Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

Nachokueleza ndicho sahihi, kusema au kuniona mimi ni mjinga ni haki yako kikatiba, siinyang'anyi.

Ila ukweli ni kwamba hao vyeti feki na darasa la saba hawakupewa barua za kufukuzwa kazi na ndicho kilichosababisha washindwe kuchukua michango yao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii maana hawakuonekana kama wamefukuzwa kazi. Kilichotokea kilizalisha mgogoro wa ajira ambao ungepaswa kusuluhishwa CMA na sio tume, maana tume zinaenda rufaa tu na sio migogoro mibichi. Mtu anaona mshahara haujaingia, hawezi kuwa amefukuzwa kazi, ila mkataba umevunjwa (breach of contract) na anatengenezewa mazingira ya yeye kuacha kazi (constructive termination).
Kama muda uliopewa ulienda CMA utakuja kuniambia? Wenzako walioondolewa walipeleka rufaa zao na zinakuwa TREATED kama MALALAMIKO, TUME inaamuru WARUDISHWE KAZINI ILI WACHUKULIWE HATUA ZA NIDHAMU IKIWA NI PAMOJA NA KUPEWA CHAJI, KUJITETEA, KUSIKILIZWA NA KAMATI YA UCHUNGUZI hadi kukamilika kwa shauri. ''kwa kuwa we mjanja Anza na CMA
 
Hoja 30 za nini hoja ni 2 tuu as per Public service act, msijikite kwenye hoja zingine za nini?
USIMPANGIE MTU ANAYETAKA KUJINASUA NINI AANDIKE NA NINI AACHE. TUHUMA ZINATOFAUTIANA SANA, WENGINE NI WATU WAZITO SANA WALIPOTOKA
 
Haupo sawa wewe kwenye kesi ya mtu kufukuzwa kazi hoja ni 2. Mengine ni ubabaishaji wa jutojua sheria some vizuri publuc service act. vinginevyo utaogelea bahari ya pasific na atlanta.
USIMPANGIE MTU ANAYETAKA KUJINASUA NINI AANDIKE NA NINI AACHE. TUHUMA ZINATOFAUTIANA SANA, WENGINE NI WATU WAZITO SANA WALIPOTOKA
 
Haupo sawa wewe kwenye kesi ya mtu kufukuzwa kazi hoja ni 2. Mengine ni ubabaishaji wa jutojua sheria some vizuri publuc service act. vinginevyo utaogelea bahari ya pasific na atlanta.
Hujawahi chambua hata karufaa ka cheti huwezi nielewa hizo hoja mbili zipo accompanied na vitu gani?

Procedural pekee inahusisha circulars ngapi? Taratibu bora za uendeshaji wa mashauri ya nidhamu ameweka vifungu vingapi, regs kaweka vifungu gani na gani bado sheria, miongozo, na maelekezo mengi inategemea na idadi za hoja.
njoo kwenye Kukana mashtaka amejitetea kwa hoja ngapi.

KAMA HUJUI TULIA MAANA HUTAJUA. WE NENDA MAHAKAMANI PANAKUFAA ZAIDI

NAHISI MJADALA NA WEWE NIMEMALIZA. SUBIRI MAJIBU YAKO. JIANDAE KWA HATUA ZAIDI MAANA KUWA KICHWA YAKO ILIVYO NAIMANI HUTOBOI, KESI ZA VYETI WENGI MMOFOJI. MMEIBA MISHAHARA YA WALIOSOMA NA KUZIBA NAFASI ZAO.
 
Kwa nini kila mtu hapa unadhani amefodge cheti wewe ndio uneghushi kwanza andika yako tuu inaonekana wewe sio graduate!!

kwa taarifa yako miongozo, waraka, circulars, regulations nk zote zinazohusu mtumishi wa umma zinapaswa kuendana na public servoce act na sio vinginevyo. public service hoja ni 2 tuu. ukitegemea kitu kingine kinachokinzana na public service act wewe jua ni KILAZA.
Hujawahi chambua hata karufaa ka cheti huwezi nielewa hizo hoja mbili zipo accompanied na vitu gani?

Procedural pekee inahusisha circulars ngapi? Taratibu bora za uendeshaji wa mashauri ya nidhamu ameweka vifungu vingapi, regs kaweka vifungu gani na gani bado sheria, miongozo, na maelekezo mengi inategemea na idadi za hoja.
njoo kwenye Kukana mashtaka amejitetea kwa hoja ngapi.

