Utendaji wa bangili ya Kupumbaza nyoka na Jiwe la nyoka

Mi nakubali sijasoma, ila mi sio kama wewe... siwachukii waliofika chuo..... Kwahyo kwa hicho kimombo ndo unantishia nawewe umesoma?
Hapana... Hata kidogo. Hii lugha ni kama kiswahili tu kwangu.so haihusiani na elimu....mi nawachukia ambao wamesoma halafu hawajaelimika. Napenda walioelimika.😁
 
Nyoka washamstudy na kujua tabia zake kipi apendi kipi apatani nacho mfano zipo device zinazuia uwepo wa nyoka mita 50 kwa degree 360.
Zipo zinazotoa mawimbi ya sauti zisizopatana na nyoka.
Ipo mimea isiyopatana na nyoka
 
Pana mti mmoja unaitwa mnyokanyoka upo kama muhogo ukipanda kama fence unafukuza nyoka. Pia waya wa shaba haupatani na nyoka unazuia nyoka
 
Na vipi kuhusu kung'atwa na nge na shilingi mia moja maana hiyo nishaweka hiyo nina ushahidi mwenyewe na wengine pia wanajua.
Sumu ni kemikali na shilingi mia ni madini.So zile metali zilizopo kwenye shilingi mia zina nguvu ya kuivuta ile sumu ya ng'e
 
Nachojua hili jiwe linakusaidia kupunguza madhara lakini ni lazima ufike hospital pia
 
Hata unga wa mkaa huu wa kawaida unayo uwezo wa kufyonza sumu ya nyoka au mdudu. Ni kama ilivyo kitunguu saumu kinazuia kuvimba uking'atwa na nyuki, au mdudu yeyeto we ponda paka kinafyonza sumu
 
Jiwe

Mawe haya sijui yanapatikana wali
 
Walikufa na elimu zao.
Hawa wangetusaidia Sana MOI pale kuunga mifupa ya bodaboda
 
Broo wangu alishawai kugongwa (kung'atwa na nyoko)
Walimchanja kidogo karibu na eneo alilohongwa.
Walimuwekea hilo jiwe la sumu, likaganda na kweli lilikua linavuta sumu

Baada ya muda linadondoka, inabidi mlichemshe
Then mnaliweka tena
Hiyo process inajirudi hadi unafika muda ukiliweka linaanguka muda huo huo

Alipona, na hakupelekwa hospital

TIBA ZA ASILI ZIPO, TENA KONKI SANA
 
Tukae nayo kama hakiba...ila baada ya kumuweka jiwe umfunge, na awahishwe hospital
 
Nikikutana na wanaouza hayo mawe ntayanunua

Ukikaa nayo kama akiba ni muhimu sana
Stand ya mabasi ya Msamvu Morogoro kuna Mzee anauza hayo mawe, nilishanunuwaga wakati Nina field za porini.
 
Pana mti mmoja unaitwa mnyokanyoka upo kama muhogo ukipanda kama fence unafukuza nyoka. Pia waya wa shaba haupatani na nyoka unazuia nyoka
Njia rahisi ya kufukuza nyoka ni kuchoma matairi ile harufu watakimbia mbali kabisa.

Njia ya kuikinga nyumba na nyoka mwaga majivu kuzunguka nyumba au ukiwa na oil chafu Fanya hivyo.
 
Inawezekana,umeshajiuliza inakuwaje mdudu akiingia kwenye jicho au sikio akikutana na yale maji maji anakufa,ngoja nifanye research,siku nikikutana na Nyoka nimtemee mate nione nini kitatokea,halafu ntaleta mrejesho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…