siku hizi utetezi wao wanadai kikwete anapelekewa taarifa na data zote lakini anagomea ushauri wao!kama kungelikuwa na TISS unayoisema nisingeona Kanda za Ustazi Ilunga leo pale msikiti wa kribu na Hindu Mandali na Rais angelijua kuwa kuna udhaifu mkubwa katika utawala wake unapelekea watu waamini hawezi kukemea udini.
unasumbuliwa na ujinga na umasikini.Wewe si ndio walewale unaelazimisha nchi isitawalike, unapinga kwamba Tanzania haina umoja na mshikamano? sasa mtu kama wewe utakubali kipi?
Kweli kuna haja ya kubadili jina la vyama pinzani, maana jina hili linawajengea hali hamasa ya kupinga kila kitu, bila hata ya kusumbua BONGO zenu kutafakari!
Wapinzani sio jina jema.
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo
J*nga we**
Kama kungelikuwa na Tiss ya namna hii kungelikuwa na mfumuko wa bei kama huu. Watu wachache wanaachiwa wanatupangia tununue sukari, unga, mchele kwa bei gani? Si mngeishauri serikali jinsi wawekezaji wa migodi wanavyo over supplies invoince kutoka kwenye kampuni tanzu zao ili kukimbiza profits na kubaki na losses tunazolipia kila siku.
Tiss my Ass.
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:
Unaweza kuleta ushahidi wa hizo allegations? Au unashabikia tuu propaganda za chama chako cha CHADEMA???? SHAME ON YOU! HUNA UNALOLIJUA KUHUSU TISS HIVYO UTABAKIA KUAMINI POROJO ZA WAJINGA WENZAKO...
Inasikitisha sana kuona vijana ambao ni nguvu kazi la taifa letu,wanapoteza weledi wao na kutiwa upofu na Nape kwa kuchukua elfu tano tano za voucher kila week kiasi ambacho mnashindWa hata kutetea taifa lenu linapodondoka,
Njaa mbaya sana wewe dada Metsada itakuponza
Ni ushaidi upi unaoitaji kuthibitisha hizo allegations wakati Kibanda na dr ulimboka wanatosha? SHAME ON YOURSELF husietaka kufanya kazi unategemea kuongwa na NAPE
Hiyo TISS ni idara ambayo ipo kwa mujibu wa katiba, wewe kwa nini unadhani shughuli au wajibu wake hautakiwi kujulikana?Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
inawezekana hata wewe mwenyewe hujui hiyo TISS inasvyofanya kazi zake, na ndiyo maana unaona kama haifanyi kaziNimemsikia Wassira akitetea TISS kuwa imefanya kazi nzuri sana na akakumbusha enzi za ukombozi kusini mwa Africa na haiwezi kun'goa watu kucha. Pia wabunge na mawaziri wengi wamekuwa wakirejea maneno hayo hayo katika kuitetea TISS.
Ninalotaka kujua hawa wanaotoa utetezi huo wanaelewa linalotuhumiwa na wapinzani? Wapinzani hawana wasiwasi na historia ya Idara ya Usalama wa Taifa na kazi nzuri zilizofanywa katika vipindi hivyo vya nyuma,lakini wanazungumzia utofauti wa utendaji ule wa weledi wa zamani na huu wa sasa.
Kwa nini Hawa CCM wanaitetea TISS kwa kutumia historia ya awamu zilizopita na sii kwa utendaji wa sasa? Au hawaelewi hata ni lipi wanalisemea?
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
Itisha mkutano na waandishi wa habari halafu IHOJI TISS... Hapo utakuwa umefanya la maana. Just try.
Unaweza kuleta ushahidi wa hizo allegations? Au unashabikia tuu propaganda za chama chako cha CHADEMA???? SHAME ON YOU! HUNA UNALOLIJUA KUHUSU TISS HIVYO UTABAKIA KUAMINI POROJO ZA WAJINGA WENZAKO...
amakweli chadema imewakalia hadi kwenye vichwa vyenu... Unaweza kuthibitisha ni kwa vipi tiss inaangamiza taifa na watu wake??? Je unajua shughuli za tiss? Au unafata mkumbo tu> shame on you!
unaweza kuleta ushahidi kwamba tiss inatesa raia???? Au na wewe unaamini propaganda za chadema? Acheni kuzungumza mambo ya uongo dhidi ya chombo nyeti kama tiss. Tiss ndio uhai wa taifa... Ila sikulaumu kwakua wale jamaa kazi zao hatuzijui hivyo ni rahisi kuwasingizia na kusema lolote kwakua huwa hawana press conference ya kujibu tuhuma...
hamna wanalolijua kuhusu tiss... Kazi yao ni kuamini na kusambaza propaganda za chadema. Mimi navyojua wale jamaa wa tiss ni watu makini sana katika kazi na ni wazalendo waliotukuka katika kila hali. Ila kwakua mengi wanajua wao wenyewe, huyu mtoa hoja atueleze namna walivyofanya kazi wakati wa nyerere na sasa wanafanyaje kazi ili tujue... Sio tu kuja hapa na kutuambia mambo general tu. Leta facts hapa.... Acha porojo
poor analysis.... Full of lies.
Toa ushaidi acha maneno yasiyo na msingi kwenye hoja husika. Kama huna ushaidi basi upite tu sio lazima kuchangia.
Lakini pia napenda kukupa angalizo, unamfahamu Lwakatare? unajua anatuhumiwa kwa nini? basi hao watu uliowataja wenda wakawa wameshughulikiwa na huyu niliemtaja mimi katika maelezo yangu.
Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
Mkuu umesema kweli na umewapasha kweli. Tusaidie jambo moja. Ile kashfa ya kuvusha wanyama wazima wazima haiwahusu tiss/nyinyi?Wewe unajua kazi zinazofanywa na TISS? Au unashabikia tu porojo za CHADEMA na story za mitaani. Hamna mnalolijua kuhusu ueledi na kazi zinazofanywa na chombo hicho that is why mnabakia kutunga mambo ya uongo juu ya TISS kwakua mnajua hawana kawaida ya kujibizana na vyombo vya habari. Wewe hapo ulipo unaishi kwa amani na kufanya siasa zako za CHADEMA Kwa amani ila hujui hiyo amani imepatikanaje na inakua maintained vipi. Mtasema sana tuuuuu ila USILOLIJUA NI USOKU WA GIZA.... SHAME ON YOU!
Nyie mtapiga kelele usiku mtalala
Idara ya usalama wa taifa, haina tatizo na mtu isipokuwa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi, mfano mtu anasema "nchi hii haitatawalika"
Unategemea mtu kama huyo anaetaka kuhatarisha amani ya nchi aachwe tu? Lazima TISS wapige hodi mlangoni mwako,
Stephen Masatu Wassira:
Utofauti wa TISS
Enzi za Mwalimu @ TISS kulilinda taifa na watu wake.
Enzi za Dogo wa bongo flava @ TISS kuliangamiza taifa na watu wake.
Hakuna tofauti ya CCM na TISS kimsingi CCM hakkikuwa chama kibaya kilipo kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, eni hizo za mwalimu. ingawa ki msingi malengo ya TUSS ni mazuri lakini ni hii ya TISS ya kisasa ya wazee wa Gombe. kama ni baadhi au ni vipi sijui Lakini ni kam kundilawatu waliowekwa kutumikia mabwana wao mafisadi
Umetumia kipimo gani kudhani wewe ndiyo unajua?kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya