mazungumzo muda fulani, ni kama nchi ilikuwa inasimama. Vyombo vyote vya habari vilikuwa vinafika hata kabla ya muda husika, kila mtanzania alikuwa anatega sikio kusikia nini kitakacho zungumzwa.

Kila Kona ya nchi ilikuwa inakuwa ni gumzo lisilo pimika, ilikuwa ni kana kwamba Rais wa marekani anakuja kutolea tamko Tanzania juu ya kuuwawa kwa Osama bin laden. Watu walikuwa hawatulii walipokaa, wasio na TV walikwenda hata vibanda umiza kuchungulia ilimradi tu asijesubili kusimuliwa.

Hoja nzito nzito zilishushwa huku zikinogeshwa na vijana wa Redbriged waliokuwa wanakaa nyuma ya viongozi wao. Sisi vijana wa CCM wakati mwingine tulikuwa hatuelewi tutajibu nini juu ya nondo zinazokuwa zimeshushwa, hivyo tulibaki tukirusha rusha miguu wakati tukisubili akina Mh. Nape walete silaha za hoja kujibu vijana wenzetu wa upinzani huku site.

Hata mikutano tu ilikuwa ukisikia Dr slaa anakuja Mbeya mjini kwenye uwanja wa Rwanda Nzovwe maarufu kama CCM, jiji lote lilikuwa linasimama, shughuli zote zilikuwa zinasimama. Mimi nilikuwa nikitoka shule Sekondari ya Ivumwe, nilikuwa hata sipiki chakula zaidi ya kwenda mkutanoni ili nijuwe wanasema nini hawa watani zangu.

Alikuwa akija anapokelewa kama Rais wa nchi, shangwe kubwa hata uwe mwanjelwa unasikia. Ilikuwa ni Kama nchi inakwenda kupinduliwa kwa maandano. Ilikuwa ni kama wananchi wote wapo upinzani japo wa CCM tuliogopa hata kuvaa sare kuepuka kupigwa. Ilikuwa ukisikia "PIPOZ" watu walikuwa wanaitikia utazan wanataka kulia jinsi walivyo na hasira!

CCM fundiii bwana, CCM chama kubwa, CCM Ina mbinu hadi za reserve, CCM ndio chama kiongozi, CCM ndio mkombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, CCM ndio chama Cha Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Unajua nini kilifanyika upinzani wakapewa Mh. nguli wa mikakati ya kisiasa Mh. Edward Lowasa waliyemtukana kwa miaka takribani nane kuwa ni fisadi? Ilikuwa ni kwa ajili ya kumsafisha na kumpaka mafuta hadi apendeze.

Hapo ndioo tukaanza kuona mvurugano ndani kwa ndani. Mara Dr slaa akatimka kwa kusema hawezi kazi hiyo, mara Mnyika akazira, mara sijui Mh Sanaa havai makombati yao, Mara huku Askofu Gwajima akasema alikuwa mshenga, mara sijuw nini yaani ikawa furu michanganyo.

Baada ya hapo akaingia Dr John Pombe Magufuli kama Rais wa nchi. Aliwakaba hadi vivuli vyao wakawa wanavikimbia. Hapo ndio ikajulikana pia nani ni mpinzani na nani ni mpinzani njaa. watu waliunga mkono juhudi kama hawana akili nzuri.

Baada ya hapo ndio akaja mama yetu kipenzi cha watanzania, mzalendo wa kweli, mwenye maneno ya upendo na faraja, mwenye tbasamu la upendo na ukarimu, aliyejaa hekima na busara katika kifua chake, mwenye moyo wa huruma na upendo akaanza kusuka serikali yake hatua kwa hatua. Watu wakaanza kushituka maana hawakutegemea jinsi anavyoendesha nchi kwa weledi na utumishi uliotukuka.

Hapa ndio ikawa mwisho na hitimisho la upinzani hapa nchini, kwa sasa hakuna mwananchi atakuelewa juu ya upinzani. Kwa sasa wananchi wapo na mama, kwa sababu mama yetu amewafanya watu wawe na iman naye. Anaendesha nchi kwa uwazi na kwa kuzingatia misingi ya sheria na utawala bora.

Utawaambia nini wakulima juu ya mama Samia wakati wanaona juhudi za mama katika kilimo hasa baada ya kutoa ruzuku kwenye Wizara ya Kilimo takilibani billion mia hamsini na kumkabidhi kijana wake Mh. Hussein Bashe ili asimamie? Utawaambia nini wananchi wakati wanaona mama sasa ameweka elimu bure hadi kidato cha sita? Utawambia nini watu wakati wanaona vyumba vya madarasa, vituo vya afya, zahanati na maji vikisambazwa kila kona ya nchi?

Hakuna anayeweza kukuelewa ukimsema vibaya mama yetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassani kwa utendaji wake bora wa kazi. Huku Songwe ni mama anaupiga mwingi na wala huwaambii na wakakuelewa habari za upinzani.

Nakupenda CCM na nitaendelea kuwa mwana CCM. Hapa ni Tanzania na siyo Kenya, hata tuwape upinzani wasimamie uchaguzi bado CCM itashinda tu. CCM ndio tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo. Upinzaani asante sana kwa kumuunga mkono mama yetu na msisite kushirikiana zaidi na zaidi na mama yetu kuijenga nchi yetu maana upinzani siyo uadui.

Kazi iendelee, sote tumuunge mkono Rais wetu mpendwa mama Samia Suluhu Hassani katika kuijenga Tanzania mpya.​
Stupidly sense you have said.
 
Back
Top Bottom