Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Majibu yanayotolewa na Tume kwa rufaa ya Mtumishi ukiangalia ni kama wameandaliwa na Mwajiri husika wao ni kusaini na kupiga mhuri tu. Kugundua hujuma hii iko wazi sana sema tu wamejipanga kiasi kwamba bahasha zinatembea kwa wahusika wote.
Sio kweli ukishindwa TUME unakata RUFAA kwa RAIS ukiona umeonewa unakata rufaa MAHAKAMA KUU.

wote wakuonee kwa lipi hasa ulilonalo?

Kama hufahamu UTARATIBU uliza na so kulalama
 
We KIlaza Subiri POsho tu huna unachowaambia watu waliodhulumiwa haki zao kwa taarifa yako Customer care yenu ingekua nzuri hata mngekua mnatoa majibu ya uongo wangeridhika, you dont have a single point kuwaaminisha waathirika huo utendaji wenu fake, nasema kwa ujumla nyie ni Crap, waambie waliokutuma kuna jamaa yuko ughaibuni huko hataki kabisa kuelewa TUME YA UTUMISHI WA UMMA NI JANGA KWA WATUMISHI TANZANIA. mara uwatukane badala ya kuwaelimisha , yaani nyie watu mliopata kazi kimagumashi mnashida sana , narudia tena wewe ni masikini tu kama watumishi wenzio period.
 
Majibu ya kinadharia tu uhalisia wa utendaji wa TUME ni aibu. Serikali ikiamua kuichunguza mengi sana na ya kustaajabisha yatagundulika. Kwa utendaji huo ni bora ivunjwe maana inatumia fedha za umma bila ufanisi na kuendekeza rushwa kwa kushirikia na Waajiri ili kudhulumu haki za wafanyakazi/watumishi.
 
Punguza MIHEMKO utaelewa nlichoandika

Vinginevyo we ndio unaonekana MPUUZI ndio maana UKAFUKUZWA KAZI mbona wenzako bado wapo kazini we una USPESHELI gani?

Nshakudharau kabisa
 
Fuatilia post za chini utaelewa

UTARATIBU
 
Hopeless kabisa Tume!!

Cha msingi ni kuwa ujumbe umefika kwa Mh. Rais, najua wewe unatetea ugali wako hapo Tume bila kujua kuwa na wewe ni mhanga mtarajiwa, na ndio maana tumesema kuwa hapo Tume wamejaa vilaza na corrupted staff to the maximum!
 
Sio kweli ukishindwa TUME unakata RUFAA kwa RAIS ukiona umeonewa unakata rufaa MAHAKAMA KUU.

wote wakuonee kwa lipi hasa ulilonalo?

Kama hufahamu UTARATIBU uliza na so kulalama
Hapa tunaongelea uozo wa TUME ambao uko wazi kabisa ukifuatiliwa. Kukata rufaa ni suala lingine. Kwa hiyo TUME wanakula rushwa kumhujumu mtumishi kwa kushirikiana na mwajiri ili Mtumishi akate rufaa kwa Rais? Kwa hiyo TUME ni uchochoro wa kupitia kukata rufaa?
 
Hopeless kabisa Tume!!

Cha msingi ni kuwa ujumbe umefika kwa Mh. Rais, najua wewe unatetea ugali wako hapo Tume bila kujua kuwa na wewe ni mhanga mtarajiwa, na ndio maana tumesema kuwa hapo Tume wamejaa vilaza na corrupted staff to the maximum!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pumbavu fata SHERIA ZA KAZI
ACHA UJINGA

KWANINI WAMEKUFUKUZA KAMA HUKUHARIBU SEHEMU[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Huko juu nimeeleza.vizuri sana juu ya CHECK AND BALANCE.

