Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Toka maktaba :

Ruangwa, Lindi

MKUU WA WIILAYA YA MBARALI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

Video toka maktaba : Mkuu wa wilaya wa Mbarali Mheshimiwa Reuben Mfune

TAKUKURU imemfikisha Mkuu wa wilaya wa Mbarali Mheshimiwa Reuben Mfune (58) mahakamani kwa kesi ya uhujumu uchumi namba 1 ya mwaka 2023.

Baada ya kusomewa mashtaka, mtuhumiwa alikana tuhuma za makosa na amepewa dhamana. Na kesi hiyo kusikilizwa tena mwezi February 2023 mbele ya Mahakama ya Wilaya.


TOKA MAKTABA :
30 Oktoba 2013

DC Ruangwa kusaka mchawi anayekwamisha maendeleo ya ...

30 Oct 2013 — Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo,Reuben Mfune aliahidi kufanyia kazi malalamiko hayo ya watumishi .....

TOKA MAKTABA :
18 May 2016
KESI YA DAVID KAFULILA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI 2015

Aidha katika kipengele cha pili ambacho Kafulila alikuwa anamlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo, Reuben Mfune; aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza kuwa alishinikizwa kumtangaza Mwillima kuwa mshindi wakati msimamizi huyo akijua kwamba yeye Kafulila ndiye.

Kafulila alikuwa anamlalamikia Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo, Reuben Mfune; aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza kuwa alishinikizwa kumtangaza Mwillima kuwa mshindi wakati msimamizi huyo akijua kwamba yeye Kafulila ndiye ......
 
Mh
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.
Tunaweka dini yetu. Hao wote ni makafir.

Najiuliza tuu hivi kafiri na wale wazee wa kwampalange wepi wataingia kwa pepo?

Mbali nasisi ma Jah man mbingu yetu Ina eleweka

Duh! njiapanda mkuu🥺🥺
 
Hizi kazi za uteuzi nazo ni utumwa kabisa, imagine mmoja wapo kati ya hao,leo alikuwa na kikao na amefoka sana kwa wale anaowasimamia 😂😂........mchana alikuwa anafoka saizi anachekwa
 
Reuben Mfune anakesi Ruangwa alipokua DED anadaiwa kupiga 200 Mil. Kinyume na utaratibu, hao wengine pia wana vimeo TAKUKURU
TAKUKURU inafanya kazi sana msimu huu. Wakikudaka huchomoki kirahisi, wameondoa ule uzembe.
Ila kazi waifanyayo TAKUKURU ni 1/10 ya kazi wanayotakiwa fanya.
Bado halmashauri na taasisi nyingi za serikali zina ubadhirifu.

Takukuru iongezewe nguvu zaidi kifedha, vifaa.
 
Hivyo ni vidagaa tu!
 
Hiyo moja ya kumi umewapa kubwa sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…