Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #61
Hapana... Hata kidogo. Hii lugha ni kama kiswahili tu kwangu.so haihusiani na elimu....mi nawachukia ambao wamesoma halafu hawajaelimika. Napenda walioelimika.😁Mi nakubali sijasoma, ila mi sio kama wewe... siwachukii waliofika chuo..... Kwahyo kwa hicho kimombo ndo unantishia nawewe umesoma?
Eneo jirani na anapokaa huyo nyokaUnapaka wapi?
Kwamba nyoka wa bongo ni wa mchongo??Ni story Tu hakuna jiwe linatibu sumu ya nyoka
Ukweli ni kwamba % ya nyoka wa tanzania sio wa sumu
Uking'atwa na nyoka wa sumu ukaweka Hilo jiwe utakufa tu
Ni skendo kama ujaifanyia tafiti.ni skendo tu
Nyoka wamekuwepo hata kabla ya hizo ant venom na watu wametumia njia za asili kujikinga naoKungekuwa hakuna haja ya kutumia fedha nyingi kutengeza anti venom.
Sumu ni kemikali na shilingi mia ni madini.So zile metali zilizopo kwenye shilingi mia zina nguvu ya kuivuta ile sumu ya ng'eNa vipi kuhusu kung'atwa na nge na shilingi mia moja maana hiyo nishaweka hiyo nina ushahidi mwenyewe na wengine pia wanajua.
JiweNimekuwa nikijiuliza sayansi iliyoko katika lile jiwe ambalo watu hutumia mara waumwapo na Nyoka. Unaliweka sehemu husika na linanyonya sumu mpaka linapodondoka. Ni sayansi gani hapo inayofanya kazi? Wenye uzoefu please.
Lakini pia ile bangili ambayo husemekana inampumbaza nyoka. Inafanyaje kazi? Tunaomba kupeana darasa katika mambo haya please.
Walikufa na elimu zao.Sijui umri wako,sijui umekulia wapi..Ila Mimi kwetu tabora nimeona tiba nyingi za kushangaza...ikiwemo ile dawa ya kuunga mfupa uliovunjika kwa tabibu kuchezesha viganja vya mikono pembezoni mwa mguu/mkono uliovunjika,Kuna ngariba umakondeni huko alikua hashiki kisu kukata govi,anaweka mhogo kwenye ungo,anakwambia chukua,menya nchani kwa kuvua,ukimaliza na govi lako halipo,anakupaka dawa ndo ushatahiriwa
Hata Mimi sijui kipo wapi au vinarudi kwa wenyeweHapo Mbezi Louis kuna babu mmoja anazunguka stend ya daladala na kwenye mabaa anauza mawe kipande 1500, mi shachukua mawili ila nshahau nlipoyaweka
Broo wangu alishawai kugongwa (kung'atwa na nyoko)
Walimchanja kidogo karibu na eneo alilohongwa.
Walimuwekea hilo jiwe la sumu, likaganda na kweli lilikua linavuta sumu
Baada ya muda linadondoka, inabidi mlichemshe
Then mnaliweka tena
Hiyo process inajirudi hadi unafika muda ukiliweka linaanguka muda huo huo
Alipona, na hakupelekwa hospital
TIBA ZA ASILI ZIPO, TENA KONKI SANA
Nikikutana na wanaouza hayo mawe ntayanunuaTukae nayo kama hakiba
Stand ya mabasi ya Msamvu Morogoro kuna Mzee anauza hayo mawe, nilishanunuwaga wakati Nina field za porini.Nikikutana na wanaouza hayo mawe ntayanunua
Ukikaa nayo kama akiba ni muhimu sana
Njia rahisi ya kufukuza nyoka ni kuchoma matairi ile harufu watakimbia mbali kabisa.Pana mti mmoja unaitwa mnyokanyoka upo kama muhogo ukipanda kama fence unafukuza nyoka. Pia waya wa shaba haupatani na nyoka unazuia nyoka
Dry biteNyoka wamekuwepo hata kabla ya hizo ant venom na watu wametumia njia za asili kujikinga nao
Inawezekana,umeshajiuliza inakuwaje mdudu akiingia kwenye jicho au sikio akikutana na yale maji maji anakufa,ngoja nifanye research,siku nikikutana na Nyoka nimtemee mate nione nini kitatokea,halafu ntaleta mrejesho...Habari
Ninalo hilo jiwe naliambiwa kuwa ili kulifahamu kulifahamu jiwe hilo unalijaribu kwa kuliweka kwenye ulimi linanata. Seems hata sisi wanadamu kwenye mate yetu kuna kiwango fulani cha sumu dhidi ya viumbe wengine. Jiwe lipo kama mkaa lakini lina manufaa makubwa
Naweka picha