Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

[QUOTE="dudus, post: 39928764, member:
... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.

In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.
[/QUOTE] yeah ni (kikosi maalumu) SF eagle 3
 
[QUOTE="dudus, post: 39928764, member:
... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.

In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.
yeah ni (kikosi maalumu) SF eagle 3
[/QUOTE]


😃😃
 
Ole sabaya hakuna aliyemtuma kufanya upuuzi wake. Ajitetee bila kuhusisha wengine japo tunajuwa marehemu alikuwa mpuuzi kwa mambo mengine.

Wakati anafanya hayo kulikuwa hamna viongozi wa juu yake? Kwa nini hakuchukuliwa hatua kipindi kile kile. Endeleeni kujianika hadharani.
 
Kosa lingine hili la kuchukua vijana uvccm na kuwaingiza kwenye usalama. Hawa wanakuwa hawafundishiki, utendaji wao unaongozwa na mafanikio ya pesa, miiko na maadili na viapo vyao hawavifuatilii kabisa.

Zamani Tabora boys, Kibaha enzi hizo za kina Dr fulani na balozi fulani na mkurugenzi fulani pale viwanda na biashara watu walipikwa vyema wakapikika lakini toka uvccm kudandia hii fani ya kitengo na mambo haya yameanza wakati wa mkwere wameharibu kabisa taswira ya uwajibikaji usio na madoa wala mashaka. Kina bashite, huyu sabaya wote ni matokeo ya uvccm kitengo. #Systemoverhaulneeded
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Sabaya hakukamatwa kwenye operation. Kwanini watu wengi mnataka abehave kama mtu aliyekamtwa kwenye operation?
 
Sabaya anajua anachokifanya. Bila shaka wanasheria wake sio mafala kihivyo na walichekecha pros & cons ya hiyo move na wakajiridhisha kuwa ina faida zaidi kwao kuliko madhara.

Labda Taasisi ya Urais ndio imemwambia aseme hivyo. Tutajuaje? Harafu ni kweli technically bado ni mtumishi wa Serikali ya Samia maana hakufuzwa bali alisimamishwa tu kupisha uchunguzi
Sawa, lakini kisheria imekaaje?

Kwa sababu mahakama imeshaona kuwa kuna uhalifu ulitendwa na Sabaya [kimahakama inasemwa kuwa, "ana kesi ya kujibu"]...

Katika hatua hii, kitacho determine adhabu yake aidha ahukumiwe kifungo jela au aachiwe huru ni namna atakavyojitetea...

Sasa swali ni hili:

Mpaka hatua hii ktk utetezi wake, Sabaya anakiri mwenyewe kutenda uhalifu anaotuhumiwa nao ila cha ajabu anajitetea kwa kusema alitumwa na Rais kufanya uovu huo...!!

Sasa, je tunadhani sheria itamwacha salama kwa kuwa alitumwa na Rais...?

Je, hapa Tanzania kuna sheria ya namna hiyo inayolinda uhalifu uliofanywa na mtu aliyetumwa na Rais kuufanya ili mahakama iitumie kumwona hana hatia...?

Je, kuna mtu aliye juu ya sheria zetu hapa Tanzania???
 
Hakuna kesi ni ujinga tu, sabaya tangu mwezi wa 4 anasakamwa. Na wanajua alikuwa akipewa order kama mojawapo ya majukumu. Hawakustahili kumdhalilisha kiasi kila wakati wanajua alifanya majukumu aloagizwa

Ilibidi wamlinde maana kwa sisi tunaojua siasa kila uongozi lazima watu wachache waumie wengi wapone.
Sabaya kutumwa na rais sio dhambi ilo wazi hata ungekuwa wewe ungemtuma akusaidie kazi.kisiasa hii inaeleweka wala aliemtuma yupo sahihi.
Urais ni taasisi je hawakujua hilo? Of cause walijua sana. Sasa ndo ujuwe magufuli alikuwa akichukiwa bila yeye kutambua. Yaani sasa hivi ni kama kukomoa.
Sabaya ametaja baada ya kuona hakuna msaada.kipindi hiki chote alikuwa kimya alivyoona hakuna anaemsaidia akaongea...
Najua ataumia na wenda baabae...................

Kwa sasa hana chaguo hata mimi ningefanya hivyo.
Ni mapito tu hata awamu zilizopita hapa.mambo yalikuwepo.
Hii iliyofanyika ndiyo inayoitwa " a state organized crimes "

Inapokuwa unbearable, lazima baadhi watolewe kama sacrifice kwa ajili ya kuponya wengi...

Lakini mimi nasema hivi, hakuna atakayepona. Mungu kamwe hadhihakiwi. Kila kosa na kila dhambi lazima ipate adhabu yake bila kujali nani ni muhusika...
 
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.

Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.
Ahahahahaaaaaa
 
Mambo ni Moto

Katika sakata linaloendelea linalomkabili Ndugu Lengai Ole Sabaya, utetezi wake unaacha watu midomo wazi.
Mimi sio mwanasheria lakini Kwa akili ndogo tuu niliyonayo namuona Ole Sabaya na mawakili wake wakishindwa kutoa utetezi wenye mantiki.

Utetezi wa Sabaya kuwa alitumwa na Wakuu wake wa kazi waliomteua kufanya Uhalifu ni utetezi wa kijinga Sana ambao mtu mwenye akili asingeweza kuusema Mahakamani.
Kusema alitumwa ni dhahiri anakiri kosa kuwa alifanya, na moja Kwa moja anajitia hatiani.

