Kweli mkuu, hivi vidonge vya kuzuia mimba na njia za kisasa za uzazi wa mpango zinaathari hasi sana.madawa makali wanayotumia ni tatizo pia... hasa haya ma antibiotics
Umechanganya madesa. uvimbe Kwenye kizazi ndio unasababishwa na njia za uzazi wa mpangoNiliwahi ambiwa yakwamba madonge masindano nanjia zote ambazo sio zakutumia kalenda kuzuia mimba zinapelekea haya matatizo nandio maana hata waathirika wake wengi nikina mama(wanawake)
kiufupi njia zauzazi wampango(zakisasa)ambazo sio kufuta kalenda(mpangilio wasiku kwawanawake) nihatari sana kwamama zetu nawanawake kwaujumla nahazifai
Mzungu kapania sana kukimaliza kizazi cha muafrika.sana asee nakumbuka kuna nyakati nilikua tz nikaenda kwa project mikoa flan flan hali kule mbaya asee watoto wanahimizwa hayo madude mashuleni kabisa kuzuia upatikanaji mimba holela
Hali mbaya sana mbeleni
Mimi na shemeji yenu tunatupia kavu mwaka wa tano huu na huwa napaisha mpira, nilishampiga marufuku kutumia zile makitu wanaita pills za kuzuia ujauzito.Tatizo kubwa ni njia za kisasa za uzazi wa mpango, maana ukweli ni kwamba nyingi hazijawa tested wanaziingiza sokono au nyingine zinaletwa kama msaada maana wanajua Africa ni kama Dampo. Hatuna maabara ya ku test kama hizo dawa ni nzuri wala nn ndio maana wanatuletea hizo takataka. Na dada zetu wanabugia na kutumia bila kujali. Kuna paper moja niliwahi kusoma kuhusu hizi mambo ilikua inatisha kwa kweli. Dada zetu kuweni makini sana na hizi pills, vitanzi, vipandikizi ndio chanzo cha kuongezeka uvimbe, Kansa za matiti ,za kizazi. Za njia ya uzazi...
Watoto wa kike wamezidi sana kupita na mabwana wengi so kutumia P2 ni mbinu yao moja ya kujihami na kushtukiwa....Uzazi wa mpango ndo hupelekea yote ayo na ikidevelop inapelekea kansa na ocean road wahanga ni wengi...na matumizi ya p2 kuzuia mimba kwavyovyote vile ukipingana na nature lazima ikuadhibu, nature imetuweka tuzae sisi tunazuia kwa madawa matokeo ndo hayo njia natural ipo ambayo ni karenda japo nayo inafelisha sometimes kikubwa kwa mtt wa kike ni kuplay smart....
Shida ni kwamba wanawake wengi ni watumiaji Wa madawa na sindano za uzazi Wa mpango lakini kingine cha hatari zaidi kinachosababisha kidonda kitoe usaha kisipone inawezekana huyu Dada alimeza vidonge vya kujichubua hivyo kufanya seli za mwili kufa na kushindwa kujijenga anyway labda pia wanapomfanyia upasuaji wanamuachia viuzi vimesimama ila sizani kama Mara tano unaweza sahau kutoa nyuzi vizuri kila Nina wasiwasi asilimia kubwa itakuwa alimeza kidonge awe mweupe peeeendio hvyo MKUU nazinahamasishwa sana hizi njia kitaifa nakimataifa bila yakuangaliwa side effects zake
uzazi wampango wakidigital unatumalizia kinamama kiukweli.
Umemaliza kuujibu uzi mubashara kabisa Chifu.Tatizo kubwa ni njia za kisasa za uzazi wa mpango, maana ukweli ni kwamba nyingi hazijawa tested wanaziingiza sokono au nyingine zinaletwa kama msaada maana wanajua Africa ni kama Dampo. Hatuna maabara ya ku test kama hizo dawa ni nzuri wala nn ndio maana wanatuletea hizo takataka. Na dada zetu wanabugia na kutumia bila kujali. Kuna paper moja niliwahi kusoma kuhusu hizi mambo ilikua inatisha kwa kweli. Dada zetu kuweni makini sana na hizi pills, vitanzi, vipandikizi ndio chanzo cha kuongezeka uvimbe, Kansa za matiti ,za kizazi. Za njia ya uzazi...
Kama hauna uelewa juu ya jambo flani,ni vizuri ukakaa kimya wanaojua wakajibu then ukapata elimu[emoji848]Kitu pekee tu ninachokijua ni kwamba 99.999% ya Wanawake 'Warembo' na pia ni 'Maarufu' nchini ndiyo wanaongozwa Kuingiliwa Kinyumenyume.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Castle light.
Serengeti light.
Tusker light.
Mipombe kwa ujumla - ( nina wasiwasi na matumizi ya pombe kwa kina mama sio sahihi vs maumbile yao).
Michemsho ya offa.
Lishe duni.
Matumizi ya vipodozi.
kutoatoa mimba hovyo..
Wale waliojifungua kwa operation, kuna shida hii kwa akina mama iangaliwe kwa makini wengi hawashonwi vizuri na matokeo yake ni uvimbe na kutoa usaha... Tunahitaji kuweka nguvu sana kwenye huduma za Afya ili ziwe bora..
Chagua Rungwe na Chauma tumalize suala la Lishe na mengine yahusuyo Afya..
Kabisa, hayo madawa yamesababisha hata sehemu za uke kuachia sana na kuwa mabwawa tena ya baridi badala ya kubaki katika uzuri wake kiasili, ndiyomaana kuku wa kienyeji(Ke wasiotumia hizo dawa) ni watamu sanaa Chifu.Mimi na shemeji yenu tunatupia kavu mwaka wa tano huu na huwa napaisha mpira, nilishampiga marufuku kutumia zile makitu wanaita pills za kuzuia ujauzito.
Mwanzo alikuwa mtata ila now ananishukuru sana maana nimemlinda. Na nilishamwambia. Condom sijui dawa za uzazi wa mpango kinadharia tunaambiwa zipo kutulinda ila kiuhalisia wateja wake ni watu wazinzi na watu wenye michepuko,ukiwa mwaminifu hauhitaji hizo vitu.