Time ya UchaguziNi tume gani hapa Tanzania inayotimiza majukumu yake vyema,kwa haraka, bila upendeleo na kwa weledi!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time ya UchaguziNi tume gani hapa Tanzania inayotimiza majukumu yake vyema,kwa haraka, bila upendeleo na kwa weledi!!??
😆😆😆😆😆 hivi John Mbiso ndie alietoa tangazo kwenye uzi huu hapo mwanzo kuwa Tume ina staff 35 workload ni kubwa ndio maana rufaa za watumishi zinachelewa😆😆😆Huyo Muhoji ameshastaafu so aliyoyafanya ameshayafanya. Naibu katibu sasa hivi ni John Mbisso, tumamuomba Mh Raisi aangalie utendaji wake je atayapeleka mashauri kawa speed na weledi? akiona yupo vizuri amdhibitishe ktk cheo. La kama viatu vitampwaya Raisi please please mama yetu tafuta mtu mwingine mwenye sifa, mama Tanzania ina watu 60m hivyo hutakosa wa kumuweka hapo ikibidi tafuta mtu nguli wa sheria za kazi mana hao waliopo tume hawajui maana ya 'fair termination of employment' ndio maana wamekuwa wakiridhia maamuzi ya waafiri wanaofukuza wafanyakazi 'unfairly'
Vinginevyo mh Raisi fumua muundo wa Tume mfano weke mediators na arbitrators maana hao makamishna wameshindwa kutoa ufumbuzi wa malalamiko ambayo ni mengi ya warufani.
Inauma sana kupeleka rufaa halafu inapita mwaka au miaka 2 hadi 3 nk hujui hatima ya rufaa yako! Hao Tume hata kuwapata kwa simu au kawaida ni ngumu mno na ukiwapata jibu lao ni moja tuu 'RUFAA YAKO IPO KWENYE UCHAMBUZI' Lol tabia gani hii hata Primary courts hakuko hivyo ni wawazi na wanatoa maamuzi mapema usiporidhika unakata rufaa au unachukua hatua zingine utakazoona zinafaa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hivi John Mbiso ndie alietoa tangazo kwenye uzi huu hapo mwanzo kuwa Tume ina staff 35 workload ni kubwa ndio maana rufaa za watumishi zinachelewa[emoji38][emoji38][emoji38]
Kazi kwelikweli!!
Pamoja na membo mengine mengi majukumu ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kushughulikia RUFAA NA MALALAMIKOAya ya 3 na ya 4, tume imepata wapi mamlaka ya kusikiliza malalamiko??
Sheria inaeleza kuwa mamlaka ya kusikiliza malalamiko (migogoro ya kazi) kati ya mwajiri na mwajiriwa yapo tume ya usuluhishi na Uamuzi (CMA). Tume ya utumishi wa umma imejipa kazi ambayo haina mamlaka nayo kisheria. Yenyewe ina mamlaka ya kusikiliza Rufaa tu na si kusikiliza migogoro fresh
Unaposema unakula mishahara yote unaonesha kama ni faida hivi wakati mishahara ilitakiwa kulipwa hivyo kama ingelipwa wakati ule mtu aliotakiwa kufanya kazi. Sasa kwa vile inalipwa nje ya utaratibu lazima iwe na fidia maana huyo mfanyakazi kwa ajili ya survival alilazimika kutafuta fedha mahali kwingine (sio mshahara).
Sasa TUME haitoi fidia (compensation) na unasema kuwa unakula mishahara yako yote, unaitamka katika namna ya kuonesha kama ni favour hivi ya TUME
Pamoja na membo mengine mengi majukumu ya Tume ya Utumishi wa Umma ni kushughulikia RUFAA NA MALALAMIKO
Kukagua taasisi zite za Umma juu ya Uzingatiaji wa Taratibu za kiutumishi kwa watumishi wa Umma.
Naomba nikufahamishe kitu ambacha huenda hukijui, TUU ni ndio mamlaka pekee ya kushughulikia malalamiko ya w=WATUMISHI wa umma na taasisi za Umma. CMA sasahivi baada ya mabadiliko ya Seria ya Utumishi wa UMMA ua mwaka 2019 haihusiki tena na watumishi wa Umma, inahudumia wafanyakazi wa nje ya utumishi wa umma
Mkuu kama una nia ya kujifunza elewa ninachosema ila kama nia yako nikubishana haya endeleaWewe EISTEIN 112 ulichokiandika sio cha kweli hujasoma ELRA Act vizuri wewe . CMA inasikiliza cases zote hata za watumishi wa umma. ukiwa mtumishi wa umma unaweza kata rufaa Tume usiporidhika unaenda kwa Raisi. Baada ya hapo unaweza enda CMA kama hujaridhika na maamuzi ya Raisi. kwenda Tume na baadae kwa Raisi unakuwa ume-exhaust local remedies.