Ole Sabaya Kiujasusi tayari ameshakosa Weledi katika Kazi yake. Anaposemwa alitumwa na Rais Magufuli ambaye Kwa sasa ni Marehemu, Kwa kazi maalumu, hii inamaanisha kuwa Sabaya yupo katika mfumo wa ujasusi iwe direct au indirectly.
Hivyo Jambo la kwanza kwenye majukumu yake lilipaswa kuwa Siri ndipo mengine yafuate

Moja ya kanuni za kazi maalumu ni siri, hasa kazi maalumu/operations zisizokuwa na majina na zisizoundwa kisheria.
Operations ambazo hazifuati kanuni Rasmi, ni unapigiwa simu na unatekeleza.

Operations za hivi, anayetumwa anapaswa azifanye Kwa weledi pasipo kuleta athari mbaya ambazo zitamtia hatiani, kwani zimtiapo hatiani yeye ndiye atahusika 100% katika adhabu.

Kijasusi, mtu anapopewa kazi maalumu hata akikamatwa hapaswi kusema ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake, hapaswi kuwataja waliomtuma, anapaswa kutumia mbinu zingine za kujihamu au kuficha siri.

Sabaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.

Kama ni kweli alitumwa, basi angekaa kimya na kujitetea Kwa namna zingine, alafu Kwa vile alitumwa na taasisi ya Urais, basi mabosi wake Kwa vile wengine wapo na wanatambua misheni hiyo, wangetafuta namna ya kumnasua. Lakini sio kuwataja, Kwa kuwataja ni tayari ameshavujisha Siri pasipo yeye kujua.

Sabaya pasipo kujua, kauli yake unazidi kuwapa nguvu Wale wote waliokuwa wakiituhumu serikali na watu wasiojulikana.

Kwa kifupi, Sabaya amekosa Weledi.

Hata Kama akitoka basi tayari ameshavujisha Siri za wakubwa wake, na Hana sifa za kuwa mtu wa vitengo Kwa mambo ya kiusalama.

Ilimpasa afe kiume. Akaze Tai shingoni.Mabosi zake ndio wamnasue. Lakini utetezi wake bado unamuweka pagumu zaidi.

Robert Heriel
Kwa hiyo asiwataje wakuu waliyomtuma kazi hizo wakati rais kaingia msaliti? Samia amemtosa na hili jambo mwanzo wa utawala wake limewashitua magufulists. Lilikua indicator kwamba nani amekalia kiti. Sabaya alitumwa cases za mafisadi na wakwepa kodi na dhidi ya dhulumati kwa wanyonge kwenye umma.
 
Bibi anafanya anachokijua ktk hii ishu spinning nje nje na character assasination ndo target ya bibi. Lakini, jpm atabaki ni jpm na hawatafanikiwa kamwe kumpaka vinyesi vyao vya magogoni/msoga.
 
Kila laheri Sabaya...utachomoka tu maana ulitumwa hukufanya kwa utashi wako.
 
Sabaya kaamua kutoboa mtumbwi wazame wote
 
Bibi anafanya anachokijua ktk hii ishu spinning nje nje na character assasination ndo target ya bibi. Lakini, jpm atabaki ni jpm na hawatafanikiwa kamwe kumpaka vinyesi vyao vya magogoni/msoga.
 
Mpaka hatua hii ktk utetezi wake, Sabaya anakiri mwenyewe kutenda uhalifu anaotuhumiwa nao ila cha ajabu anajitetea kwa kusema alitumwa na Rais kufanya uovu huo...!! Sasa, je tunadhani sheria itamwacha salama kwa kuwa alitumwa na Rais...? Je, hapa Tanzania kuna sheria ya namna hiyo inayolinda uhalifu uliofanywa na mtu aliyetumwa na Rais kuufanya ili mahakama iitumie kumwona hana hatia...?
Watakachofanya wenye taasisi yao ni kusema tu kwamba Sabaya hajawahi kutumwa na Rais John Pombe au Mr. John Pombe unless Sabaya aonyeshe proof ya maagizo hayo.
 
Angejiteteaje kwa mfano? Umetumwa na wakuu wa nchi lkn wakati wa matatizo wamekaa kimya wanendelea kupiga kampari tu. Lazima nao wajulikane kuwa ndio waliokuwa wakituuwa.

Da ila inasikitisha sana, kuwa awamu ya tano ya serikali ya Tz badala ya kulinda usalama wa wananchi wake serikali ndo ikawa inatengeneza vikundi vya uarifu! Da hìi hatari sana. Lkn Mungu fundi.
Acha kupotosha. Hapo kwenye hilo duka mbona hamsemi kulikua kunanunuliwa hela za kigeni. Sabaya alitumwa kwenye kampeni kupambana na wanunuzi kimagendo wa fedha za kigeni. Au huko arusha na moshi magendo fedha za kigeni mlizoea hadi kuamini ni halali hadi mkaona wenye kusimamia sheria na haki ndio majambazi. Vyovyote juu ya sabaya mahakama ipo/zipo haki itapatikana kwa kijana wa kimapinduzi sabaya.
 
Bibi anafanya anachokijua ktk hii ishu spinning nje nje na character assasination ndo target ya bibi. Lakini, jpm atabaki ni jpm na hawatafanikiwa kamwe kumpaka vinyesi vyao vya magogoni/msoga.
Umenena kitu.
 
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.

Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.
Kutekeleza maelekezo ya boss wako bila kufuata sheria kwakuwa boss amekuelekeza kufanya hivyo huo ni ujinga hakuna wa kumsaidia kwenye hilo.
 
Bibi anafanya anachokijua ktk hii ishu spinning nje nje na character assasination ndo target ya bibi. Lakini, jpm atabaki ni jpm na hawatafanikiwa kamwe kumpaka vinyesi vyao vya magogoni/msoga.
 
Back
Top Bottom