UKIAMUA KUBISHANA NAKUACHA
 
We ni boonge la kilaza ukishinda tufaa yako unakula mishahara yako toka umefukuzwa kazi.kwanza ukute hata ajira huna
Ulivyo mweupe kichwani unadhani mahitaji na matumizi yatasubiri ushinde rufaa yako? Chakula nyumbani, ada za shule, kodi ya pango nk yote haya yatasubiri ushinde rufaa yako?

Jipime mwenyewe ukilaza wako!
 
Fuatilia post za chini utaelewa

UTARATIBU
Suala si utaratibu bali ni uozo wa TUME imekidhiri kwa rushwa. Sijui hawalipwi mishahara hadi wana njaa kiasi hicho. Naamini serikali imepata ujumbe na itaimulika TUME hii inayoiabisha kwa rushwa.
 
Punguza MIHEMKO utaelewa nlichoandika

Vinginevyo we ndio unaonekana MPUUZI ndio maana UKAFUKUZWA KAZI mbona wenzako bado wapo kazini we una USPESHELI gani?

Nshakudharau kabisa
Mimi sijawahi kuajiriwa na vilaza wewe , hivi unaongozwa na watu wenye low IQ unajiona unajua , hujui kitu tulia wewe hoja ya msingi hamtakiwi kuendelea kuwepo Serikalini mfutwe tu hamna mnachofanya full stop, nitakupinga usiku na mchana TUME YENU MBOVU, utaratibu gani mpaka wenzenu wafe bila madai yao kushughulikiwa, unashupaza misuli bure kutetea UPUUZI ni sawa na Jitu lianze kutaka kuisafisha Tume ya UCHAGUZI litakua zuzu tu kama wewe
 
Sio kweli ukishindwa TUME unakata RUFAA kwa RAIS ukiona umeonewa unakata rufaa MAHAKAMA KUU.

wote wakuonee kwa lipi hasa ulilonalo?

Kama hufahamu UTARATIBU uliza na so kulalama
Angalia sasa, mnampa kazi bure Mh. Rais kwa utopolo wenu na ucheleweshaji wa bure wa haki ya Mtumishi....Shame on you!!
 
Huko juu nimeeleza.vizuri sana juu ya CHECK AND BALANCE.

UKIAMUA KUBISHANA NAKUACHA
Wewe unatetea ugali ila ukweli unaujua. Mawasiliano ya wajumbe wa TUME na waajiri yanafanyika na hupanga matokeo pamoja. Hiyo ni dhambi kabisa, endelea kujitetea ila mwisho wenu wa dhuluma unakuja.
 
Wewe unatetea ugali ila ukweli unaujua. Mawasiliano ya wajumbe wa TUME na waajiri yanafanyika na hupanga matokeo pamoja. Hiyo ni dhambi kabisa, endelea kujitetea ila mwisho wenu wa dhuluma unakuja.
Sikiliza mkuu nshaondoka huko miaka4 iliyopita napajua vema
 
Ulivyo mweupe kichwani unadhani mahitaji na matumizi yatasubiri ushinde rufaa yako? Chakula nyumbani, ada za shule, kodi ya pango nk yote haya yatasubiri ushinde rufaa yako?

Chipime mwenyewe ukilaza wako!
Mchakato nimekueleza

Ningekuwa "mweupe kichani" ningeshafukuzwa kazi ila bado nadunda

We uliye "mweusi" kichwani wamekula kichwa
 
Suala si utaratibu bali ni uozo wa TUME imekidhiri kwa rushwa. Sijui hawalipwi mishahara hadi wana njaa kiasi hicho. Naamini serikali imepata ujumbe na itaimulika TUME hii inayoiabisha kwa rushwa.
We ni pimbi sana rushwa utatoa kwa watu wangapi??

1.Ofisa
2.Idara
3.Mngmt Tume

Nani atakayepindisha haki yako

Process ndefu inahusisha watu wengi sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama hujawahi kuajiriwa UNALALAMA nini

Hata kama ikivunjwa waliopo hawapotezi kazi watahamishiwa sehemu nyingine.

Nimeamini wewe ni MPUUZI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…