KAMA HUJUI TULIA MAANA HUTAJUA. WE NENDA MAHAKAMANI PANAKUFAA ZAIDI

NAHISI MJADALA NA WEWE NIMEMALIZA. SUBIRI MAJIBU YAKO. JIANDAE KWA HATUA ZAIDI MAANA KUWA KICHWA YAKO ILIVYO NAIMANI HUTOBOI, KESI ZA VYETI WENGI MMOFOJI. MMEIBA MISHAHARA YA WALIOSOMA NA KUZIBA NAFASI ZAO.
 
Kwa nini kila mtu hapa unadhani amefodge cheti wewe ndio uneghushi kwanza andika yako tuu inaonekana wewe sio graduate!!

kwa taarifa yako miongozo, waraka, circulars, regulations nk zote zinazohusu mtumishi wa umma zinapaswa kuendana na public servoce act na sio vinginevyo. public service hoja ni 2 tuu. ukitegemea kitu kingine kinachokinzana na public service act wewe jua ni KILAZA.
Kilaza aliyekazini bora kuliko msomi aliyefukuzwa kwa kughushi cheti.
Pambana huenda ukatoboa.

Huyu kilaza ameshachambua rufaa za wakurugenzi na wakatoboa.
 
Mkuu mbona unajibu kama sio Afisa wa serikali? kiongozi mkubwa kama wewe unatakiwa uwe na kifua cha kuvumilia wateja wako
Uzuri sipo tena kule so sina cha kupoteza. Kila mtu afanye mambo yake.

Nipo humu kitambo sana na sijawahi kujihusisha na ofisi yoyote ila nlitaka kutoa few clarifications lakini jinga flan linanishambulia kana kwamba mi ndio nachambua rufaa yake.


Ntamjibu yeyote kistaarabu akitaka kuelewa

Anayetaka mashindano na mabishano ntamjibu jinsi anavyokuja.
 
Uzuri sipo tena kule so sina cha kupoteza. Kila mtu afanye mambo yake.

Nipo humu kitambo sana na sijawahi kujihusisha na ofisi yoyote ila nlitaka kutoa few clarifications lakini jinga flan linanishambulia kana kwamba mi ndio nachambua rufaa yake.


Ntamjibu yeyote kistaarabu akitaka kuelewa

Anayetaka mashindano na mabishano ntamjibu jinsi anavyokuja.
Kuelewa ni two way traffic, wewe unamuelewesha mwingine na wewe unaeleweshwa pia, tatizo ni pale ujuaji na majivuno yanavyokuwa high level na sio eye level, utaona kuwa wewe pekee ndio unawaelewesha watu na sio wao kukuelewesha wewe.
 
Uzuri sipo tena kule so sina cha kupoteza. Kila mtu afanye mambo yake.

Nipo humu kitambo sana na sijawahi kujihusisha na ofisi yoyote ila nlitaka kutoa few clarifications lakini jinga flan linanishambulia kana kwamba mi ndio nachambua rufaa yake.


Ntamjibu yeyote kistaarabu

Kuelewa ni two way traffic, wewe unamuelewesha mwingine na wewe unaeleweshwa pia, tatizo ni pale ujuaji na majivuno yanavyokuwa high level na sio eye level, utaona kuwa wewe pekee ndio unawaelewesha watu na sio wao kukuelewesha wewe.
Mkuu pale kubadilika ni ngumu sana pana wazee wengi mno halafu kila kitu kwao ni siri
 
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma ikiongozwa na ndugu Muhoji aliyezungukwa na wasaidizi vilaza wavivu kutumia akili katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma walioonewa na waajiri enzi zile!

Kumekuwa na biasness kubwa sana katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma pale Tume.

1. Tume imekuwa ikishirikiana na waajiri katika kuhujumu haki za watumishi.

2. Rufaa zimekuwa zinakaa kwa muda mrefu bila kuzitolea maamuzi. Ningefurahi sana kujua kama kuna kipengele chochote kinachoibana Tume kuhusu muda.

3. Maafisa wa Tume hawako makini katika uchambuzi wa rufaa za watumishi.

4. Maafisa wa Tume wamekosa customer service or care kwenye kazi zao na hivyo kupelekea wwtumishi wanaokwenda kuulizia rufaa kuwafanya kama maadui, they are so defensive and protective.

5. Wamekuwa wakipewa rushwa na waajiri ili watumishi wakandamizwe ktk kudai haki zao kwasababu waajiri wengi wamekuwa wakiwabambikkiza makosa watumishi wao.