Ndio maana tunalalamika Tume toeni maamuzi mapema ili mrufani achukue hatua zingine km rufaa kwa Raisi na baadae kulianzisha CMA. Sasa nyie Tume mnaatamia rufaa zetu miaka kibaooo hiyo sio sawa jamani. Mbona mnajitetea badala ya kutoa suluhu ya malalamiko?
Na wewe EINSTEIN 112 unaonekana ni mtumishi wa Tume na huo uzi wako wa mwisho ndio kabisaa umedhihirisha humjui sheria na ndio maana huko Tume mnafanya maamuzi ya sintofahamu tena hamjitambui.
Kisheria ndivyo ilivyo ila kutokana na matumizi fedha za rushwa ushirikiano unafanyika kisirisiri. Ukweli bora utaratibu wa mwanzo wa mashauri yote kuanzia CMA kwani TUME ni uchochoro wa rushwa ifutiliwe mbali.Huo ndio ukweli.
nakuangalia unadai "OOOH ETI SIJAAJIRIWA!!"
Unalalama nini kama hujaajiriwa??
Sema ukweli kwa aliajiriwa ila kwa UPUUZI wako
watu wakala kichwa next time omba ushauri
Kama shauri lako nimechukua muda jua hakuna hujuma zozote dhidi yako
na kwa taarifa yako HAKUNA mtu anaweza kuingilia shauri la mtumishi hata awe katibu mkuu.
Huwezi kuishawishi Tume kutoa uamuzi kwa manufaa yako.
Soma Sheria ya Tume ya Utimshi wa Umma Kifungu cha 19
nimekuwekea hapa chini.
Mamlaka yako ya Nidhamu HAIWEZI KUSHIRIANA NA Tume kukuhujumu
View attachment 1894396
Nadhani nimeeleza process nzima hadi uamuzi unatoka huwezi kuchukua hela ya mtu na UNAMFEVAKisheria ndivyo ilivyo ila kutokana na matumizi fedha za rushwa ushirikiano unafanyika kisirisiri. Ukweli bora utaratibu wa mwanzo wa mashauri yote kuanzia CMA kwani TUME ni uchochoro wa rushwa ifutiliwe mbali.
Nadhani nimeeleza process nzima hadi uamuzi unatoka huwezi kuchukua hela ya mtu na UNAMFEVA
Never!!!!! mchakato unahusisha watu wengi sana
Mchambuzi, idara, mngmt then Tume watu wote hawa wanapitia rufaa moja sa unapendelewaje?? au unaonewaje?? Kuna watu mnalalamika lakini huenda hata Tume yenyewe huijui na huna shauri lako pale
Huyo EINSTEIN anaongea tu ili kutetea ugali wake ila kusema ukweli TUME haina umuhimu kabisa kwasababu wako pale kutetea waajiri kwa kupewa bahasha.We EINSTEIN tafuta case ya John Mongella Vs PSSF ya High Crt Labour Division imeelezea vizuri kuhusu Tume na CMA linapokuja suala la mtumishi wa umma. Mbona upo nyuma ya sheria wewe? na unaendelea kutoa maamuzi ya hovyo huko Tume.
Ndio maana tunamuomba mh. Raisi afumue hiyo Tume, watu kama nyie hamuwezi saidia hapo Tume.
Wewe unaelezea utaratibu unaotakiwa kisheria lakini kinachotekelezwa TUME ni tofauti na naamini dhamira yako inakusuta kwani unajua yanayofanyika hapo na ndio maana TUME inaumbuliwa mahakamani kwa maamuzi yake ya rufaa kutupiliwa mbali. Kutokana na kucheweshwa sana maamuzi ya TUME yanayochukua hadi miaka mitatu (3) watumishi wengine hukata tamaa na wengine hufariki kabla ya kudai haki zao mahakamani. Huo ni mkakati wa makubaliano ya TUME na waajiri kwa ushirikiano wao dhidi ya hujuma kwa haki za watumishi.Nadhani nimeeleza process nzima hadi uamuzi unatoka huwezi kuchukua hela ya mtu na UNAMFEVA
Never!!!!! mchakato unahusisha watu wengi sana
Mchambuzi, idara, mngmt then Tume watu wote hawa wanapitia rufaa moja sa unapendelewaje?? au unaonewaje?? Kuna watu mnalalamika lakini huenda hata Tume yenyewe huijui na huna shauri lako pale
Hasira zako zinaufumba ufahamu wako, kuna mdau huko juuamesema rufaa yake ilichukua mda mfupi we yako ina mwaka?? kama mwajiri wako amepeleka vielelezo mapema basi vuta subira ishu yako inafanyiwa kazi na majibu utayapata usiporidhika utaenda ngazi za juuSasa kwanini rufaa mnaifanyia kazi mwaka mzimaa? majibu mabaya customer service mbaya, hata magakama ta mwanzo wanawashinda!
