Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Uzazi wa mpango ndo hupelekea yote ayo na ikidevelop inapelekea kansa na ocean road wahanga ni wengi...na matumizi ya p2 kuzuia mimba kwavyovyote vile ukipingana na nature lazima ikuadhibu, nature imetuweka tuzae sisi tunazuia kwa madawa matokeo ndo hayo njia natural ipo ambayo ni karenda japo nayo inafelisha sometimes kikubwa kwa mtt wa kike ni kuplay smart....
 
Castle light.
Serengeti light.
Tusker light.
Mipombe kwa ujumla - ( nina wasiwasi na matumizi ya pombe kwa kina mama sio sahihi vs maumbile yao).


Michemsho ya offa.
Lishe duni.
Matumizi ya vipodozi.
kutoatoa mimba hovyo..

Wale waliojifungua kwa operation, kuna shida hii kwa akina mama iangaliwe kwa makini wengi hawashonwi vizuri na matokeo yake ni uvimbe na kutoa usaha... Tunahitaji kuweka nguvu sana kwenye huduma za Afya ili ziwe bora..

Chagua Rungwe na Chauma tumalize suala la Lishe na mengine yahusuyo Afya..
 
Umechanganya madesa. uvimbe Kwenye kizazi ndio unasababishwa na njia za uzazi wa mpango
 
Hayo maP2 wanayomeza kila weekend wanapotoka kutombwa.....

Plus kuchokonoa tumbo nyakati za kutoa mimba mnategemea hilo tumbo limetengenezwa na madini ya titanium?!

MUNGU awalinde, lifestyle ya kudanga, na kutafuta wanaume wenyepesa ndio hupelekea huu upuuzi.
 
Mimi na shemeji yenu tunatupia kavu mwaka wa tano huu na huwa napaisha mpira, nilishampiga marufuku kutumia zile makitu wanaita pills za kuzuia ujauzito.
Mwanzo alikuwa mtata ila now ananishukuru sana maana nimemlinda. Na nilishamwambia. Condom sijui dawa za uzazi wa mpango kinadharia tunaambiwa zipo kutulinda ila kiuhalisia wateja wake ni watu wazinzi na watu wenye michepuko,ukiwa mwaminifu hauhitaji hizo vitu.
 
Watoto wa kike wamezidi sana kupita na mabwana wengi so kutumia P2 ni mbinu yao moja ya kujihami na kushtukiwa....
 
Kikubwa hapo si kuongezeka kwa tatizo bali ni kuimarika kwa huduma za vipimo vya utambuzi km Ultrasound, MRI,CT scans nk bado incidence ya magonjwa hayo iko palepale,miaka 15 iliyopita Tz Ultrasound ilikuwa Gold ilikuwa unafanya booking hata week kupima kwasasa ni bed side investigation! Dr anakusikiliza tatizo lako hapohapo anakwambia panda kitandani na kukupima , hii ni sawa na kusema kipindi hiki Ubakaji umeongezeka sana kila kukicha ni mtoto kabakwa ........tunasahau toka miaka hiyo ubakaji ulikuwepo ila kilichoongezeka ni vyombo vya habari vinavyoripoti hayo matukio!
 
Kuchelewa kuzaa, kuzaa watoto wachache au kutozaa kabisa ndio sababu. Watawa husumbuliwa sana na vivimbe. Repeated rupture ya ovary wakati wa ovulation ndio risk factor. Hivyo hizo njia za uzazi wa mpango ki ukweli zinapunguza viuvimbe sababu nyengine zinazuwia ovulation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio hvyo MKUU nazinahamasishwa sana hizi njia kitaifa nakimataifa bila yakuangaliwa side effects zake

uzazi wampango wakidigital unatumalizia kinamama kiukweli.
Shida ni kwamba wanawake wengi ni watumiaji Wa madawa na sindano za uzazi Wa mpango lakini kingine cha hatari zaidi kinachosababisha kidonda kitoe usaha kisipone inawezekana huyu Dada alimeza vidonge vya kujichubua hivyo kufanya seli za mwili kufa na kushindwa kujijenga anyway labda pia wanapomfanyia upasuaji wanamuachia viuzi vimesimama ila sizani kama Mara tano unaweza sahau kutoa nyuzi vizuri kila Nina wasiwasi asilimia kubwa itakuwa alimeza kidonge awe mweupe peeee
 
Umemaliza kuujibu uzi mubashara kabisa Chifu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kabisa, hayo madawa yamesababisha hata sehemu za uke kuachia sana na kuwa mabwawa tena ya baridi badala ya kubaki katika uzuri wake kiasili, ndiyomaana kuku wa kienyeji(Ke wasiotumia hizo dawa) ni watamu sanaa Chifu.
 
1. Utowaji mimba mafichoni, hovyohovyo

2. Kuingiliwa kingono kwa kukomolewa

3. Dawa za kuzuwia mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…