Hivyo basi, tunaomba Mh. Rais Samia tupia jicho lako kwenye hiyo Tume, wanafanya kazi kwa mazoea na kuminya haki za watumishi.
Dawa ni kuwapiga risasi hao tume ili iwekwe nyingine!

suruhu ya maneno haitakiwi vitendo vinaleta majibu mapema

kama huna risasi beba hata panga au mshale usingoje huruma ya hao wapuuzi
 
Kimsingi, Tume ya Utumishi wa Umma katika kusikiliza Rufaa haiafuati wala kusimamia sheria ya utumishi wa umma.

Waajiri wanafurahia sana rufaa kuja tume (na ndio wanakomaa na kutafsiri vibaya kifungu cha 32A cha Sura ya 298 (Rejeo la 2019) ya sheria za Tanzania. Waajiri haohao na kwa kesi (mgogoro) hiyohiyo hawapo tayari kabisa kuiona ikipelekwa CMA, wanaihofia CMA ambayo ina mamlaka kisheria na wao wanalazimisha iende tume ambao hawana mamlaka kisheria.

Tume inaendeshwa kizamani sana na hawataki kubadilika. Watu wameshauri iwe inaweka cause list basi watu wajue rufaa zao zinasikilizwa lini lakini hawataki, UWAZI unakuwa haupo, kuaminika kutatoka wapi? Kuna gharama gani kuweka cause list? Mahakama ya Rufaa baadhi ya mikoa inakaa vikao mara 2 tu kwa mwaka lakini wanatoa cause list na rufaa zinasikilizwa kwa uwazi, TCRA wanaposikiliza mgogoro wanatoa cause list na unasikilizwa kwa uwazi, Vivyo hivyo Fair Competition Tribunal, EWURA nk, hawa tume nini hasa kinawazuia kuwa wawazi?

Kulalamikiwa sio sifa nzuri, inapaswa wajitafakari na wabadilike.
 
Kimsingi, Tume ya Utumishi wa Umma katika kusikiliza Rufaa haiafuati wala kusimamia sheria ya utumishi wa umma.

Waajiri wanafurahia sana rufaa kuja tume (na ndio wanakomaa na kutafsiri vibaya kifungu cha 32A cha Sura ya 298 (Rejeo la 2019) ya sheria za Tanzania. Waajiri haohao na kwa kesi (mgogoro) hiyohiyo hawapo tayari kabisa kuiona ikipelekwa CMA, wanaihofia CMA ambayo ina mamlaka kisheria na wao wanalazimisha iende tume ambao hawana mamlaka kisheria.

Tume inaendeshwa kizamani sana na hawataki kubadilika. Watu wameshauri iwe inaweka cause list basi watu wajue rufaa zao zinasikilizwa lini lakini hawataki, UWAZI unakuwa haupo, kuaminika kutatoka wapi? Kuna gharama gani kuweka cause list? Mahakama ya Rufaa baadhi ya mikoa inakaa vikao mara 2 tu kwa mwaka lakini wanatoa cause list na rufaa zinasikilizwa kwa uwazi, TCRA wanaposikiliza mgogoro wanatoa cause list na unasikilizwa kwa uwazi, Vivyo hivyo Fair Competition Tribunal, EWURA nk, hawa tume nini hasa kinawazuia kuwa wawazi?

Kulalamikiwa sio sifa nzuri, inapaswa wajitafakari na wabadilike.
Mkuu kila kitu kwao ni siri hii inatokana na wao kushirikiana na waajiri
 
Asante mheshimiwa Raisi kwa kuteua Katibu mpya Tume ya Utumishi wa Umma ambae ametoka nje ya Tume labda atarekebisha uozo uliopo Tume.
Screenshot_20210920-170126_Instagram.jpeg
 
Itaje kesi yako ili usaidiwe usijifiche kwenye mwamvuli wa kutetea watu. Kuna wataalamu humu watakupa msaada wa bure.

Ni vizuri ukatangaza maslahi yako.
 
Nyie mnashirikiana na waajiri na ushaidi upo
Ndugu Mathew iangalie sana kwa makini team iliyokuwa imemzunguka Muhoji, wasije wakakupeleka chaka, hawafai walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea bila kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni!

Nakumbuka kuna Senior Officer wa Tume alijitetea humu JF kwamba sometimes wanashindwa kufuata Kanuni za Utumishi wa Umma kwasababu manpower ni ndogo!!😆😆😆
 
Back
Top Bottom