Acha uongo nime mfano wa maamuzi ya Tume kushindwa mahakamani nipe mfano mmoja tuWewe unaelezea utaratibu unaotakiwa kisheria lakini kinachotekelezwa TUME ni tofauti na naamini dhamira yako inakusuta kwani unajua yanayofanyika hapo na ndio maana TUME inaumbuliwa mahakamani kwa maamuzi yake ya rufaa kutupiliwa mbali. Kutokana na kucheweshwa sana maamuzi ya TUME yanayochukua hadi miaka mitatu (3) watumishi wengine hukata tamaa na wengine hufariki kabla ya kudai haki zao mahakamani. Huo ni mkakati wa makubaliano ya TUME na waajiri kwa ushirikiano wao dhidi ya hujuma kwa haki za watumishi.
Hasira zako zinaufumba ufahamu wako, kuna mdau huko juuamesema rufaa yake ilichukua mda mfupi we yako ina mwaka?? kama mwajiri wako amepeleka vielelezo mapema basi vuta subira ishu yako inafanyiwa kazi na majibu utayapata usiporidhika utaenda ngazi za juu
Una uhakika rufaaa yako ina miaka miwili?? Rufaa zinachambuliwa na majibu tapata kama ukishinda mijihela yako inakusubiri. vuta subira kidogo haki yako haipoteiSina hasira ndugu majibu mabaya ya hao wamama wanaopokea simu hiyo ni sawa? wanaongea na simu kama wanakimbia kwenda kuzima moto? kabda hujamaliza kuongea wamekata simu ukiwatajia jina tuu hapo hapo wanakujibu rufaa ipo kwenye uchambuzi unajiuliza saa ngapi wameangalua file within a minute wamekujibu, miaka miwili unaambia rufaa ipo uchambuzi jamani. Hiyo ni tabia ya shetani mshindwe kwa jina la YESU.
Una uhakika rufaaa yako ina miaka miwili?? Rufaa zinachambuliwa na majibu tapata kama ukishinda mijihela yako inakusubiri. vuta subira kidogo haki yako haipotei
Huyo mkaguzi aende tu. Ni imani yangu kwamba utapata haki yako ni suala la muda tuNina hakika mkaguzi aende pale akague kama hatakuta rufaa nyingi mno mno zina zaidi ya mwaka ni uchambuzi wee sio sawa jamani justice delayed is justice denied
Yaani nilishangaa sana kwa mtu ambae ni senior official wa Tume kutoa sababu ya u-kiazi kama ile kwa kisingizio cha workload. Yaani wanacheza na watumishi ili wasipate haki haki zao zilizosahihi na kwa wakati at the expense of workload, seriously!!Wafanyakazi wachache amechukua hatua gani? Ameomba kuajiri akakataliwa?
Wewe EISTEIN 112 hapo ndio mwisho wa uelewa wako? ebu tupatie mfano wa kesi iliyoamuliwa kuwa CMA haiwezi tena kushughulikia malalamiko ya watumishi wa umma. Hapo unatupa wasiwasi maana wewe ni mtendaji wa TUME na inaonekana hujui sheria. Sasa maamuzi yenu (TUME) yatakuwa ya haki kweli kwa watumishi wa umma?Mkuu kama una nia ya kujifunza elewa ninachosema ila kama nia yako nikubishana haya endelea
Nimekuambia CMA baada ya mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa wa Umma Sura 298 haina mamlaka tena ya kushughulikia rufaa wala malalamiko ya watumishi wa umma. Usiporidhika na maamuzi ya Tume unakata rufaa kwa Rais usiporidhika na maamuzi ya Rais unakata rufaa Mahakama mkuu kitengo cha Kazi.
Nadhani nimeeleweka