Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Angalia sasa, mnampa kazi bure Mh. Rais kwa utopolo wenu na ucheleweshaji wa bure wa haki ya Mtumishi....Shame on you!!
Sio anapewa kazi ndio mchakato wa kupata haki ulivyo.

Na kwa taarifa yako waliowahi kushinda maamuzi ya TUME kwa RAIS na MAHAKAMA KUU hawafiki 2%

Hii inaonesha jinsi TUME ilivyo makini
 
Kumbe unaongelea usichokijua utendaji wake karibuni. Basi ndio ujue kwa sasa TUME ni uozo mtupu.
Hakuna kitu sikijui we lalama hapa.

Ungesoma sio unaajiriwa kwa vyeti vya wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ni pimbi sana rushwa utatoa kwa watu wangapi??

1.Ofisa
2.Idara
3.Mngmt Tume

Nani atakayepindisha haki yako

Process ndefu inahusisha watu wengi sana.
Hiyo approach yako na lugha isiyo ya staha inaonyesha rangi halisi za huko ulipo. TUME kwa sasa ni UOZO kwa rushwa na ndio maana inatakiwa imulikwe na mamlaka husika. Kama watendaji wenyewe ndio kama wewe ni dhairia shairi mmejichokea.
 
Hakuna kitu sikijui we lalama hapa.

Ungesoma sio unaajiriwa kwa vyeti vya wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana ndugu. Kama ndio wewe TUME wamekutuma uwatetea mbona unawaharibia zaidi?
 
Hiyo approach yako na lugha isiyo ya staha inaonyesha rangi halisi za huko ulipo. TUME kwa sasa ni UOZO kwa rushwa na ndio maana inatakiwa imulikwe na mamlaka husika. Kama watendaji wenyewe ndio kama wewe ni dhairia shairi mmejichokea.
Umewahi kutoa rushwa?? Kwanini usimshikishe pesa za TAKUKURU?
 
Mchakato nimekueleza

Ningekuwa "mweupe kichani" ningeshafukuzwa kazi ila bado nadunda

We uliye "mweusi" kichwani wamekula kichwa
Ni bahati tu kama uko kwenye ajira ila inaonekana huna kitu kichwani kutokana kuongelea usichokijua. Muda wako hauko mbali wtakugundua tu. Walifukuzwa wengi hawana wa kuwalinda kama unavyolindwa wewe pamoja na uwezo wako mdogo.
 
Ni bahati tu kama uko kwenye ajira ila inaonekana huna kitu kichwani kutokana kuongelea usichokijua. Muda wako hauko mbali wtakugundua tu. Walifukuzwa wengi hawana wa kuwalinda kama unavyolindwa wewe pamoja na uwezo wako mdogo.
Kwanini unahisi hawana wa kuwalinda ili hali wanakata rufaa kwa RAIS wasiporidhika wanakata rufaa MAHAKAMA KUU?
 
Umewahi kutoa rushwa?? Kwanini usimshikishe pesa za TAKUKURU?
Hayo maswali yataulizwa na serikali ikiwamulika TUME iliyooza kwa rushwa. Wewe unauliza kama nani wakati umeshaonyesha upande unaoutetea.
 
Hili liutopolo kabisa ndio limejibu nini?
 
Kwanini unahisi hawana wa kuwalinda ili hali wanakata rufaa kwa RAIS wasiporidhika wanakata rufaa MAHAKAMA KUU?
Hapa tuchoongelea ni UDHAIFU wa TUME. Ingefanya kazi yake vema ingempunguzia kazi Mh Rais na Mahakama. Sasa kama TUME ni uchochoro wa kupitia ili uendelee mbele wa kazi gani?
 
Hapa tuchoongelea ni UDHAIFU wa TUME. Ingefanya kazi yake vema ingempunguzia kazi Mh Rais na Mahakama. Sasa kama TUME ni uchochoro wa kupitia ili uendelee mbele wa kazi gani?
Ndio.maana nikakuambia only 2% ya mashauri ya Tume yamewahi kubatilishwa.


Hata mahakamani kuna mahakama kuu ya rufaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…