Tunasubiri kwa hamu shirika la posta litoe tena tangazo la kumpongeza Maharage kwa kazi nzuri alilolifanyia shirika hilo alipokuwa mtendaji mkuu wake! Huu ni uhuni usiokubalika po pote.Wote si wamempongeza nape na kumtakia Kila la kheri wacha wakapongezane huko huko.
Nyie wazanzibar ndiyo wabaguzi no moja, Mbarawa na Masauni wanafanya kitu gani cha maana? dada angu kuwa na akili hata kidogoWw unajua wanatengua tu bila sababu uwe na akili bwana, au bado hujaacha ulevi.
Hzo roho za ubaguzi najua zinatoka chadema acheni ujinga 🚮
Kuna watu wa hovyo kama Mbarawa na Masauni?Hapo hakuna uzanzibari.
Mh.Samia anaondoa mchwa wote wanaokula mbao za samani za nyumba nzuri iitwayo Tanzania.
Anaweka utiifu kwa mamlaka siyo kwa watu binafsi.
JF Ina nguvu Sana. Ikikusagia kunguni tu huchomoi ni mwendo wa kusubiria siku na saa hata ipite miaka miwili utafikiwa tu.
Wateteeni tu mafisadi, huku nyie hata jelo la Panado huna. Mnalia tu kuwa maisha ni magumu na mkiendelea kuwashangilia wanayosababisha maisha hayo kuwa magumu.Yaani kumshukuru mtu kwa Utumishi wake napo ni kumkosea Mh Rais?
Huu sasa ni uoga.
Unless otherwise kuwepo na something serious.
Safi kupe.Wateteeni tu mafisadi, huku nyie hata jelo la Panado huna. Mnalia tu kuwa maisha ni magumu na mkiendelea kuwashangilia wanayosababisha maisha hayo kuwa magumu.
Mtamfahamu tu Dkt Samia Suluhu Hassan. Na mtaenda mbali zaidi kufahamu kwa nini Ma-profesa mbali mbali wamempa Phd Mama Samia. Endeleeni kutafakari!
Usifikiri kama Benjamin N! Amka na tafakari kwanini maisha ni magumu? Ni nani anayesababisha hayo.Nyie wazanzibar ndiyo wabaguzi no moja, Mbarawa na Masauni wanafanya kitu gani cha maana? dada angu kuwa na akili hata kidogo
Acha uongo wewe!Hapa kuna mchezo tunachezewa wa kisaikolojia. Hawa matapeli wana ajenda yao ya Siri.
Nape na makamba jr hawajatolewa kwasababu za kiutendaji wametolewa ili waanze kuingia mtaani kufanyia utekelezaji zoezi la kutengeneza kura kwaajiri ya uchaguzi ujao.
Tangu ameanza teua, hamisha na tengua maisha kwako yamekuwa rahisi?Usifikiri kama Benjamin N! Amka na tafakari kwanini maisha ni magumu? Ni nani anayesababisha hayo.
Ogopa mafisadi na wahuni. Lazima waondoke, wapishe wengine wafanye kazi ili maisha yawe mepesi.
Jipeni moyo!Na Hawa wanapelekwa kuisuka ilani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu 2025?
Kwanini niandike Namba ya simu, wakati tunaweza kutoa hoja zetu JF.Safi kupe.
Abdika namba ya simu kwa chini.
Ndio walioizamisha nchi yetu. Walioyafanya maisha yawe magumu.Walioko chini ya Nape waote wameondoka.Inaknekana hawa jamaa wameiba sana hadi wakatimuliwa wote kuanzia waziri na wakurugenzi wataasis hizo
Hawa mbwa walitakiwa wawe gerezani baada ya kupukutishwa hela zote walizoiba.Yeye na boss wake walitakiwa kua jela. Hasara walizoingizia taasisi za umma walizokua wakiongoza hazielezeki.
Ni mabingwa wa kuanzisha miradi isiyo na kichwa wala miguu ili wapige 10% waondoke.
Chande na Makamba wakiwa Tanesco walianzisha miradi hewa inayoitwa Grid Imara, wakatangaza tenda 30 ndani ya mwaka mmoja za zaidi ya trilioni 4. Wakasaini mikataba wameacha wakandarasi hawajalipwa hata 10 kwa sababu serikali imeshindwa kuendana na mahitaji makubwa ya kuwalipa wakandarasi 30 kwa wakati mmoja wa umeme ambao wanadai zaidi ya Trilioni 4.
Makamba hakuishia hapo, akahamia mambo ya nje, akaanzisha mradi wa ujenzi wa vitega uchumi kwenye balozi zetu Duniani kote eti ili tuwe tunapangisha huko tunapata fedha, nia yake ni apate 10% ya watu watakapoewa tenda ya ujenzi wa hayo majengo ale aondoke.
Mama asiishie kuwatumbua tu, wafikishwe mahakamani pia.
Wajinga sana hao jamaa. Mtu aliyefukuzwa Kazi ya uwaziri , huwezi kumpongeza kwa namna yoyote ile. Wamepata walichokitafuta.View attachment 3050179
View attachment 3050203
View attachment 3050205
View attachment 3050206
Mie namtengua wewe unamwambia asante na shukurani, unajifanya kiziwi kama chura eeh!
Nape kafukuzwa kwa kauli yake, sasa kauli yake inabatilisha mazuri aliyofanya na hawa jamaa akiwa waziri wao? Samia anapita kiasi mara nyingine, anaamua mambo kwa emotions. Atajigombanisha na watu watu wa bara bila sababuWajinga sana hao jamaa. Mtu aliyefukuzwa Kazi ya uwaziri , huwezi kumpongeza kwa namna yoyote ile. Wamepata walichokitafuta.
Siasa sio biashara, unauza toka asubuhi na jioni unahesabu faida. Siasa ni subira na cha msingi nikuamini kuwa kiongozi ana nia njema.Tangu ameanza teua, hamisha na tengua maisha kwako yamekuwa rahisi?
Imeharibiwa na mifumo ya wizi na kujuana, kwanini huwezi sikia Vodacom, Airtel, Tigo n.K wamefilisika lakini ni mashirika ya umma pekee ambayo yanafilisika pamoja na kupewa ruzuku? kama nafasi zingetangazwa tungepata watu wazuri sn, huu mfumo wa kuteua ndugu na chawa ndiyo ujinga wetu.Siasa sio biashara, unauza toka asubuhi na jioni unahesabu faida. Siasa ni subira na cha msingi nikuamini kuwa kiongozi ana nia njema.
Nchi imeharibika hii, ukichagua 10 wasafi na wenye nia nzuri ni wa 2 tu. Mama ana kazi nzito sanaaa.
Huyu mwamba anaendelea kutesa hata nje ya ofisi, ni bonge la fisadi, alikuwa CEO wa NBC kidogo tu benki imfie mikononi mwake akafukuzwaYule mwamba aliimba:
"Kutesa Kwa zamu."
View attachment 3050186
Bujibuji Simba Nyamaume au nasema uongo ndugu yangu?